Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

Maandiko matakatifu yanasema kila nafsi itonja mauti na kuna maisha baada ya kifo,Kwani tunaambia mwana wa adamu atashuka kutoka mawinguni na wafu watafufuka naye atakuja kuwachagua wema na waovu kutokana na matendo yao.

Na baada ya kifo inamaana ile pumzi aliyopuliziwa binadamu inatengana na mwili na kushuka kuzimu ikiwa haina ufahamu tena na wala hakuna mateso yeyote mtu atakayeyapata baada ya kufa hadi pale parapanda ya mwisho itakapolia ambayo itawafufua wale wote waliyo kufa na waliosalia hai wale wenye dhambi wote watakufa na wale wasiyo na dhambi watabadilishwa mwili wa kibinadamu na kuvalishwa mwili mpya na hapo ndipo yesu atakapowaambia karibu kwangu wanagu wazuri nilikwenda kuwandalia makao na sasa nimekuja kuwaachukua, OOOOOH HALELUJAH......

Na tofauti ya ufufuo ni miaka 1000 biblia inatuambia kati wale waliyofufuliwa wasiyo na dhambi na wale waliokufa wakiwa na dhambi,Na mambo yote yatapita lakini neno litasimama.

Na bwana awabariki wote.

mkuu huoni kama hapo kwenye red inapingana na kinachoitwa "kila nafsi itaonja mauti"
 
sound like biochemistry literature.
scientific answer
According to science,
the first type of bacteria to tear apart the muscle into individual protein strands of the dead body are called saprobic bacteria. Then, proteins are broken down by an enzyme called protease that is secreted by fermentative bacteria. The polypeptides(proteins) are converted into amino acids. The second type of bacteria called acetogens decompose amino acids into acetic acid, hydrogen gas, nitrogen gas, and carbon dioxide gas. To do this, they need oxygen which they obtain from oxygen dissolved in the body's fluids or bound in the body's structure. Then, the acetogens die out. As the acetogens die out, the other type of bacteria called methanogens become more predominant. Methenogens produce methane gas(organic gas). They combine the acetic acid made by acetogens with hydrogen gas, and carbon dioxide gas to produce methane gas, water and carbon dioxide. Therefore, there is no life after death, what happens is the conversion of the dead body to methane gas, water and carbon dioxide.

For more details, visit; Decomposition of Organic Matter: a Rotten Process
 
Sidhani kama kulikua na zelous christian kama mimi shuleni. Tena nilikua nataniwa mtoto wa mama rwakatare. Nilikua shahidi wa yehova, kila jumamosi mnaenda kuhubiri majumbani kwa watu. HOW EMBARASIN.....Untill i started thinking for myself. Everything doesnt make sense. KWENYE DINI ZOTE..ukishaanza dini na story ya adam na eve tu basi, nakupiga chini. I wonder if people take the time to think of that story and see if it would make sense if it was real. Ukiongeza na maovu yanayotendeka? Sijaona dini inayonipa sababu nzuri zaidi ya kurudisha blame kwa victim. Kama itakua kweli basi. Nachojua sijamuumiza mtu, infact as an agnostic, i got better plans for the next generations kuliko nyie wana-dini

Kwa kwelinimeisoma haya maoni yako nimejikuta natamani kukujibu. Kiukweli bubbs japonahisi kuna watu wanaweza kudhani una-kufuru kwa makusudi, binafsi nimeaminiusemacho kuhusiana na unavyoona. Niwajuavyo mashaidi wa jehova ni kwambawanaijua biblia na wameisoma between the line and leaving no stone unturned.Kiasi kwamba unaposema unaijua biblia sikubishii. Uzoefu wangu unaniambiakuhusu mashaidi wa yehova kwamba, ikitokea mtu ameacha uyehova kinachofuata nimambo mawili makuu moja kuwa mpagani na pili kuwa mwislamu. Hizi choice mbilizipo in most cases.
Tatizo kuuhapo ni kwamba ukiwa kama shahidi unapoisoma biblia na kujiaminisha kila unachokiona kwa ushahidi wa kiufafanuzi then unatumia muda wako wa jumatano(kama sijakosea siku hii) kwenda kuhubiri Imani hii inatokea unawakuta wakristo wa madhehebu mengine unawapa habari hii njema kwa nguvu zako ukitumika kui-propagate hii Imani maisha yako yote. Sasa inatokea umekuwa disappointed na ukaikacha. ukifikiria kuingia imani nyingine, unakuja kukuta Imani nyingine kama uanglikana, usabato, ulutheri,u-full gospel, u-pentekoste ulishawahi kuzichalenge kwa mistari uliojiaminisha kuielewa kwa ufafanuzi na unaona kwamba hawaelewi biblia vizuri na sasa wewe haujisikii kwenda kwani huoni kipya kutoka kwao. Na ndio hapo unajikuta kama uliemaliza kuisoma biblia then labda ukifuatilia uslamu utapata kitu kipya na ikitokea hautaki kuwa mwislamu, basi unaamua uishi kipagani. Kiukweli kabisa wajehova sio wakristo kwani wakristo wanaamini katika yesu kristo ndie mkombozi wa dunia hii mwenye umoja na baba katika nafsi tatu na mamlaka yote , wakati mashahidi wanaamini jehova ndie mwenye mamlaka yote.zifuatazo ni sababu zinazotofautisha ukristo na mashahidi ; Nadhani hakuna ukristo unaofundisha biblia kwa jinsi yenu nyinyi niwakipekee sana,
Hawatambui usawa wa umungu katika utatu mtakatifu ),
hawaamini kama kuna jehanum kwa madai kuwamungu sio mkatili hivyo na ikiwepo haitakuwa ya milele na milele bali mtaunguana kufa kabisa,
wanaamini paradiso wataoana kuzaana na kuoana (hapa pia ni kamawaislamu) wakati wakristo wanaamini wataishi kama malaika hakuna kuoa wala kuolewa,
hawakubali kuita nyumba zao za ibada ‘KANISA' bali jumba la ufalmewa jehova kwa hofu kuwa kipindi cha uharibifu kikifika makanisa yoteyatateketezwa wakiona tu msalaba hapo nje na wao watanusurika kwanihayatatambulika kirahisi.
Hawaamini kama tutakwenda kuishi na yesu mbinguni bali nchi hii itabadilishwa,
hawaaminikwamba yesu alisulubiwa msalabani bali mtini wakitumia sababu za kihistoriaikiwemo biblia wanayoiamini ya kigiriki kama ni biblia sahihi.
Hawaamini katika serikali zozote za wanadamu na kwamba serikali hizi zitakuja kuharibiwa na utawala wa yehova na watarithi majumba ambayo wanadamu wanayajenga
na hii imewafanya kwenye nchi nyingi wapigwe marufuku hivyo imewafanya waendeshe mambo yao kwa siri kiasi japo sio kama zamani,
ukiwamuumini wa hawa hautasikiliza siasa wala kupiga kura,
japo walikuja kufanikiwamarekani kutokana na uhuru wa kuabudu kama ilivyo ile Imani ya radicle Christianity ya Mormon ambayoaliyekuwa mgombea urais wa marekani mit Romney ni muumini wake,
hawakubalianina kusheherekea krismas kama ambavyo wakristo wengi wamekuwa wakifanya,
wanasheherekea pasaka tu na haiwi kama hii ifanywayo duniani kote bali yao inafuata kalenda za kiyahudi,
Pia wana kitu kimoja ambacho nimewahi kukiona kwa Imani ya waislamu kwamba ukiwa mgeni hawakupi mafaili yote usijeukawakimbia yaani ni kama mtoto hawezi kulishwa ugali kabla hajapewa maziwahivyo ukikaa nao ukaamini machache ndio watakupa hizi complex ideas ambazo wakristo wengi hawazijui.
binafsi nimekuwa nawatazama hawa kama wasio wakristo, kwani wao wanachambua maandiko kwa kutumia neo hadi neno bila kubeba maana ama mazingira ya neno. pole kwa kuwa kwenye hii imani. for real.nimeandika haya ili uelewe jinsi hii imani yinayotumia amkeni na mnara wa mlinzi ilivyo complex kuhamia imani nyingine inayohusiana na ukristo na usijishangae sana kwanini unaelekea kuwa agnostic. mungu yupo mtafute maana anapatikana
 
