we acha tu.... yaani wanasema kua uyaone... Hakuna cha sinza wala wapi, ni wazo fulani ambalo nimeli-own na kulipa uhalisia zaidiDuh! sijui mtoto gani kamchanganyaGreat thinker wetu mweeeee, sinza hii, kuanzia kesho mzee sinza no
we acha tu.... yaani wanasema kua uyaone... Hakuna cha sinza wala wapi, ni wazo fulani ambalo nimeli-own na kulipa uhalisia zaidi
It is complicated wakuu coz many times we commit to love, tunakua hatuna exit plans
aiseeeeeeee
I love this post!!! bitter-sweet.... rainbow... huh???
They say the circle has just one side.... do you agree??
ar we? well, they say it takes two. mimi naamini tumekutana wakubwa,kila mtu alikuwa na dreamz zake (japokuwa mosquito amenitisha kidogo,mourning over split milk for 5 damned years?). ina role ya kuplay kumsaidia mwenzangu ku-realise za kwake na he has the choice kunisaidia nipate za kwangu. if he doesnt volunteer, i will chase mine till i catch them. nobody is dreaming of a miserable relationship.niliwahi mskia mtu akisema kama tv inakugombanisha na mwenzio, throw it away (mie i will give to charity). lakini maybe 10 yrs to come i may nt have the same thoughts,lol
Mkuu Mbu sijakulewa hapo juu uliposema sio kwamba ulimpenda san???? how??
hii thread imenifanya nifikirie mbali sana, cjui itakuwaje....Mbu nae jamani, umenitisha sasa.
Nimekwelewa vizuri mbu, nachojiuliza juu yako ni pale uliposema hukumpenda huyo x...... ilikuwaje, coz what i know mie niko hapa nakula tamu na shubiri, najua love ilikuwepo na ipo, na huku nikiendelea kuzingatia prinsipo zangu za mahusiano,nikija bauns huko mbele nitasimulia jinsi nilivyokuwa nampenda huyu baba watoto, labda uniambie hukuwa unampenda wakati mnaoana...huh...it's more of a Circus than a Circle buddy!...kuna kipindi utajihisi wewe ni 'Clown' tu hapa duniani...
hah! acheni mchezo na hii kitu Divorce, hasa ikiwa haikuwa dhumuni lako muachane.
Mine (grievances) was 5yrs trying to reason what happenned. Kila mtu na uweza wake wa kuugulia machungu haya.
Wengi wenu mnasoma threads na postings zangu, labda mnaweza connect hizi jigsaws,....
Machungu yake hayaelezeki. Ni sawa na aliyesema machungu ya kuumia mwili si sawa na machungu ya roho!
Acheni kabisa hii kitu...acheni kabisa kuchezea hisia za watu. MTM my brother,..... mimi nakuomba nikuusie kitu kimoja
muhimu sana maishani mwako. Usha spend miaka kumi na Mke wako, mshakula machungu na matamu...then, akatokea
some Old flame, ...nawe ukaamua 'kuacha mbachao kwa msala upitao....!'
Ombea mungu huyo Old flame awe saint kuliko huyo wa mwanzo. I MEAN IT! Iwapo atakuwa na mapungufu makubwa kuliko Ex wako....i.e...mapungufu ya tabia- Uzinzi+Uasherati+Umalaya (Yote yana maana moja?)....Haki ya Mungu utatamani ardhi ipasuke ikumeze!
Huwezi kui feel hiyo sasa.... siku ikikutokea utamkumbuka yule Mbu wa Jamiiforums....
Pheewww, Gaga nawe si majuzi tu ulishereheka kutimiza miaka mingapi vile? Baada ya kupenda, kuna kumzoea...mnakuwa mwili mmoja.
Siku mkiachana, ina maana sehemu moja ya mwili wako ambayo ilikuwa ubavu wako kwa miaka kumi imeondoka pia.
That hurts, na maumivu yake sio sawa na ya kujikata kidole. Mbaya zaidi, uingie kwenye relationship mpya ambayo inakutia machungu kuliko yale mapungufu yaliyotokea awali. Ushawahi sikia msemo, 'kuruka jivu na kukanyaga moto?'
Ehh, nini tena Nyamayao?....sikutishi jamani....rudia kusoma thread zangu u connect the dots....msukule wa mapenzi, mtoto wa kike, kisha ujumlishe na post zangu za hapa.... Kumbuka, my Ex- is the mom of my two Boys...
Yaani mawasiliano yanaendelea nitake nisitake...!
nadhani zote zinaathiri kwa namna moja au nyingine, inategemea na uhusiano ulivyokuwa, ki ujumla divorce ni kitu kigumu! imagine 10 yrs inayeyuka hivi hivi na hapo unakuta umetumia jitihada zako zote kuinusuru divorce but imeshindikana, dahhh Mbu kweli kanichanganya, kanifanya nimezidi kuiogopa sana sana hii issue....hivi Mbu ni kwamba mom alikushtukizia hii kitu wakati wewe ulikuwa na wazo kwamba separation itasaidia kuweka mambo sawa sasa ukashtukiziwa na divorce?
