Life after a very sweet love/relationship

Life after a very sweet love/relationship

KAMANDA
hakiachwi kitu, tuliachia mungu tukaishia kumchagua kikwete

miaka hii kila kitu kinahitaji in epth analysis mkuu

Hahahahaha kuna ishu ya kuchakachuliwa nafikiri unalielewa sana hili.

Fikiria unakolewa kwa mwenzio na umezimika kwa 10+ mwisho wa siku akakwambia now the end of our love.

Sasa hapo ndipo Mungu anapo fanya kazi yake na faraja tosha utapata toka kwa Mungu kwa kumrudia Mungu then unajipanga upya.

Kikubwa kamanda ni kukubali matokeo huna jinsi uking'ang'ania inakula kwako.
 
very true fidel.... ndio maana ni lazima kufanya QA mapema mkuu

tusije tukakutana St. Joseph tunasali rozari saa saba mchana kumbe kimewaka home
 
very true fidel.... ndio maana ni lazima kufanya QA mapema mkuu

tusije tukakutana St. Joseph tunasali rozari saa saba mchana kumbe kimewaka home

Hahahaha sasa hapo unataka kucontrol nature hivi unaweza kweli kucontrol
 
ar we? well, they say it takes two. mimi naamini tumekutana wakubwa,kila mtu alikuwa na dreamz zake (japokuwa mosquito amenitisha kidogo,mourning over split milk for 5 damned years?). ina role ya kuplay kumsaidia mwenzangu ku-realise za kwake na he has the choice kunisaidia nipate za kwangu. if he doesnt volunteer, i will chase mine till i catch them. nobody is dreaming of a miserable relationship.niliwahi mskia mtu akisema kama tv inakugombanisha na mwenzio, throw it away (mie i will give to charity). lakini maybe 10 yrs to come i may nt have the same thoughts,lol
I am very happy King'asti and Nyumba Kubwa are bringing a new dynamics to who is responsible when things go wrong in relationships<br />
<br />
Ni kwamba lazima muwe responsible...
<br />
<br />
 
Nachokiona tumekuwa wepesi na wabinafsi kuamini matatizo ya relationship zetu yamesababishwa na upande mmoja..........inawezekana vipi kumkimbia mtu uliyemfurahia na kumpenda kwa miaka kumi kufuata kivuli usichokiona/kijui.MTM zimwi likujualo halikuli likakwisha.


Wakuu,

Many of us have at least once enjoyed the best out of love life... I have had my best moments as well!!

I am just wondering how can one prepare for a life after the person you have loved and enjoyed life with for 10+ years, have you ever imagined how it feels?

MTM
 
Nachokiona tumekuwa wepesi na wabinafsi kuamini matatizo ya relationship zetu yamesababishwa na upande mmoja..........inawezekana vipi kumkimbia mtu uliyemfurahia na kumpenda kwa miaka kumi kufuata kivuli usichokiona/kijui.MTM zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Na mengine yanakula mpaka mfupa wa mwisho....

Sidhani kama ni sahihi kukubali kuishi bila furaha/amani/upendo na mtu ulimzoea sijui unaemjua kisa tu unaogopa usichokijua!!!
 
Lizzy ten good years halafu unasema mwenzako ndio ameondoa furaha yako,wewe umechangia nini kwenye yale yanayotokea kwenye mahusiano yako leo? unataka kuniambia hatuna la kujilaumu hata moja kwenye yale tunayotendewa au ndio tunataka kujigeuza malaika ndani ya ushetani?.

Na mengine yanakula mpaka mfupa wa mwisho....

Sidhani kama ni sahihi kukubali kuishi bila furaha/amani/upendo na mtu ulimzoea sijui unaemjua kisa tu unaogopa usichokijua!!!
 
Lizzy ten good years halafu unasema mwenzako ndio ameondoa furaha yako,wewe umechangia nini kwenye yale yanayotokea kwenye mahusiano yako leo? unataka kuniambia hatuna la kujilaumu hata moja kwenye yale tunayotendewa au ndio tunataka kujigeuza malaika ndani ya ushetani?.

Tatizo Chauro hajasoma comments zote akaelewa jinsi tulivyochambua hii mada
 
Lizzy ten good years halafu unasema mwenzako ndio ameondoa furaha yako,wewe umechangia nini kwenye yale yanayotokea kwenye mahusiano yako leo? unataka kuniambia hatuna la kujilaumu hata moja kwenye yale tunayotendewa au ndio tunataka kujigeuza malaika ndani ya ushetani?.