Angalia aya hizi hapa kwenye surat-AL-A'NKABUUT (QUR-AN, SURA YA 29)

57: Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu.

58: Na ambao wameamini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawaweka katika maghorofa
ya Peponi yenye kupitiwa chini yake mito, wakidumu humo. Ni mwema ulioje huo
ujira wa watendao.

59: Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.

Nyengine hizi hapa:
63: Na ukiwauliza: Ni nani anaye teremsha maji kutoka mbinguni, na akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake? Bila ya shaka watasema: Ni Mwenyezi Mungu. Sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Bali wengi katika wao hawafahamu

64: Na haya maisha ya dunia si chochote ila ni pumbao na mchezo. Na nyumba ya Akhera ndiyo maisha khasa; laiti wangeli kuwa wanajua

Kumbe kuishi kwenye magorofa ni raha!
 
Kwa kwelinimeisoma haya maoni yako nimejikuta natamani kukujibu. Kiukweli bubbs japonahisi kuna watu wanaweza kudhani una-kufuru kwa makusudi, binafsi nimeaminiusemacho kuhusiana na unavyoona. Niwajuavyo mashaidi wa jehova ni kwambawanaijua biblia na wameisoma between the line and leaving no stone unturned.Kiasi kwamba unaposema unaijua biblia sikubishii. Uzoefu wangu unaniambiakuhusu mashaidi wa yehova kwamba, ikitokea mtu ameacha uyehova kinachofuata nimambo mawili makuu moja kuwa mpagani na pili kuwa mwislamu. Hizi choice mbilizipo in most cases.
Tatizo kuuhapo ni kwamba ukiwa kama shahidi unapoisoma biblia na kujiaminisha kila unachokiona kwa ushahidi wa kiufafanuzi then unatumia muda wako wa jumatano(kama sijakosea siku hii) kwenda kuhubiri Imani hii inatokea unawakuta wakristo wa madhehebu mengine unawapa habari hii njema kwa nguvu zako ukitumika kui-propagate hii Imani maisha yako yote. Sasa inatokea umekuwa disappointed na ukaikacha. ukifikiria kuingia imani nyingine, unakuja kukuta Imani nyingine kama uanglikana, usabato, ulutheri,u-full gospel, u-pentekoste ulishawahi kuzichalenge kwa mistari uliojiaminisha kuielewa kwa ufafanuzi na unaona kwamba hawaelewi biblia vizuri na sasa wewe haujisikii kwenda kwani huoni kipya kutoka kwao. Na ndio hapo unajikuta kama uliemaliza kuisoma biblia then labda ukifuatilia uslamu utapata kitu kipya na ikitokea hautaki kuwa mwislamu, basi unaamua uishi kipagani. Kiukweli kabisa wajehova sio wakristo kwani wakristo wanaamini katika yesu kristo ndie mkombozi wa dunia hii mwenye umoja na baba katika nafsi tatu na mamlaka yote , wakati mashahidi wanaamini jehova ndie mwenye mamlaka yote.zifuatazo ni sababu zinazotofautisha ukristo na mashahidi ; Nadhani hakuna ukristo unaofundisha biblia kwa jinsi yenu nyinyi niwakipekee sana,
Hawatambui usawa wa umungu katika utatu mtakatifu ),
hawaamini kama kuna jehanum kwa madai kuwamungu sio mkatili hivyo na ikiwepo haitakuwa ya milele na milele bali mtaunguana kufa kabisa,
wanaamini paradiso wataoana kuzaana na kuoana (hapa pia ni kamawaislamu) wakati wakristo wanaamini wataishi kama malaika hakuna kuoa wala kuolewa,
hawakubali kuita nyumba zao za ibada ‘KANISA’ bali jumba la ufalmewa jehova kwa hofu kuwa kipindi cha uharibifu kikifika makanisa yoteyatateketezwa wakiona tu msalaba hapo nje na wao watanusurika kwanihayatatambulika kirahisi.
Hawaamini kama tutakwenda kuishi na yesu mbinguni bali nchi hii itabadilishwa,
hawaaminikwamba yesu alisulubiwa msalabani bali mtini wakitumia sababu za kihistoriaikiwemo biblia wanayoiamini ya kigiriki kama ni biblia sahihi.
Hawaamini katika serikali zozote za wanadamu na kwamba serikali hizi zitakuja kuharibiwa na utawala wa yehova na watarithi majumba ambayo wanadamu wanayajenga
na hii imewafanya kwenye nchi nyingi wapigwe marufuku hivyo imewafanya waendeshe mambo yao kwa siri kiasi japo sio kama zamani,
ukiwamuumini wa hawa hautasikiliza siasa wala kupiga kura,
japo walikuja kufanikiwamarekani kutokana na uhuru wa kuabudu kama ilivyo ile Imani ya radicle Christianity ya Mormon ambayoaliyekuwa mgombea urais wa marekani mit Romney ni muumini wake,
hawakubalianina kusheherekea krismas kama ambavyo wakristo wengi wamekuwa wakifanya,
wanasheherekea pasaka tu na haiwi kama hii ifanywayo duniani kote bali yao inafuata kalenda za kiyahudi,
Pia wana kitu kimoja ambacho nimewahi kukiona kwa Imani ya waislamu kwamba ukiwa mgeni hawakupi mafaili yote usijeukawakimbia yaani ni kama mtoto hawezi kulishwa ugali kabla hajapewa maziwahivyo ukikaa nao ukaamini machache ndio watakupa hizi complex ideas ambazo wakristo wengi hawazijui.
binafsi nimekuwa nawatazama hawa kama wasio wakristo, kwani wao wanachambua maandiko kwa kutumia neo hadi neno bila kubeba maana ama mazingira ya neno. pole kwa kuwa kwenye hii imani. for real.nimeandika haya ili uelewe jinsi hii imani yinayotumia amkeni na mnara wa mlinzi ilivyo complex kuhamia imani nyingine inayohusiana na ukristo na usijishangae sana kwanini unaelekea kuwa agnostic. mungu yupo mtafute maana anapatikana

