Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

26230607_10208920259998251_7221657076897096321_n.jpg


Salam za mwaka mpya.
Kama ilivyo kwenye korosho kule Mtwara, basi kwa wale wahenga wenzangu wa Tukuyu mtakuwa mnajua zile karanga za mitini kwa watu wa mjini na sehemu zinginezo wanaweza kudhani nadanganya, lakini la hasha ni kweli kuna karanga humea mitini na ni miti mikubwa kabisa, kwa kinyakyusa zinaitwa (Macadamia). Hizi zina vinasaba vya korosho kwa mbali, ni very delicious and healthy vilevile.

Wakati bei ya korosho ikipanda mpaka kufikia elfu nne kwa kilo kule Nangwanda Sijaona kunako Mtwara, watani wetu wa jadi hapo Kenya wameamua kuchana na mashamba ya chai na kukazania kilimo cha karanga za mtini ambazo zimefikia kilo moja Tshs 21,000.00 nakuendelea.

Hapa nchini sijui kama kuna sehemu nyingine zaidi ya Tukuyu ambako macadamia zinalimwa na baadhi ya sehemu mkoa wa Mbeya, nimewahi kuziona Mbozi pia.

Hizi karanga kama ukiweza kuzi process unaweza kuziuza kilo moja kwa $40 yes ndio hivyo, utajiri unachezewa.

Our research institutes zinaweza kulifanyia kazi hili zao ili tuweza kujua kama tunaweza kuli scale na kulifanya la kibiashara zaidi, hapo zamani sie wakulima tulikuwa tunalitumia kucheza michezo yetu ya kitoto, nakumbuka tukiwa watoto tulikuwa tukizinunua na kuzichezea then tunakula baadae sana, wazee wetu wanahangaika sana na chai labda hili zao linaweza kuwa mwarobaini wa ugumu wa zao la chai.

2018 mwaka wa mabadiliko, karanga za mtini zaweza kuwa mbadala muafaka kabisa wa chanzo cha mapato yetu. Rais wa benki ya maendeleo ya Africa kaamua kulivalia njuga swala kilimo ni muhimu kwenda hii vision ya Afrika pamoja, alinukuliwa akisema asilimia 80% ya mabilionea hapo baadae watakaokuwa wakitokea Afrika watakuwa wanajishughulisha na kilimo, Yes inawezakana Inaanza na wewe na mimi.

Happy new year ndugu zanguni, muwe na mwaka wenye baraka tele.
Home kuna mti niliupanda zaidi ya miaka 8 umezaa sasa sijui unakula mbichi unazipika au unazifanya je?
 
Kama ndizo zile zenye ganda la rangi ya kaki na umbo la raundi na Miche yake inakua kuufuata mti kwani Ina kamba jina lake ni kweme! Wale waliobahatika kufika Moshi vijijini na hai watakuwa wanazijua sana!
 
Kama ndizo zile zenye ganda la rangi ya kaki na umbo la raundi na Miche yake inakua kuufuata mti kwani Ina kamba kina lake ni kweme! Wale waliobahatika kufika Moshi vijijini na hai watakuwa wanazijua sana!
 
26230607_10208920259998251_7221657076897096321_n.jpg


Salam za mwaka mpya.
Kama ilivyo kwenye korosho kule Mtwara, basi kwa wale wahenga wenzangu wa Tukuyu mtakuwa mnajua zile karanga za mitini kwa watu wa mjini na sehemu zinginezo wanaweza kudhani nadanganya, lakini la hasha ni kweli kuna karanga humea mitini na ni miti mikubwa kabisa, kwa kinyakyusa zinaitwa (Macadamia). Hizi zina vinasaba vya korosho kwa mbali, ni very delicious and healthy vilevile.

Wakati bei ya korosho ikipanda mpaka kufikia elfu nne kwa kilo kule Nangwanda Sijaona kunako Mtwara, watani wetu wa jadi hapo Kenya wameamua kuchana na mashamba ya chai na kukazania kilimo cha karanga za mtini ambazo zimefikia kilo moja Tshs 21,000.00 nakuendelea.

Hapa nchini sijui kama kuna sehemu nyingine zaidi ya Tukuyu ambako macadamia zinalimwa na baadhi ya sehemu mkoa wa Mbeya, nimewahi kuziona Mbozi pia.

Hizi karanga kama ukiweza kuzi process unaweza kuziuza kilo moja kwa $40 yes ndio hivyo, utajiri unachezewa.

Our research institutes zinaweza kulifanyia kazi hili zao ili tuweza kujua kama tunaweza kuli scale na kulifanya la kibiashara zaidi, hapo zamani sie wakulima tulikuwa tunalitumia kucheza michezo yetu ya kitoto, nakumbuka tukiwa watoto tulikuwa tukizinunua na kuzichezea then tunakula baadae sana, wazee wetu wanahangaika sana na chai labda hili zao linaweza kuwa mwarobaini wa ugumu wa zao la chai.

2018 mwaka wa mabadiliko, karanga za mtini zaweza kuwa mbadala muafaka kabisa wa chanzo cha mapato yetu. Rais wa benki ya maendeleo ya Africa kaamua kulivalia njuga swala kilimo ni muhimu kwenda hii vision ya Afrika pamoja, alinukuliwa akisema asilimia 80% ya mabilionea hapo baadae watakaokuwa wakitokea Afrika watakuwa wanajishughulisha na kilimo, Yes inawezakana Inaanza na wewe na mimi.

Happy new year ndugu zanguni, muwe na mwaka wenye baraka tele.
Picha
 
Back
Top Bottom