Life after Death: What happens after death?

We kitimoto unajua ilmu ya roho allah aliyoizungumzia au unaleta ngonjera zako hapa zisizo na mashiko.
kweli kichaa ni taaluma! allah ndie aliyesema ilimu ya Roho hamkupewa unanikoromea mgen badala ya allah aliyesema! Mbona shobo? Na moja ya dalili ni hizi kwamc hamna ilimu ya Roho!; kuna hekima gani ukijamba unaachia swala na kukimbia kwenda kunawa na harfu ya ushuzi unaiacha msikitini ukijamba?...
 
wee g!; acha kupiga mikelele! allah amesha kwambia ilimu ya Roho hukupewa hau! Au unamuona allah muongo? Unatakiwa utulie uwe mdogo kama piriton! Wakati mambo ya Roho yakijadiliwa!

wewe umepewa elimi ya kiroho na mapadri wenzako na ndio mkaicheza ile michezo ya kiroho au sio hiyo ndio hoja uliyobaki nayo
 
the less you know the better:tape:
 
mpaka saa hii sina idea kwamba naenda wapi....but nikishakufa ndio nitajua....kwa sasa ni mapema mno kwa mimi kufahamu hilo

the most prudent idea ni kukubali ukifa huendi popote thats is it na hiyo ndio fact iliyotuzunguka mpaka sasa unless mtu akitupa ushahidi otherwise... watu wote wanaokufa wanaoza basi inabaki mifupa sasa sijui hii courage ya kudhan ukifa may b unaenda mahali imetoka wapi!!! tuishi kwa fact zinazotuzunguka tuachane na illusion!!! since karne na karne watu wanakufa tu na hakuna hata mmoja aliyerud au kututhibitishia akifa anaenda mahal!!!
 
May be we are more afraid of living than we are of dying.. just saying..... this is some scary shit here
 
mi naona kila mtu atajua atakwenda wapi pale ATAKAPOKUFA...zaidi ya hapo hapo sasa tutakuwa tunachanganyana tu....tuwe na subira jamani kwani kifo chaja tutajua tu...lol.....
 

unacheza bahati nasibu? kwa nn uamini kitu usicho na ushahidi nacho? ni tamaa tu ya kutaka kuishi milele au!!!
 
Ikiwa tutaenda mbinguni mbona Mungu alipomuumba Mzazi wetu wa kwanza Adam na Hawa hawakuishi mbiguni? Na ikiwa tunamatumaini ya kuishi mbinguni kwanini tuonauomba ufalme wa mungu uje duniani?
Na hilo nalo neno!
 

Umeeleza vizuri sana mkuu, na kifungu ulichotoa kwa hakika kiliandikwa na mtu aliyekwishaanza kujitambua! Lakini hapo chini kwenye njano naona ukanipoteza tena, kwa maana hiyo wenye dhambi ndiyo wataonja umauti halafu wasio na dhambi hawataonja umauti? au kuna kitu sijaelewa mkuu?
 


Aisee! Kuna mambo mawili nimeyaona ktk hoja zako!

Moja rudi ukaisome Hiyo waebrania tena uone ina maana gani na km Bado utakua hauielewi rudi uniulize nikufafanulie!
Kutokana na waebrania haina maana ya kifo Cha mwandamu!

Na pili ktk Biblia kuna mtu anaitwa Razaro! Nenda ukasoma kisa chake kisha uje hapa Tujadili!

Napenda niseme Hakuna maisha baada ya kifo! Wafu wamekufa na Hawajui chochote na hawako sehemu yoyote Zaidi ya Kua mizoga kaburuni!

Hii ndio kauli halisi ya shetani alipomwambia Hawa bustanini Kua ukila tunda hautokufa utakua km Mungu na Leo tena mnatuambia kuna maisha baada ya kifo?
 


Mkuu Nimeona nijaribu kujibu niwezavyo,

Nirudi Eden Mungu alimwambia Adam Kua wakila lile tunda la mti Wa uzima watakufa! Na walipokula hawakufa hapohapo na baada ya laana Ndo tunaona mtoto Wa Adamu " Abel" anauawa/kufa! Kwa Hiyo hapo ile kauli ya Mungu ikaanza kutimia!