wow. U know almost everything about them. Do u have Family in there?Well ofcourse they are not christians. They are the antichrist himself, wanavyokataa kushiriki mlo wa jioni wa bwana. And yes, they use mind control techniques kiasi kwamba by the time you are already in inaweza kuwa vigumu kutoka.

What u say abou ex-JW is NOT true. Sijwahi kusikia an ex JW kawa muislamu! And trust me i'm in alot of ex-JW forums. Options ni kuwa a born again, kama bado unaamini biblia au kuwa atheist, kama umefanya research kuhusu origin ya biblia.

Ni mungu gani unayesema yupo nimtafute? Unafkiri niliamka siku moja nikasema 'ok from now onwards i'm an atheist?'. It was a long process, took me two years of denial. Sikutaka kuamni hakutakuwa na paradiso duniani. Sikutaka kuamini yesu ni mungu. Sikutaka kuamini kuna 'hell'. But its all in the bible.

Na Unavyosema JW wanajuwa sana biblia, walaa....the only thing they are good at ni kuchukua mistari ya biblia out of context na kumake up their own stories, na kuadd their own meaning on scripture.....utafiti anaofanya an individual JW ni kwa kutumia publications ambazo zimeishachakachuliwa (wamechagua maandiko out of context kuprove thier ideas), so utamuona anajua kuchunguza sana maandiko kumbe hamna kitu. NA BIBLIA YAO NI KICHEKESHO KWA WATALAAM WA LUGHA ZA KWENYE BIBLE.

anyways, nilikuwa nimeanza kuaccept the concept of trinity, untill i started researching on the history of the bible. Mungu unayesema nimtafute ni mungu wa biblia?? Kama ni huyo, how much do u know about the bible and its history mpaka umemchagua huyo kuwa mungu wako? And how many ancient texts do u know of hadi ukakubali biblia? And why?
 
23.SURATUL MUUMINUN
Hii ni sura iliyoteremka Makka. Aya zake ni mia na kumi na nane.

1.Hakika wamefanikiwa waumini

2. Ambao ni wanyenyekevu katika sala zao

3. Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi.

4. Na ambao wanatoa Zaka

5. Na ambao wanazilinda tupu zao

6. Isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.

7. Lakini anayetaka kinyume cha haya, basi hao warukao mipaka.

8. Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao.

9. Na ambao sala zao wanazihifadhi,

10. Hao ndio warithi,


11. Ambao watairithi Pepo ya Firdausi,wadumu humo.


12. Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.


13. Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.

14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda,na tukaiumba damu kuwa pande la nyama,kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa,na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi mungu mbora wa waumbaji.

15. Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.


16. Kisha hakika nyinyi siku ya Kiyama mtafufuliwa.


17. Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.


18. Na tumeteremsha kutoka mbinguni maji kwa kiasi na tukayatuliza katika ardhi. Na hakika sisi tunaweza kuyaondoa.


19. Kwa maji hayo tukakufanyieni bustani za mitende na mizabibu,mnapata humo matunda mengi, na katika hayo mnakula.

20. Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.


21. Na hakika mnayo mazingatio makubwa katika nyama hoa tunakunywesheni katika vile viliomo matumboni mwao, na nyinyi mnapata katika hao manufaa mengi, na pia mnawala.


22. Na juu yao na juu ya marikebu mnabebwa.

23. Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi mungu. Nyinyi hamna Mungu asiye kuwa yeye. Basi je! Hamwagopi?

24. Walisema wale wakuu walio kufuru katika watu wake: Huyu si chochote ila ni mtu tu kama nyinyi. Anataka kujipa ubora juu yenu. Na lau kuwa Mwenyezi mungu amependa basi yakini angeli teremsha Malaika. Hatukusikia haya kwa baba zetu wa zamani.


25. Huyu si lolote ila ni mtu mwenye wazimu. Basi mngojeeni tu kwa muda.


26. Akasema (Nuhu): Mola wangu mlezi! Ninusuru kwa kuwa wamenikanusha.

27. Tukampa wahyi: Unda jahazi mbele ya macho yetu na uwongozi wetu! Basi itapo fika amri yetu na ikafurika tanuri,hapo waingize ndani yake wa kila namna dume na jike,na ahali zako,isipo kuwa yule ambaye katika wao juu yake imekwisha tangulia kauli. Wala usinitajie hao walio dhulumu. Kwani hao bila ya shaka watazamishwa.


28. Basi utakapo tulia wewe na walio pamoja nawe humo merikebuni, sema: Alhamdulillahi sifa zote njema ni za Mwenyezi mungu,aliye tuokoa na watu madhaalimu.


29. Na sema: Mola wangu mlezi! Niteremshe mteremsho wenye baraka, na wewe ni mbora wa wateremshaji.

30. Hakika katika hayo yapo mazingatio. Na kwa yakini sisi ni wenye kuwafanyia mtihani.


31. Kisha baada yao tukaanzisha kizazi kingine.


32. Tukawapelekea Mtume miongoni mwao, kuwaambia: muabuduni Mwenyezi mungu! Hamna Mungu asiye kuwa yeye. Jee,hamwogopi?

33. Na wakubwa katika watu wake walio kufuru na wakakanusha mkutano wa Akhera, na tukawadekeza kwa starehe katika maisha ya dunia,walisema: Huyu si chochote ila ni binaadamu kama nyinyi; anakula mlacho, na anakunywa mnywacho.

34. Na nyinyi mkimt'ii mtu kama nyinyi basi hakika mtakuwa khasarani.


35. Hivyo anakuahidini ati ya kwamba mtakapo kufa na mkawa udongo na mifupa kuwa mtatolewa?

36. Hayawi! Hayawi hayo mnayo ahidiwa.


37. Hapana ila uhai wetu wa duniani tu, tunakufa na kuishi basi. Wala sisi hatutafufuliwa.


38. Huyu si lolote ila ni mtu anaye mzulia Mwenyezi mungu uwongo, wala sisi sio wa kumuamini.


39. Akasema: Mola wangu mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.


40. ( Mwenyezi mungu) akasema: Baada ya muda mchache watakuwa wenye kujuta.


