DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Na save this dateNext week
Rafiki yako amepita msamvu leo asubuhi anaelekea dodoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji28][emoji28]umejuaje?ukisikia basi...niko loose balaa!ukisikia mtu anatafta nakuomba sana niweke!nisitiri mwanajf mwenzako!
Khaaaaah!!!Uko mlaini mno [emoji7][emoji7][emoji7]
Henna ipi mama? Maana hizi za pakti zinaharibu kucha.Dah! Miaka buku siweki hayo mazaga na mwenzake makope...
Paka hennah zitapunguza kukatika, me za miguuni ndio laini .....unafua kila siku? Duh hongera mwaya [emoji8] kufua kipaji
Hakii nishasahau kufua.mashine au deiwaka.nimekuwa mvivuu.hata chupi sivai. Ili nisifueKucha zangu mie laini kila nikifua zinakatika tu zenyewe na ukizingatia ndio nafua kila siku. Basi nashindwa kuzifuga, ila napenda sana kucha ndefu ila sio za kubandika.
Henna ya pakti ndio ipoje? Me natumiaga zile za tubeHenna ipi mama? Maana hizi za pakti zinaharibu kucha.
Sipendi kufua, hivyo nikizirundika nitaumwa. Dawa ni kufua kila siku, nikivua nafua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakii nishasahau kufua.mashine au deiwaka.nimekuwa mvivuu.hata chupi sivai. Ili nisifue
Me vyombo labda nioshe glass tu.ila ukiwa dada mkubwa nyumbani Kuna kazi hufanyi tena.siku hizi nasafisha chumba changu tu.Bora wewe hupendi kuosha vyombo tu, mie sipendi kazi yoyote.
Hizo hizo bwana ndizo nilimaanisha.Henna ya pakti ndio ipoje? Me natumiaga zile za tube
Mtoto mlaini akirundika ataumwa [emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Heri yako.Me vyombo labda nioshe glass tu.ila ukiwa dada mkubwa nyumbani Kuna kazi hufanyi tena.siku hizi nasafisha chumba changu tu.
Zinaharibu vipi?Hizo hizo bwana ndizo nilimaanisha.
Khaaaaah!! We kufua unadhani mchezo[emoji134]
Rafiki yako amepita msamvu leo asubuhi anaelekea dodoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85]
Una raha😅!Nafight mpaka January ziwe 60+
Bora wewe hupendi kuosha vyombo tu, mie sipendi kazi yoyote.
Nw una ngapNafight mpaka January ziwe 60+
Me vyombo labda nioshe glass tu.ila ukiwa dada mkubwa nyumbani Kuna kazi hufanyi tena.siku hizi nasafisha chumba changu tu.
😅😅mna raha...!kwamba mnFuga kucha😅Wakati wa kufua nail cutter inafanya kazi yake.... Sipendagi kujiumiza kwa namna yoyote ile
56Nw una ngap
Zangu zinaharibika, zinabanduka banduka.Zinaharibu vipi?
Nafuga eeh kwa kiasi😅😅mna raha...!kwamba mnFuga kucha😅