Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

mkuu, sio dini zetu zinazotuaminisha kwan hata mababu zetu kabla ya din kuingia waliamini kuwa mtu akifa anakuwa katika mfumo mwingine wa maisha kama vile mizimu, miungu nk. walisadikika kuwa ni watu waliokufa

zote hizo ni dini ninazopinga!
 
There is life spiritual life after physical (bodily) death. For a man is A SPIRIT, he has a SOUL, and lives in a BODY. So ni ufinyu wa mawazo kama mtu anafikiri kuwa binadamu halisi ni hili dude la nje lenye nyama tunaloliita mwili...! There is more than that, hata hapo ulipo jiulize, wewe halisi ni yule watu wanayekuona nje au ni yule unayejifahaam ulivyo ndani yako??? na SPIRITS DON'T DIE they live FOREVER.
 
hii theory ni kweli inataka great thinkers maana wengi wanaishia tu kusema, kuna maisha baada ya kufa. Ngoja niweke sawa mifano halafu nitarudi hapa na fikira zinazo make sense
 
mkuu ukifa umekufa

nikulize swali, ulipokuwa tumboni kwa mama yako kabla ya miezi minne ulikuwa nan?? Ulikuwa unafahamu?? Ulikuwa maiti??? Unakumbuka uliyoyaona tumboni kwa mama yako??? Ukinijibu hayo utapata majibu kama aliyekuumba ww mkahidi na akakukadilia kwa kila kitu na akakufumba kutoijua siku ya pili na kukufumba kujua kitakachotokea baada dakika moja aliyekuumba kwa namna ya kujipa matumaini na uhakika kesho ntaamka hali ya kuwa hujui la kesho ndugu nipe majibu kisha nikipata time ntakupa zaidi
 
There is life spiritual life after physical (bodily) death. For a man is A SPIRIT, he has a SOUL, and lives in a BODY. So ni ufinyu wa mawazo kama mtu anafikiri kuwa binadamu halisi ni hili dude la nje lenye nyama tunaloliita mwili...! There is more than that, hata hapo ulipo jiulize, wewe halisi ni yule watu wanayekuona nje au ni yule unayejifahaam ulivyo ndani yako??? na SPIRITS DON'T DIE they live FOREVER.

umejitahidi, na hili pia wajue hilo hata unapoumia au kupata maumivu makali inayoumia nini mwili au nafsi(roho) roho ikitolewa kisha ukakatwa mkono bila ganzi utackia maumivu?? Kuna vitu viwili ndani ya mwili wa binadamu ntaeleza zaid cku moja, hapa hatutumii maneno ya wazungu tunatumia akili zetu na ushahidi uliodhahiri mengne hatuwez kujua aliyoyaficha aliyotuumba ila aliyotufunulia tujue bac tutayasema
 
Life is not ultimately physical and the body is not the whole man. And we might add that neither the body in itself, nor the soul in itself, nor the spirit in itself makes up the whole man, but he is "spirit and soul and body." This must be seriously considered and definitely agreed to before we can comprehend with any accuracy the subject of life after death.

Source:
Spirit, Soul, and Body
 
Hakuna uwezekano hata kiduchu, kulingana na ushahidi wa kitaaluma uliopo sasa, wa mtu kuweza kuendelea kuishi baada ya kifo cha kibaiolojia.
 
Kama kweli kisa cha Adam n Eve kilitokea, sielewi kwanini mungu kamuua twende kuishi mbinguni. Au kakubali kwamba his creation on earth is not perfect? Eti duniani tunapita. Sasa si agetuumba kama malaika tu.

Mambo ya kutesanatesana, kujaribianajaribiana, imani, vya nini?? Kwanza it just prooves how imperfect,inhuman (unsympathetic), dramatic God is...what does it do to god ukimwamwini au usipowamini? Throu out history watu wamekufa through the worst ways imaginable. Kama Mungu anataka haki itendeke, afanye hapa, sasa hivi, bila mtu kupata maumivu yasiolezeka. Mtu aliyekufa kwa kuchomwa moto kwasababu ya kumwamini yesu, haki yake hajapewa. Hata akifufuliwa it stil wont be fair. Alishakosewa. Alishaumia. And if god can do it now, why not? Sababu za kijinga jinga tu. Mungu angekua binadamu mngesema ni KATILI, hitler na idd amin hafikii.