41. Basi ukawanyakua ukelele kwa haki,na tukawafanya kama takataka zinazo elea juu ya maji. Ikapotelea mbali kaumu ta madhaalimu!

42. Kisha tukaleta baada yao vizazi vingine.


43. Hapana umma uwezao kutanguliza ajali yake wala kuikawiza.

44. Kisha tukawatuma Mitume wetu,mmoja baada ya mmoja. Kila umma alipowafikia Mtume wao walimkanusha. Tukawafuatanisha hawa baada ya hawa, na tukawafanya ni hadithi za kusimuliwa. Wakapotelea mbali watu wasio amini.


45. Kisha tukamtuma Musa na nduguye, Haaruni, pamoja na ishara zetu na hoja zulizo wazi.


46. Kumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.


47. Wakasema' Je,tuwaamini wanaadamu wawili hawa kama sisi, na ambao watu wao ni watumwa wetu?


48. Basi wakawakanusha,na wakawa miongoni nwa walio angamizwa.


49. Na hakika tulimpa Musa kitabu ili wapate kuongoka.


50. Na tukamfanya mwana wa Mariamu na mama yake kuwa ni Ishara,na tukawapa makimbilio kwenda mahali palipo inuka penye utulivu na chemchem za maji.





Itaendelea....!!
My take! Kuhusu kuukataa ufufuo haukuanzia leo wapo watu tangu enzi za Nuhu walikataa. Haya yanayozungumzwa leo hii ni mapitio ambayo watu wa zamani yaliyapiti.
Lakini kikubwa zaidi hebu na tujiangalie mwanzo wetu sisi wanadamu yaani kuumbwa kwetu jinsi kulivyo dhalili! Je,kama tuliweza kuwa kitu kisichojulikana ndani ya matumbo ya mama zetu Mungu atashindwaje sisi kutufisha na kutufufua na kuwa kama tulivyo kuwa awali?
Tusidanganyike na uhai huu wa dunia wandugu! Hebu jaribu kuutafakari usingizi wako! Kama mtu unaweza kulala na usifahamu kinachoendelea baada ya usingizi hujiulizi kuwa ule ni mfano tu mmojawapo wa kufa na kufufuka? Acheni kulewa na dunia.

Dunia inaelekea ukingoni. Nabii Nuhu katika uhai wake,alifanikiwa kuishi miaka mia tisa na hamsini 950. Leo hii kwa watu walio kula chunvi sana ni miaka mia moja mpaka tisini. Kijana wa kisasa atajitahidi sana ni mika hamsini au arobaini tano. Lakini tukumbuke kuwa kwa umri huwohuwo wa miaka hamsini hadi arobaini na tano,wapo watu ambao watakuja kutushangaa tuliwezaje kuishi miaka yote hiyo!!
Kwani wakati huo mtu kajitahidi saana kuishi yaani ndio kikongwe kabisa ni miaka kumi na tano ama ishirini.
Hivyo basi kuna hatari itakapo fikia sifuri katika miaka,ndipo utakuwa mwisho wa ulimwengu.
Tafakari chukuwa hatuwa!!

Wewe unatia huruma sana
 
Ukifa unazaliwa tena sehemu nyingine baada ya miaka kama mia tano hivi. We hukumbukikumbuki kuwa umewahi kuishi Iran miaka mia saba iliyopita?
 
Kwa kwelinimeisoma haya maoni yako nimejikuta natamani kukujibu. Kiukweli bubbs japonahisi kuna watu wanaweza kudhani una-kufuru kwa makusudi, binafsi nimeaminiusemacho kuhusiana na unavyoona. Niwajuavyo mashaidi wa jehova ni kwambawanaijua biblia na wameisoma between the line and leaving no stone unturned.Kiasi kwamba unaposema unaijua biblia sikubishii. Uzoefu wangu unaniambiakuhusu mashaidi wa yehova kwamba, ikitokea mtu ameacha uyehova kinachofuata nimambo mawili makuu moja kuwa mpagani na pili kuwa mwislamu. Hizi choice mbilizipo in most cases.
Tatizo kuuhapo ni kwamba ukiwa kama shahidi unapoisoma biblia na kujiaminisha kila unachokiona kwa ushahidi wa kiufafanuzi then unatumia muda wako wa jumatano(kama sijakosea siku hii) kwenda kuhubiri Imani hii inatokea unawakuta wakristo wa madhehebu mengine unawapa habari hii njema kwa nguvu zako ukitumika kui-propagate hii Imani maisha yako yote. Sasa inatokea umekuwa disappointed na ukaikacha. ukifikiria kuingia imani nyingine, unakuja kukuta Imani nyingine kama uanglikana, usabato, ulutheri,u-full gospel, u-pentekoste ulishawahi kuzichalenge kwa mistari uliojiaminisha kuielewa kwa ufafanuzi na unaona kwamba hawaelewi biblia vizuri na sasa wewe haujisikii kwenda kwani huoni kipya kutoka kwao. Na ndio hapo unajikuta kama uliemaliza kuisoma biblia then labda ukifuatilia uslamu utapata kitu kipya na ikitokea hautaki kuwa mwislamu, basi unaamua uishi kipagani. Kiukweli kabisa wajehova sio wakristo kwani wakristo wanaamini katika yesu kristo ndie mkombozi wa dunia hii mwenye umoja na baba katika nafsi tatu na mamlaka yote , wakati mashahidi wanaamini jehova ndie mwenye mamlaka yote.zifuatazo ni sababu zinazotofautisha ukristo na mashahidi ; Nadhani hakuna ukristo unaofundisha biblia kwa jinsi yenu nyinyi niwakipekee sana,
Hawatambui usawa wa umungu katika utatu mtakatifu ),
hawaamini kama kuna jehanum kwa madai kuwamungu sio mkatili hivyo na ikiwepo haitakuwa ya milele na milele bali mtaunguana kufa kabisa,
wanaamini paradiso wataoana kuzaana na kuoana (hapa pia ni kamawaislamu) wakati wakristo wanaamini wataishi kama malaika hakuna kuoa wala kuolewa,
hawakubali kuita nyumba zao za ibada ‘KANISA’ bali jumba la ufalmewa jehova kwa hofu kuwa kipindi cha uharibifu kikifika makanisa yoteyatateketezwa wakiona tu msalaba hapo nje na wao watanusurika kwanihayatatambulika kirahisi.
Hawaamini kama tutakwenda kuishi na yesu mbinguni bali nchi hii itabadilishwa,
hawaaminikwamba yesu alisulubiwa msalabani bali mtini wakitumia sababu za kihistoriaikiwemo biblia wanayoiamini ya kigiriki kama ni biblia sahihi.
Hawaamini katika serikali zozote za wanadamu na kwamba serikali hizi zitakuja kuharibiwa na utawala wa yehova na watarithi majumba ambayo wanadamu wanayajenga
na hii imewafanya kwenye nchi nyingi wapigwe marufuku hivyo imewafanya waendeshe mambo yao kwa siri kiasi japo sio kama zamani,
ukiwamuumini wa hawa hautasikiliza siasa wala kupiga kura,
japo walikuja kufanikiwamarekani kutokana na uhuru wa kuabudu kama ilivyo ile Imani ya radicle Christianity ya Mormon ambayoaliyekuwa mgombea urais wa marekani mit Romney ni muumini wake,
hawakubalianina kusheherekea krismas kama ambavyo wakristo wengi wamekuwa wakifanya,
wanasheherekea pasaka tu na haiwi kama hii ifanywayo duniani kote bali yao inafuata kalenda za kiyahudi,
Pia wana kitu kimoja ambacho nimewahi kukiona kwa Imani ya waislamu kwamba ukiwa mgeni hawakupi mafaili yote usijeukawakimbia yaani ni kama mtoto hawezi kulishwa ugali kabla hajapewa maziwahivyo ukikaa nao ukaamini machache ndio watakupa hizi complex ideas ambazo wakristo wengi hawazijui.
binafsi nimekuwa nawatazama hawa kama wasio wakristo, kwani wao wanachambua maandiko kwa kutumia neo hadi neno bila kubeba maana ama mazingira ya neno. pole kwa kuwa kwenye hii imani. for real.nimeandika haya ili uelewe jinsi hii imani yinayotumia amkeni na mnara wa mlinzi ilivyo complex kuhamia imani nyingine inayohusiana na ukristo na usijishangae sana kwanini unaelekea kuwa agnostic. mungu yupo mtafute maana anapatikana

