Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
Nta
Ntakuja na ratiba nini napend nile...!alafu bi mdashi wangu ameniambia huko kuna hossy nzuri ya misheni ya masisita?!ni kweli!nasumbuliwa ulcers hatari!anaisifia balaa..ni kweli ipo?
Pole sana best sasa nimejua kwa nini hupendi kundez, sijui anazungumzia ipi hasa ila kuna hos moja ya wazungu wajerumani iko momela mama yangu nae aliponea hapo. Muulize hiyo iko pande gani