Ukisema mshara Wa dhambi ni mauti haina maana Kua usipotenda dhambi Kamwe hautokufa! Hilo fungu linazungumzia kifo kile Cha pili Cha milele na Kwa maana Hiyo mtu asipotenda dhambi ajapokufa ataishi! Hii nayo inaonesha ule ufufuo ujao Kua ukiwa Just utaishi milele!
Shida kubwa ni mauti ile ya pili maana ukiwa mdhambi ndio milele hautoonekana na ukiwa Mwenye haki basi utaishi milele! Hichi kifo Cha sasa Hakina shida Kwasababu kuna ufufuo ila shida ni kwamba mauti yatakukuta Vipi? Mdhambi Au Mwenye haki? Na pia niweke wazi hapa Hiyo siku atakaporudi Mwana Wa Adamu kuna binadamu wengine watakutwa hai.
Na katika Hao wenye haki hawatoonja mauti na watanyakuliwa kwenda mbinguni na waliokufa katika haki watafufuliwa kwanza na kuunganana Hawa kwenda mbiguni! Wenye dhambi watakaokutwa duniani watakufa na shetani atafungwa miaka 1000 na Dunia kubaki ukiwa na mizoga ya maiti ikiwa imetapakaa! Then shetani atafunguliwa na Hao wadhambi watafufuliwa na kuteketezwa. Na dhambi kutokomezwa
Then Dunia itafanywa mpya na walio kwenye haki watarudia kuja kuishi hapa Dunia!


Sijui nimeeleweka?
 

Ni kama umenipoteza kidogo mkuu, navyoelewa biblia inafundisha kuwa baadaye watu wote watafufuliwa, kisha wengine wataenda mbinguni na wengine motoni ambako wataunguzwa milele bila "kufa" tena!
 
Ni kama umenipoteza kidogo mkuu, navyoelewa biblia inafundisha kuwa baadaye watu wote watafufuliwa, kisha wengine wataenda mbinguni na wengine motoni ambako wataunguzwa milele bila "kufa" tena!

Mkuu nilihisi hoja haijatimia nikafanya kuhariri Hiyo post! Hebu pitia tena uisome kuna majibu ya hapo ulipopotea!
 
Ni kama umenipoteza kidogo mkuu, navyoelewa biblia inafundisha kuwa baadaye watu wote watafufuliwa, kisha wengine wataenda mbinguni na wengine motoni ambako wataunguzwa milele bila "kufa" tena!


Alafu Mkuu kuna kitu nilisahau kidogo, wakati Wa hukumu ni sasa Yani Tuko ktk huku iwe jema Au baya! Tunaesabiwa haki na atakapokuja Mwana Wa Adam ni kumlipa mtu ujira wake Kutokana na matendo yake!
Na ndio maana ukifa hesabu yako inakua imeishia hapo! Hakuna mtu atakaeweza kukuombea usamehewe dhambi Au upate heri wakati mauti yakiwa tayari yamekukuta!
 

life before life hata kitabu cha momorns kinaeleza hvyo,life after life pia kinaeleza kua kuna mbingu nyngi sana na kabla ya kuja duniani sis tulikua miungu na hata tukifa tunarudi kua miungu na kila mtu anapewa sayari yake awe mungu kwa watu wa huko na hata mungu wetu hapo kabla alikua binadam kwenye sayar nyngne kisha akawa mungu,shart ili uwe mungu unatakiwa kuobey mungu wako wa sasa km alivofanya mungu wetu,aliobei mungu wake,je unataman kua mungu,soma vitabu vya nabii joseph smith.
 

vp kuhusu wale watakuwa katika sayari nyingine mfano mass au mwezini hawatakufa atakapokuja mwana wa adamu hapa duniani?.
 
vp kuhusu wale watakuwa katika sayari nyingine mfano mass au mwezini hawatakufa atakapokuja mwana wa adamu hapa duniani?.

Aisee! Unazungumzia kiumbe binadamu Au? Km ni kiumbe binadamu popote pale Mungu atamfikia kumlipa ujira wake!

Kumbuka kisa Cha Yona aliemkimbia Mungu na kwenda kujificha! Lkn akiwa ndani ya bahari akatupwa majini na akamezwa na samaki na kupelekwa Ninawi ambako Mungu alikua amekusudia Yona Ende!

Huwezi kujificha mbele za USO Wa Mungu!
 
Lakini hapo chini kwenye njano naona ukanipoteza tena, kwa maana hiyo wenye dhambi ndiyo wataonja umauti halafu wasio na dhambi hawataonja umauti? au kuna kitu sijaelewa mkuu?


Hapo pia yupo sawa kwani hakuna binadamu ambaye ni masfi wote tunatenda dhambi na tuliridhi dhambi ile ya adamu ndiyo maana tuna kufa.
 
Hapo pia yupo sawa kwani hakuna binadamu ambaye ni masfi wote tunatenda dhambi na tuliridhi dhambi ile ya adamu ndiyo maana tuna kufa.

Mnazidi kunichanganya wakubwa, naona kama mistari ya biblia inakinzana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…