We ni mkaree. Umenifungua macho kidogo, nilitaka kuhamia kwa mashahidi soon. Nimeahirisha.
 
for real. nimepewa neno katika mathayo 17:21, nikaambiwa baibo ya mashahidi haiendani na hizi nyingine. sijafuatilia bado manake nlimuuliza mmoja wao akakaa kimya. nikahisi ameona kitu cha tofauti pia.
We ni mkaree. Umenifungua macho kidogo, nilitaka kuhamia kwa mashahidi soon. Nimeahirisha.
 
wow. U know almost everything about them. Do u have Family in there?Well ofcourse they are not christians. They are the antichrist himself, wanavyokataa kushiriki mlo wa jioni wa bwana. And yes, they use mind control techniques kiasi kwamba by the time you are already in inaweza kuwa vigumu kutoka.

What u say abou ex-JW is NOT true. Sijwahi kusikia an ex JW kawa muislamu! And trust me i'm in alot of ex-JW forums. Options ni kuwa a born again, kama bado unaamini biblia au kuwa atheist, kama umefanya research kuhusu origin ya biblia.

Ni mungu gani unayesema yupo nimtafute? Unafkiri niliamka siku moja nikasema 'ok from now onwards i'm an atheist?'. It was a long process, took me two years of denial. Sikutaka kuamni hakutakuwa na paradiso duniani. Sikutaka kuamini yesu ni mungu. Sikutaka kuamini kuna 'hell'. But its all in the bible.

Na Unavyosema JW wanajuwa sana biblia, walaa....the only thing they are good at ni kuchukua mistari ya biblia out of context na kumake up their own stories, na kuadd their own meaning on scripture.....utafiti anaofanya an individual JW ni kwa kutumia publications ambazo zimeishachakachuliwa (wamechagua maandiko out of context kuprove thier ideas), so utamuona anajua kuchunguza sana maandiko kumbe hamna kitu. NA BIBLIA YAO NI KICHEKESHO KWA WATALAAM WA LUGHA ZA KWENYE BIBLE.

anyways, nilikuwa nimeanza kuaccept the concept of trinity, untill i started researching on the history of the bible. Mungu unayesema nimtafute ni mungu wa biblia?? Kama ni huyo, how much do u know about the bible and its history mpaka umemchagua huyo kuwa mungu wako? And how many ancient texts do u know of hadi ukakubali biblia? And why?

Mkuu,people are conservatives and they are adamants not to review the truth about bible n faith n religion in general,religion is fiction n fraud,follow the history and deeply read the so called holy books,you will find that they were just written artistically n purposefully for the aim of acieving certain goals
 
Yesu alisema naenda kuwaandalia makazi nilipo mimi nanyi muwepo!!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu,people are conservatives and they are adamants not to review the truth about bible n faith n religion in general,religion is fiction n fraud,follow the history and deeply read the so called holy books,you will find that they were just written artistically n purposefully for the aim of acieving certain goals

KWELI. Bila kusahau walio brainwashed na mind controlled. Lakini wengi ni ignorance tu.

Nimeona sehemu watu wanabishana, jamaa kang'ang'ania haamini the earth is a billions of years old because carbon dating is flawed. Anaambiwa carbon dating inatumiwa kwenye archeology sio geology. Njia za kupima rocks hizi hapa. Kapewa links/vitabu vya researches akasome. WAPI!!! JAMAA KABAKI CARBON DATING IS FLAWED SO THE EARTH IS NOT A BILLION YEARS OLD. Hadi u feel embarassed for the guy.

Ndo kama humu JF. Watu wanaambiwa kila siku history of the bible history of the bible. Mtu hana akili ya kwenda kuchungulia basi. Hiyo ni IGNORANCE OF THE HIGHEST LEVEL.

WAKRISTO WANGAPI JF MNAJUA HOW THE BOOKS OF THE BIBLE WERE COMPLIED? BY WHOM? FOR WHAT REASON? CAN U PLS STOP EMBARASSING YOURSELVES WITH YOUR IGNORANCE AND DO YOURSELVES A FAVOR AND GO RESEARCH!!!!!
 
Mungu unayesema nimtafute ni mungu wa biblia?? Kama ni huyo, how much do u know about the bible and its history mpaka umemchagua huyo kuwa mungu wako? And how many ancient texts do u know of hadi ukakubali biblia? And why?
nimeweka thread hapo kama nne nilizowahi kupitia kuchunguza imani mbalimbali, u may look and give your comment on each
 
wow. U know almost everything about them. Do u have Family in there?Well ofcourse they are not christians. They are the antichrist himself, wanavyokataa kushiriki mlo wa jioni wa bwana. And yes, they use mind control techniques kiasi kwamba by the time you are already in inaweza kuwa vigumu kutoka.