Duh kweli ishia hapo nahisi nina maswli mengi na huruma juu yake
...pheeeww, unataka nifunguke sasa.
Nitakuwekea kwenye kifuu...(nut shell)...
8yrs - Ndoa na Roller Coaster ride zake. Tanzania.
18 months - Separation, Mke Tanzania...Mume Ughaibuni.
6months - "Honeymoon!" period Ughaibuni (mke na mume)
Then, siku ya siku mke kalipukwa Ughaibuni anataka talaka, hataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala
Apewe talaka yake!
Mke akaenda kuolewa na Mzungu, ...nako huko yakamshinda...
Mbu akabakia anaugulia vidonda vya tumbo ...kwenye kuokoteza, akampata Nunda balaa kuliko wa mwanzo!
Naomba maswali yaishie hapa.
...pheeeww, unataka nifunguke sasa.
Nitakuwekea kwenye kifuu...(nut shell)...
8yrs - Ndoa na Roller Coaster ride zake. Tanzania.
18 months - Separation, Mke Tanzania...Mume Ughaibuni.
6months - "Honeymoon!" period Ughaibuni (mke na mume)
Then, siku ya siku mke kalipukwa Ughaibuni anataka talaka, hataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala
Apewe talaka yake!
Mke akaenda kuolewa na Mzungu, ...nako huko yakamshinda...
Mbu akabakia anaugulia vidonda vya tumbo ...kwenye kuokoteza, akampata Nunda balaa kuliko wa mwanzo!
Naomba maswali yaishie hapa.
Nimekwelewa vizuri mbu, nachojiuliza juu yako ni pale uliposema hukumpenda huyo x...... ilikuwaje, ...
...pheeeww, unataka nifunguke sasa.
Nitakuwekea kwenye kifuu...(nut shell)...
8yrs - Ndoa na Roller Coaster ride zake. Tanzania.
18 months - Separation, Mke Tanzania...Mume Ughaibuni.
6months - "Honeymoon!" period Ughaibuni (mke na mume)
Then, siku ya siku mke kalipukwa Ughaibuni anataka talaka, hataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala
Apewe talaka yake!
Mke akaenda kuolewa na Mzungu, ...nako huko yakamshinda...
Mbu akabakia anaugulia vidonda vya tumbo ...kwenye kuokoteza, akampata Nunda balaa kuliko wa mwanzo!
Naomba maswali yaishie hapa.
Ooooops bwana Mbu ....pole mzee sasa wewe umeona kabisa mtoto wa kwa mtogole hajawahi ona wazungu
...pheeeww, unataka nifunguke sasa.
Nitakuwekea kwenye kifuu...(nut shell)...
8yrs - Ndoa na Roller Coaster ride zake. Tanzania.
18 months - Separation, Mke Tanzania...Mume Ughaibuni.
6months - "Honeymoon!" period Ughaibuni (mke na mume)
Then, siku ya siku mke kalipukwa Ughaibuni anataka talaka, hataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala
Apewe talaka yake!
Mke akaenda kuolewa na Mzungu, ...nako huko yakamshinda...
Mbu akabakia anaugulia vidonda vya tumbo ...kwenye kuokoteza, akampata Nunda balaa kuliko wa mwanzo!
Naomba maswali yaishie hapa.
afu nyie mnaopinga divorce, kuna mtu kawatuma eeh? nimestukia,sitishiki, hehehe!
jokes aside: i blv in divorce aisee, if u arnt happy together for serious matters kama physical abuse, serial cheating (kuna wenza wako vulnerable yy hata kwenye lami anateleza,mweh!) na mengineyo (kwa mfano, i cant put up with issues za uchawi). emotionl abuse pia,especially inapokuja mambo ya kukosa staha na utukanana even mbele za watu, nadhani inakuwa biashara kichaa. Bt yote yana Mungu, i believe huwezi kupiga makasia alone. nadhani nimejizoesha ku-adopt na ku-adapt to all situations. hivi mlishafikiria yule mtu ambaye anafiwa na mwenzi wake, mikononi mwake with lips signaling ''i love u King'asti wangu, take good care of ur self for me..'' halafu anakata roho? uchungu na upweke wake, manake hamjagombana na haja-choose kukuacha! i bet hiyo inaumiza zaidi kwa hiyo kama ni kuachana by choice mi nadhani ni nusu shari. so i will be fine with it![/QUO
bwana.... king'ast hatupingi completely ila hatupendi zitokee
Unanifurahisha sana gaga,hivi nikikuomba unisimamie harusi yangu utakubali? wewe husikii kuchoka kiukweli miaka yote hiyo?Nimekwelewa vizuri mbu, nachojiuliza juu yako ni pale uliposema hukumpenda huyo x...... ilikuwaje, coz what i know mie niko hapa nakula tamu na shubiri, najua love ilikuwepo na ipo, na huku nikiendelea kuzingatia prinsipo zangu za mahusiano,nikija bauns huko mbele nitasimulia jinsi nilivyokuwa nampenda huyu baba watoto, labda uniambie hukuwa unampenda wakati mnaoana...
