Life affairs: Uliza chochote ujibiwe live hapa

Life affairs: Uliza chochote ujibiwe live hapa

Chakula ( vya) gani unapendelea sana, na chakula gani uwa unakula ili mradi tu usife?


Me napenda wali maharage + chugumawe + kachumbari
Ndizi nyama
Ugali maini, nyama choma au ugali rosti la dagaa wa mwanza.
Chakula nachokula ili nisife ni tambi.

Fav drinks wine, juice, yoghurt ' vipi wewe?
Matunda nakula yote kasoro fenesi -

Napenda kupika ila sipendi kuosha vyombo ' vipi wewe?


Aah nimechoka kuandika....!!
 
Mie ni mpenzi sana sana wa madiko diko miss natafta!..kuna hotel moja nilikula mchicha wao😋😋..ukanibariki sana huo mchicha..leo nimeupika!
Kaanga km unavyokaanga mchicha wako..ila ukiepua ndo unaweka vitunguu vyako sasa..viwe vingi..jaman kitu kinatoka na ladha ya ajabu!
Likizo tym!
 
Chakula ( vya) gani unapendelea sana, na chakula gani uwa unakula ili mradi tu usife?


Me napenda wali maharage + chugumawe + kachumbari
Ndizi nyama
Ugali maini, nyama choma au ugali rosti la dagaa wa mwanza.
Chakula nachokula ili nisife ni tambi.

Fav drinks wine, juice, yoghurt ' vipi wewe?
Matunda nakula yote kasoro fenesi -

Napenda kupika ila sipendi kuosha vyombo ' vipi wewe?


Aah nimechoka kuandika....!!
Napenda sana mchele mchele I mean.wali na pilau plus kuku.yaani nikimuona hata kuku kakatiza mahali nachanganyikiwa yaani
 
Umesahau unapenda kuvaa ila hupend kufua
Chakula ( vya) gani unapendelea sana, na chakula gani uwa unakula ili mradi tu usife?


Me napenda wali maharage + chugumawe + kachumbari
Ndizi nyama
Ugali maini, nyama choma au ugali rosti la dagaa wa mwanza.
Chakula nachokula ili nisife ni tambi.

Fav drinks wine, juice, yoghurt ' vipi wewe?
Matunda nakula yote kasoro fenesi -

Napenda kupika ila sipendi kuosha vyombo ' vipi wewe?


Aah nimechoka kuandika....!!
 
Naomba nialike siku nije nijisithibitishie haya usemayo Mamii
Mie ni mpenzi sana sana wa madiko diko miss natafta!..kuna hotel moja nilikula mchicha wao[emoji39][emoji39]..ukanibariki sana huo mchicha..leo nimeupika!
Kaanga km unavyokaanga mchicha wako..ila ukiepua ndo unaweka vitunguu vyako sasa..viwe vingi..jaman kitu kinatoka na ladha ya ajabu!
Likizo tym!
 
Back
Top Bottom