.Options ni kuwa a born again, kama bado unaamini biblia au kuwa atheist, kama umefanya research kuhusu origin ya biblia.

.
kwakweli sina familia ila niliwahi kuwa na rafiki yangu alikuwa RC baadae akaamini akawa ananilazimisha nimfuate nilipoonyesha msimamo wa kukataa akawa anani-nyanyasa hivi ili impendezeshe niamie. mi nikampotezea baada ya mwaka nikapewa mafaili na watu mtaani kuwa akiwaona wapendwa anasepa hataki tena hii imani.akanitumia ujumbe wa kutaka nirudi tuwe tena marafiki. sikujibu kitu wala kumtafuta kwakuwa ninamjua tabia yake tangu tupo mabesti nilimchukulia mtu asiye na msimamo nikaona ipo siku atanigeuka tena.
kwakweli kuwa atheist nilishakuwa kwa kipindi niliacha baada ya kuona kwamba dunia yetu bado ina mysterius thing. there are a lot of questions yet not answered. especially existence of extraterrestrial. pia nilianza kutafuta falsafa za maisha ya dunia nikaona ulimwengu wote kuna tatizo juu ya tatizo. kila siku ni kutafuta ufumbuzi wa tatizo jipya. na hakuna kisicho na tatizo. sijajua wewe umevielewa vipi?. au wewe binafsi unaamini katika lipi kuhusu maisha.
 