Kwa kweli mahusiano ni magumu sana ila inapotokea kama kwako huna budi kuanza maisha mapya , sasa kwenye haya mapya embu zingatia haya hapa chini---
hivi ni vitu vinavyoleta uhusiano thabiti......
- Staying involved with each other. Some relationships get stuck in peaceful coexistence, but without truly relating to each other and working together. While it may seem stable on the surface, lack of involvement and communication increases distance. When you need to talk about something important, the connection and understanding may no longer be there.
- Getting through conflict. Some couples talk things out quietly, while others may raise their voices and passionately disagree. The key in a strong relationship, through, is not to be fearful of conflict. You need to be safe to express things that bother you without fear of retaliation, and be able to resolve conflict without humiliation, degradation or insisting on being right.
- Keeping outside relationships and interests alive. No one person can meet all of our needs, and expecting too much from someone can put a lot of unhealthy pressure on a relationship. Having friends and outside interests not only strengthens your social network, but brings new insights and stimulation to the relationship, too.
- Communicating. Honest, direct communication is a key part of any relationship. When both people feel comfortable expressing their needs, fears and desires, trust and bonds are strengthened. Critical to communication are nonverbal cues-body language like eye contact, leaning forward or away, or touching someone's arm.
Kuna kaka yangu causin aliachana na mkewe. Mkewe alikuwa mtata kweli kweli lakini huwezi amini kaka yangu up to now kawa kama chizi japo yeye ndo aliyetoa divorce (ni mfanyabiashara mkubwa sana) mpaka leo hii hamna anayejua anaishi na mwanamke gani tunasikia tu mara yuko na huyu mara huyu. Watoto hawataki hata kumsikia baba yao japo he is crazy for the kids. Tatizo watoto ni wakubwa kwa hiyo they have chosen to stay with their mom.
Ukikaa na mtu muda mrefu ukamwacha ni kama unakuwa umefiwa hivi. Huyu kaka does not want his wife back but he can't move on either. There are few who can handle the situation and mostly women. But most men wanaishia pabaya. Wengi hawawezi ku settle tena. Wengine wanafilisika kabisa.
bwana.... king'ast hatupingi completely ila hatupendi zitokee
BB, unajua nadhani ni wachache ambao wako shortsighted ndo wanapenda kwa makusudi. lakini hebu turejee comments za nyuma hapo. nadhani hii mosquito ametufunza hapa pia, never to take our spouses/partners for a ride/granted! unaweza kudhani unachezea moyo wa mwenzio kumbe ndo umeacha mbachao! ukistuka msala ushapita na mbachao nayo imekula kona. im sorry mtm, mbu na wakaka wengine, lakini ktk jamii niliyokulia mimi nimeona wanawake wanavumilia ile mbaya. wengine kiasi cha kufa na kansa (continuous stress ni mojawapi ya risk factors..) na hata depression na magonjwa ya moyo. ugonjwa hautibiwi kwa ugonjwa mwingine (crazy scientists with their crazy vaccines!)nadhani najifunza hapa kuwa nifanye kila niwezalo kuokoa jahazi,ila mwenzangu akiamua kuzamisha ile makasia yake, sijui kama kuna choice tena hapo zaidi ya kujitupa majini!
pole sana Mbu...hii ilikuwa kama ujio wa Kristu, hatujui cku wala saa, kweli kwenye hili game nalo unatakiwa kujiandaa tu waweza kutwaliwa wakati wowote......nikisomaga thread zako nikifika home huwa namwangalia msukuma mara mbili mbili kujaribu kufikiri anafikiri nn ili niweze "kujiweka" sawa kwa lolote...'9cku akilipukwa"......cjui mie ndio ntaanza "kulipukwa"...khaaaaa
...pheeeww, unataka nifunguke sasa.
Nitakuwekea kwenye kifuu...(nut shell)...
8yrs - Ndoa na Roller Coaster ride zake. Tanzania.
18 months - Separation, Mke Tanzania...Mume Ughaibuni.
6months - "Honeymoon!" period Ughaibuni (mke na mume)
Then, siku ya siku mke kalipukwa Ughaibuni anataka talaka, hataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala
Apewe talaka yake!
Mke akaenda kuolewa na Mzungu, ...nako huko yakamshinda...
Mbu akabakia anaugulia vidonda vya tumbo ...kwenye kuokoteza, akampata Nunda balaa kuliko wa mwanzo!
Naomba maswali yaishie hapa.