I dont know if there is life after death. Binadamu tunapenda kuishi, tunaogopa kufa, ndomaana tunajipa moyo in life after death. Personaly, kama kuna kitu/mtu anaweza kunipa life again, iwe hapa duniani, nikiwa mimi. I like the food, the music, the people i love, the SEX. Mambo ya mbinguni sijui wapi sitaki. Kwanza mbinguni mnaenda kumwimbia mungu wenu nyimbo za wakatoliki, KILA SIKU. akha. Let me see if your god will burn me forever kisa nimekataa tu kumwamini, lakini waislamu wake wanaoua makafiri wanaenda huko mbinguni
 
Kama kweli kisa cha Adam n Eve kilitokea, sielewi kwanini mungu kamuua twende kuishi mbinguni. Au kakubali kwamba his creation on earth is not perfect? Eti duniani tunapita. Sasa si agetuumba kama malaika tu.

Mambo ya kutesanatesana, kujaribianajaribiana, imani, vya nini?? Kwanza it just prooves how imperfect,inhuman (unsympathetic), dramatic God is...what does it do to god ukimwamwini au usipowamini? Throu out history watu wamekufa through the worst ways imaginable. Kama Mungu anataka haki itendeke, afanye hapa, sasa hivi, bila mtu kupata maumivu yasiolezeka. Mtu aliyekufa kwa kuchomwa moto kwasababu ya kumwamini yesu, haki yake hajapewa. Hata akifufuliwa it stil wont be fair. Alishakosewa. Alishaumia. And if god can do it now, why not? Sababu za kijinga jinga tu. Mungu angekua binadamu mngesema ni KATILI, hitler na idd amin hafikii.

I dont know if there is life after death. Binadamu tunapenda kuishi, tunaogopa kufa, ndomaana tunajipa moyo in life after death. Personaly, kama kuna kitu/mtu anaweza kunipa life again, iwe hapa duniani, nikiwa mimi. I like the food, the music, the people i love, the SEX. Mambo ya mbinguni sijui wapi sitaki. Kwanza mbinguni mnaenda kumwimbia mungu wenu nyimbo za wakatoliki, KILA SIKU. akha. Let me see if your god will burn me forever kisa nimekataa tu kumwamini, lakini waislamu wake wanaoua makafiri wanaenda huko mbinguni

mh! Vipi kuamini alafu ukakuta ni kweli kuliko kutoamini.. Nadhani unahitaji zaidi mafundisho ya imani yako utajijibu maswali yote hayo!!
 
Sidhani kama kulikua na zelous christian kama mimi shuleni. Tena nilikua nataniwa mtoto wa mama rwakatare. Nilikua shahidi wa yehova, kila jumamosi mnaenda kuhubiri majumbani kwa watu. HOW EMBARASIN.....Untill i started thinking for myself. Everything doesnt make sense. KWENYE DINI ZOTE..ukishaanza dini na story ya adam na eve tu basi, nakupiga chini. I wonder if people take the time to think of that story and see if it would make sense if it was real. Ukiongeza na maovu yanayotendeka? Sijaona dini inayonipa sababu nzuri zaidi ya kurudisha blame kwa victim. Kama itakua kweli basi. Nachojua sijamuumiza mtu, infact as an agnostic, i got better plans for the next generations kuliko nyie wana-dini
 
Sidhani kama kulikua na zelous christian kama mimi shuleni. Tena nilikua nataniwa mtoto wa mama rwakatare. Nilikua shahidi wa yehova, kila jumamosi mnaenda kuhubiri majumbani kwa watu. HOW EMBARASIN.....Untill i started thinking for myself. Everything doesnt make sense. KWENYE DINI ZOTE..ukishaanza dini na story ya adam na eve tu basi, nakupiga chini. I wonder if people take the time to think of that story and see if it would make sense if it was real. Ukiongeza na maovu yanayotendeka? Sijaona dini inayonipa sababu nzuri zaidi ya kurudisha blame kwa victim. Kama itakua kweli basi. Nachojua sijamuumiza mtu, infact as an agnostic, i got better plans for the next generations kuliko nyie wana-dini
Igwe like this,.....
 
Ukifa umekufa, ni uongo wa dini zetu eti kuna maisha baada ya kifo!

Kama hakuna maisha baada ya kufa kwanini unapokata roho unalia na kumtaja Mungu au Yesu akusaidie? akusaidie usife? na uendelee kuishi duniani mpaka lini? kwanini unaogopa kifo? unaogopa huko unakoelekea usikokujua?
 
Kama hakuna maisha baada ya kufa kwanini unapokata roho unalia na kumtaja Mungu au Yesu akusaidie? akusaidie usife? na uendelee kuishi duniani mpaka lini? kwanini unaogopa kifo? unaogopa huko unakoelekea usikokujua?

kama umekua na concept ya mungu what do u expect....
 
We do not. As simple as that. Like you yourself have proved in your question, confusing. How can you live after physical death? In real life you are to be called a veggie.
 
Has there been anybody who returned from the dead to tell the story?
 
Back
Top Bottom