kiukweli uchunguzi wa kiimani nimeufuatiliasana kupitia dini mbalimbali zilizopo duniani, japo sisemi kuwa nimemalizaifuatayo ni baadhi ya vitu nilivyowahi kuvipitia:Historia ya biblia na aina tofauti zabiblia kuanzia ya wakatoliki, wa-orthodox, n.k ikiwemo madai kuwa imebadilishwa.Historia ya uislamu, mtume na maisha yake na madai ya yeye kuoa binti mdogo nawahyi, hadi kifo chake. Na waliouwepo na kipande quran kinachodaiwa kuliwa nambuzi n.k.nimeifuatilia sana na imani ya kiislamu namadhehebu yake kama shia, suni, sufi, agakhan, nk.Wanaoshuhudia dini walizoama mfano:Pia kuna mzungu mwislamu anaedaiwa nimtanzania alikuwa vatican akaacha anaitwa Abdul-Raheem Green. Anaeneza islamic propaganda(Dahwa), PastorDR. Hamis Paulo Hussein,&shekh Rashid Tahtashajara hawa walikuwa waislamu wameamiaukristo, wapo yu-tube) , freemasons, Illuminati, Skull and Bone,Satanic by Antony Lavey. DVDs za 'Thrive, Age of deceit-fallingangel and the new world order, The secrets of the secret service(2010), naVatican secret EXPosed by Jordan Maxwell, Zeitgeist, na Haunt,Video za Unidentified Foreing Object (UFO), Ancient Air craft and Spaceshipevidence, Ancient alliens (hapa ziponyingi tangu kipindi cha Adolf hitler hadi technolojia zinazoendelea inatolewamara nyingi kwenye History-DSTV channel), David Icke (mwingereza maarufu kwa mafundisho yake, hapo kabla aliwahi kuwamtangazaji wa mpira wa BBC kwenye miaka ya tisini anamuelezea binadamu kama anamijusi (Reptilia) akidai pia kuna uzao wa Reptilia((Illuminati blood lines) , Buddha (kiasi sana), Scientology, Mormon,Tagthatha(hii imani nadhani inasili kama korea na china hivi, chaajabu kiongozi wake anadai anajua mwisho wa dunia anapoambia ataje anakataaakidai itawachanganya watu.nikaona niwapige chini mara moja sikuendelea kusomazaidi. The Da Vince code,(hapa kuna mambo yayesu na maria magdalena na ule mchoro wa monalisa na nadharia za Plato kuhusu mungu. Meditation, kitu nilichopata kwenye meditation ni kwamba kama una diniyako, ukianza ku-meditate utakuwa unafuata dini na meditation lakini baadaeutaacha dini yako na kuendelea na meditation. Pia meditation inasaidia kukupaukweli ambao dini zote zimeshindwa kukupa. Watu niliokaa nao hawali nyama walaunyaji wa pombe na wanatumia vipande vya soya (vinavyotafunika kama nyama kamambadala wa nyama) hawaamini uchawi na wanaamini binadamu ana miili saba. Ninarafiki zangu ni waumini wazuri kwa hili. Na pia walinipa na hali ilivyoulimwenguni kwamba wazungu wengi sikuhizi hawaendi makanisani tena wanaaminikatika hii meditation zaidi. binafsi hivi vitabu vyote vinaweza kuku-disapoint kiimani.jambo kubwa nimetokea kuliamini kuwa kuna supernaturalpower katika ulimwengu tunaoishi,kuhusu uchamungu nimegundua kuwa:Dini kama dini haibadilishi asili ya mtuinachofanya ni kupunguza tena kidogo saana. Tabia ni kitu mtu anazaliwa nacho (inborn)na si kitu cha kujifanya kuishi. Kuna watu ni wapagani lakini wanaishi kamavile wameokoka na wacha mungu wakati huhuo kuna watu wameokoka na wanakwendakanisani au misikitini kila siku lakini wanaroho mbaya sana.kiasi kwamba unajiuliza hivi huyu kama angekuwa hajaokokaau haendi kusali angekuaje?. Na labda ndio maana katika ulimwengu wa leoutasikia mara padre kakamatwa amebaka, shekh kalawiti, mchungaji kafumaniwan.k.Pia kuhusu dini ni kwamba sio kila padre,Shekh, Mchungaji, anaweza kutoa jibu zuri kwa maandiko aliyosomea na hii ina maana kwamba ukimuuliza mmoja umjuae akishindwa kukupa jibuhaimaanishi wote hawawezi au dini hiyo sio ya kweli.nimeona video ya pastor chris akisema sigara, punyeto sio dhambi.ikawa very disapointing je wanaotetea ushoga sjui vp. pia kuna wale wanaoaminikatika mungu ukiachilia sababu za kimazingira kama kuzaliwa kwenye familiaza dini zao, pia huwa wanaamini kwa jinsi wanavyoona wananufaika nazo. Ni tatizokwasababu kuna dini nyingine zinaeneza uovu na ukatili kwa wananadamu wenginelakini kwakuwa wale perpetrator (wanaofanya uovu) wananufaika kimaslahi na hizodini wanaendelea kuhalalisha uovu wao kama sehemu ya kimungu au kiimani. Pia Tatizo la kukosa kuwa na kiasi la baadhi yawatu linapelekea kuhama dini na kuvurugikiwa na maisha kwasabau ya madhara ya kuzidisha.mfano watu walevi sana,malaya sana, wauaji sana, ikitokea matendo yao hayajawaletea mauti basimwishowe wanaweza kuishia kuacha wakidai wameokoka na kubadilikakabisa lakini ile nature yao ya asili huwa haiondoki hivyo wanakuwa namatatizo hata wakisema wameokoka vipi. mfano mtu anajitetea alikuwamlevi sana akawa anapiga na kutukana na kujinyea hovyo lakini sasa ameacha na anashauri watuwaache pombe wawe kama yeye, ukimchunguza utamkua anamatatizo bado, . kwani mbona kuna watu wanakunywa pombe kila siku lakinihawamtukani mtu na hawana matatizo na mtu yoyote katika jamii?Vilevile uzoefu wangu unanionyesha walewatu ambao ni (extreme) wenye kutafuta perfection in most cases wanaishia kuwa disappointedin the end lakini hii naona inatokana na uhalisia kwamba hakuna mtu perfect perse. hata dini zetu zinamapungufu fulani. Sababu za uwezekano wa uwepo wa mungu duniani: kuna viumbe vimepita uwezo wakibinadamu ambayo wanasayansi wanaviita extraterestrial ambapo wanakiri kuvi-experiencekatika kazi zao za kitafiti especially Space na Archeology. Ambapo kunawatafiti wanaamini kuwa hawa extraterrestrial wanataka kuja tena duniani kuungana sisi na ndio chanzo cha maendeleo ya technologia duniani, wanasayansi wenginewanasema hawajui lengo lao. Mfano mwanasayansi mjerumani aliechukuliwa namarekani baada ya vita kuu ya pili na kuwa mkuu wa NASA alikiri kuwa ujuzi waowanasaidiwa na Alliens. Pia uchunguzi huu wa extrateresrial unahusisha vitabu vya dini kama Quran(gene, angel, , n.k.) na biblia (kuna satan, demon, angel, ).Pia ushahidi wa kimazingira mfano misrikuna pyramids(Giza) ambayo yapo pia sehemu nyingine duniani na kuna michoroya watu wenye maumbile ya ajabu ajabu kama vile sura ya kuku kiwiliwili chabinadamu, malaika wana mabawa, kwato, kucha kama za wanyama, n.k. Wataalamu wanasemamichoro hii haipo kama coincidence tu ila ni conceptual yakielezea uhalisia waviumbe ambao binadamu wa kale alikuwa akikutana nao miaka mingi iliyopita. Wanasayansikwa kutafuta majibu ya maswali yao wanahusisha na vitabu vya dini ili ku-linkideas. sayansi za kitabibu zinakiri kuwa Biblia ndio kitabu pekee cha kikongwe kuwepo na labda hapo ndipo panaponifanya nione haja ya kukiamini zaidi kulikovitabu vingine. Wanasayansi wamethibitisha kisayansi kuwepo kwa mapigo kumi ya misridhidi ya farao yalioandikwa kwenye biblia. . Vitu kama Safina ya Nuhu, msalaba wa yesualiosulibiwa, mji wa suleiman ni miongoni mwa mabaki ya vitu ambavyo vimepatikana vikiwa vimefukiwaardhini na wanasayansi wanaochimbua (archeologists) kule mashariki ya kati nakuthibitisha yale yaliyomo katika biblia yalitokea kweli.Quran inataja uwepo wa wakristo katikakitabu chao na inakiri uwepo wa yesu na kuzaliwa kwake, uwezo wake wa kuponyana kufufua wafu, yesu kutokuwa na dhambi na hata kuja kuhukumu ulimwengu wakatiwa kiama ambavyo ni vitu vinavyoshabiiana na biblia. Japo inakataa jambo moja kuula ukombozi wa mwanadamu kwa thamani ya damu yake yesu pale msalabani.Matukio katika biblia ni baadhi tu ya yanayonishawishi kusimamia imani;Pale wayahudi walipomkataa yesu inatokanana wao kuamini kitokacho kwa mungu kinautukufu na nguvu nyingi na kitatawaladunia watakuwa taifa kubwa, mwisho wa siku yesu akazaliwa kwenye zizi langombe, hata ningekuwa mimi kwa kutumia logic za kibinadamu ningekataa pia. .Pia najiuuliza ni kitu gani kilichowafanyawaisraeli watengeneze sanamu wa dhahabu wakati Musa aliwaambia anaenda mlimanikuleta amri za mungu. Sidhani kama waisraeli walikuwa mataahira/wa akili auwakaidi kivile binafsi naamini kuwa muda ambao Musa aliotumia kwenda na kurudiulikuwa mrefu katika kiwango ambacho binadamu yoyote asingeendelea kuamini tenakama kuna mungu anawaongoza hivyo walikata tamaa kama wanadamu. Na pengine sisituliopo leo tunakumbana na hali ileile iliowakuta wanawa-israel enzi hizo.Tujikumbuke kuwa hata maandiko yanasemakama muda usingalifupishwa hata watakatifu wangalipotoshwa.je hatuhisi kakata tamaa? hii inaonyesha nijinsi gani uwongo wa shetani ulivyomkuu hata wacha mungu wamekata tamaa nakuamua kuasi kama ambavyo waisraeli walikuwa wanamwasi mungu mara kwa mara.Pia maandiko yanasema shetani ni muongo nababa wa uongo. Nadhani watu wanaweza kuwa waongo lakini hawamfikii shetani yeyeni baba lao. Hivyo basi akiwa ndiye babawa uongo ni vigumu kwetu sisi kama wanadamu kuweza kuchora mstarikutenganisha kati ya kweli na uwongo. Lakini angekuwa mwongo mdogo tungewezakung'amua janja yake kirahisi nakumkataa. Njia pekee ni kusoma neno la mungunalo ni biblia tu. Nachoweza kusema, njia za mungu si njia za wanadamu namawazo yetu sio mawazo yake, ni kama vile mbingu ilivyo juu sana na ardhi.