Uzuri ni kwamba sijasema nani atakua amechangia kuondoka kwa hiyo furaha kwa kiasi kikubwa.Inawezekana ni huyo anaetaka kuondoka kwa kugundua kwamba hampendi tena mwenzake/mtazamo wake juu ya mwenzi wake umebadili and not in a good way/anahisi hawana tena connection hivyo anashindwa kuyafurahia mahusiano yao...kitende ambacho unaweza kuta kinamuathiri na mwenzie pia kwa kiasi chake.Sasa waendelee kunyanyasana kwasababu tu ya “zimwi likujualo“....?!Bado sidhani kama ni haki kwa upande wowote ule.Kuna wakati inabidi wote wawili mkae chini na kukubali kwamba TULIKUA...ulinifurahisha nikakufurahisha..ulinipenda nikakupenda...uliniridhisha nikakuridhisa ila sasa hivi yale yote yaliyotuunganisha hayapo tena hivyo tupeane nafasi ya kuangalia ustaarabu mwingine kwa faida yetu sote.
 
What the hell is cooking here?

With due respect I better reserve my comments....

Age Mate, have you gone crazy? I hate you!
 
Wakuu,

Many of us have at least once enjoyed the best out of love life... I have had my best moments as well!!

I am just wondering how can one prepare for a life after the person you have loved and enjoyed life with for 10+ years, have you ever imagined how it feels?

MTM

4 years nimechanganyikiwa sijui ingekuwa 10 years ingekuwaje!!..memories will never fade!

Pia kama mmeachana vizuri, mtabaki kuwa marafiki (hata kama hamuwasiliano yani hamna ugomvi)..sasa kama mmeachana vibaya hapo ndiyo tatizo..in my case, mtu nilikuwa nampenda sana yani sikuamini nimempoteza!! yes maisha yanaendelea lakini sitomsahau!!!
 
What the hell is cooking here?

With due respect I better reserve my comments....

Age Mate, have you gone crazy? I hate you!
nothing but love dude

soma thread nzima mkuu, usiwe kama chauro... you are waaayy to old for that
 
Thanks lizzy ...............Tusijitetee sana ila ukweli ni kwamba tumemsahau Mungu na yote yanayotokea leo hayatokei bahati mbaya.

nataka niseme tu hakuna binadamu mbaya,hakuna relationship mbaya sisi ndio tumezifanya zimekuwa mbaya kwa ubaya wetu wenyewe kwa kukusudia au kutokusudia.

Uzuri ni kwamba sijasema nani atakua amechangia kuondoka kwa hiyo furaha kwa kiasi kikubwa.Inawezekana ni huyo anaetaka kuondoka kwa kugundua kwamba hampendi tena mwenzake/mtazamo wake juu ya mwenzi wake umebadili and not in a good way/anahisi hawana tena connection hivyo anashindwa kuyafurahia mahusiano yao...kitende ambacho unaweza kuta kinamuathiri na mwenzie pia kwa kiasi chake.Sasa waendelee kunyanyasana kwasababu tu ya "zimwi likujualo"....?!Bado sidhani kama ni haki kwa upande wowote ule.Kuna wakati inabidi wote wawili mkae chini na kukubali kwamba TULIKUA...ulinifurahisha nikakufurahisha..ulinipenda nikakupenda...uliniridhisha nikakuridhisa ila sasa hivi yale yote yaliyotuunganisha hayapo tena hivyo tupeane nafasi ya kuangalia ustaarabu mwingine kwa faida yetu sote.
 
nothing but love dude

soma thread nzima mkuu, usiwe kama chauro... you are waaayy to old for that
Orayt.......lemme do the needful......... Otherwise ntakuhamisha meza mazee.... ngumi jiwe!!!!
 
pole sana bj,ila hongera kwa ku-move on! aluta continua! tell u what, never make decisions when u ar upset. actually usishughulikie chochote wakati una hasira. kwenye mahusiano nadhani ni vizuri hata kama umeumia kiasi gani, get ur groove back, get sane then amua. that way hata mkikutana njiani mnanunuliana biya tu! unless physical abuse is involved!
4 years nimechanganyikiwa sijui ingekuwa 10 years ingekuwaje!!..memories will never fade!<br />
<br />
Pia kama mmeachana vizuri, mtabaki kuwa marafiki (hata kama hamuwasiliano yani hamna ugomvi)..sasa kama mmeachana vibaya hapo ndiyo tatizo..in my case, mtu nilikuwa nampenda sana yani sikuamini nimempoteza!! yes maisha yanaendelea lakini sitomsahau!!!
<br />
<br />
 
Orayt.......lemme do the needful......... Otherwise ntakuhamisha meza mazee.... ngumi jiwe!!!!
hayo ya ngumi jiwe ndiyo yanayosababisha tuhame meza

i'd rather hama meza kuliko ngumi jiwe
 
Back
Top Bottom