Umetoa ufafanuzi mzuri sana,..ila ingekuwa vema kama ungekuza maandishi kidogo mkuu.
 
kiukweli uchunguzi wa kiimani nimeufuatiliasana kupitia dini mbalimbali zilizopo duniani, japo sisemi kuwa nimemaliza ifuatayo ni baadhi ya vitu nilivyowahi kuvipitia:Historia ya biblia na aina tofauti za biblia kuanzia ya wakatoliki, wa-orthodox, n.k yakiwemo madai kuwa imebadilishwa.Historia ya uislamu, mtume na maisha yake na madai ya yeye kuoa binti mdogo na wahyi(ufunuo anaodaiwa kuwaalishushiwa),watumwa wake, hadi kifo chake. Na ikiwemo kipande quran kinachodaiwa kuliwa na mbuzi n.k.nimeifuatilia sana na imani ya kiislamu na madhehebu yake kama shia, suni, sufi, agakhan, nk.
injili inayodaiwa ni ya barnaba,
Wanaoshuhudia dini walizohama na kudai kupata ukweli katika hizi mpya:Abdul-Raheem Green huyu ni mzungu mwislamu anaedaiwa ni mtanzania alikuwa vatican akaacha ukatoliki anaeneza islamic propaganda(Dahwa),
PastorDR. Hamis Paulo Hussein,&shekh Rashid Tahtashajara hawa walikuwa waislamu wameamia ukristo, wanapatikana yu-tube
, pia mwanamama mkorea choo thomas, emanuel eni(Mnigeria),
freemasons, Illuminati, Skull and Bone,Satanic
by Antony Lavey.
DVDs za 'Thrive, Age of deceit-falling angel and the new world order, The secrets of the secret service(2010), naVatican secret EXPosed by Jordan Maxwell, Zeitgeist, na Haunt,Video za Unidentified Foreing Object (UFO), Ancient Air craft and Spaceshipevidence, Ancient alliens (hapa zipo nyingi yaani tangu kipindi cha Adolf hitler hadi technolojia zinazoendelea inatolewa mara nyingi kwenye History channel ya -DSTV),
David Icke
(mwingereza maarufu kwa mafundisho yake, hapo kabla aliwahi kuwamtangazaji wa mpira wa BBC kwenye miaka ya tisini anamuelezea binadamu kama anamijusi (Reptilia) akidai pia kuna uzao wa Reptilia((Illuminati blood lines) , Buddha (kiasi sana), Scientology, Mormon,Tagthatha(hii imani nadhani inasili kama korea na china hivi, cha ajabu ni kiongozi wake anadai anajua mwisho wa dunia anapoambiwa ataje utakuwa lini anakata aakidai itawachanganya watu.nikaona niwapige chini mara moja sikuendelea kusoma zaidi.
The Da Vince code,(hapa kuna mambo ya yesu na maria magdalena na ule mchoro wa monalisa na nadharia za Plato kuhusu mungu.
Meditation, kitu nilichopata kwenye meditation ni kwamba kama una diniyako, ukianza ku-meditate utakuwa unafuata dini na meditation lakini baadae utaacha dini yako na kuendelea na meditation. Pia meditation inasaidia kukupaukweli ambao dini zote zimeshindwa kukupa. Watu niliokaa nao hawali nyama wala unywaji wa pombe na wanatumia vipande vya soya (vinavyotafunika kama nyama kamambadala wa nyama) hawaamini uchawi na wanaamini binadamu ana miili saba. Nina rafiki zangu ni waumini wazuri kwa hili. Na pia walinipa na hali ilivyo ulimwenguni kwamba wazungu wengi sikuhizi hawaendi makanisani tena wanaamini katika hii meditation zaidi.wanakataa kuwepo kwa mungu kila mahali wakisema kama ni hivyo basi yeye ni sehemu ya shetani kwakuwa kuna maeneo uovu(ushetani)unafanywa sana na watu. binafsi hivi vitabu vyote vinaweza kuku-disapoint kiimani...... itaendelea
 
inaendelea sehemu ya pili....
jambo kubwa nimetokea kuliamini kuwa kuna supernaturalpower katika ulimwengu tunaoishi,kuhusu uchamungu nimegundua kuwa:Dini kama dini haibadilishi asili ya mtu inachofanya ni kupunguza tena kidogo saana. Tabia ni kitu mtu anazaliwa nacho (inborn character)na si kitu cha kujifanya kuishi. Kuna watu ni wapagani lakini wanaishi kama vile wameokoka na wacha mungu wakati huhuo kuna watu wameokoka na wanakwenda kanisani au misikitini kilasiku lakini wanahusuda, choyo roho mbaya sana.kiasi kwamba unajiuliza hivi huyu kama angekuwa hajaokoka au haendi kusali angekuaje?. Na labda ndio maana katika ulimwengu wa leo si ajabu kusikia padre kakamatwa amebaka, shekh kalawiti, mchungaji kafumaniwa n.k.Pia kuhusu dini ni kwamba sio kila padre,Shekh, Mchungaji, anaweza kutoa jibu zuri kwa maandiko aliyosomea na hii ina maana kwamba ukimuuliza mmoja umjuae akishindwa kukupa jibu haimaanishi wote hawawezi au dini hiyo sio ya kweli.ni kama tunavya hitimu chuo tunapokwenda kazini kuna mmoja atakuwa ni mfanisi bora kuliko mwingine japo tumetoka chuo kimoja. mfano;nimeona video ya pastor chris akisema sigara, punyeto sio dhambi. baadhi ya watu wakawa disapointed sana je wanaotetea ushoga au usagaji wanasoma wapi maandiko.
pia kuna
wale watu wanaoamini katika mungu ambao ukiachilia sababu za kimazingira kama kuzaliwa kwenye familia za dini zao, pia huwa wanaamini kwa jinsi wanavyoona wananufaika na dini zao. hili ni tatizo kwasababu kuna dini nyingine zinaeneza uovu na ukatili kwa wananadamu wengine lakini kwakuwa wale perpetrator (wanaofanya uovu) wananufaika kimaslahi na hizo dini wanaendelea kuhalalisha uovu wao kama sehemu ya kimungu au kiimani.
Pia Tatizo la kukosa kuwa na kiasi la baadhi ya watu linapelekea kuhamahama dini au dhehebu na kuvurugikiwa na maisha kwasababu ya madhara ya kuzidisha.mfano watu walevi sana,malaya sana, wauaji sana, ikitokea kupitia matendo yao wamenusurika na kifo basi mwishowe wanaweza kuishia kuacha wakidai wameokoka na kubadilika kabisa lakini ile nature yao ya asili(ya kukosa kiasi) huwa haiondoki hivyo wanakuwa na matatizo hata wakisema wameokoka vipi. mfano mtu anajitetea alikuwa mlevi sana akawa anapiga na kutukana na kujinyea hovyo lakini sasa ameacha na anashauri watu waache pombe wawe kama yeye, ukimchunguza utamkua ana matatizo bado, .kwani mbona kuna watu wanakunywa pombe kila siku lakini hawamtukani mtu na hawana matatizo na mtu yoyote katika jamii?Tujiulize je pombe ndio tatizo au mtu mwenyewe?
Vilevile uzoefu wangu unanionyesha walewatu ambao ni (extreme) wenye kutafuta perfection in most cases wanaishia kuwa disappointed in the end lakini hii naona inatokana na uhalisia kwamba hakuna mtu perfect per se. hata dini zetu zinamapungufu fulani kwakuwa zina endeshwa na wanadamu wenye mapungufu
 
Back
Top Bottom