Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

kama umekua na concept ya mungu what do u expect....
nadhani tungeanzisha ka-thread flani kuhusu huyu theological/ideal god hata kwa PM Tu mimi na wewe kwa ajili ya kubadilishana concepts flani kwa sababu niko njiani kuandika kitabu changu kinacho husu hizi imani.
Maana naona hata mods ni wa umini wakubwa juu ya swala hili hivyo hawawezi kutuachia uzi-huru.
 
How do we live after physical death?

Mwenyewe umesema Physical death, kifo cha mwili. Anza kujiuliza wewe ni mwili au mwenye mwili, kama ni mwili basi waamini wanaosema tunarudi mavumbini kwa sababu mwili ni chakula na vinywaji tunavyokula ambavyo vinatoka ardhini, lakini kama sio mwili ni mwenye mwili basi kitu ambacho kikojuu ya mwili au ndani ya mwili ambocho ndio kina siri ya kifo cha mwili hivyo ni kazi yako kutafuta kujua wewe ni nani? ukoje, unakufa? unahitaji mwili kwa nini? Kwa maana kwa nini unaishi?

Amani mrimbo, nadhani unakumbuka mambo mengi sana, uliyoyafanya ukiwa mdogo mpaka sasa, mtu mzee amepitia mabadiliko mengi sana, sasa ukiona ubadilikaji ina maana wewe hauko ndani ya mabadiliko kuweza kuona kitu kinabadilika lazima uwe nje ya mabadiliko hayo. Ukweli wakati miili ina badilika (inakua) sisi tunaiona na tunatunza kumbukumbu, hatubadiliki. Upo, Ulikuwepo na utaendelea kuwepo,kama vile nguo unavaa ikichafuka unaivua unavaa nyingine ndio miili pia sijui umeshasikia kitu kinaitwa re-incanation , miili imetoka mavumbini lakini sisa ni uhai, hai haifi, haichoki, haichomeki. Badala ya kuhaika kutafuta kumjua mungu binadamu anapaswa kwanza kujijua yeye, harafu kwa kutumia nafsi yake ndio atamjua mungu, lakini wengi hatuanzi hivyo, tunakimbilia majibu rahisi. Ama kwa kuambiwa na kusoma kwenye vitabu. Majibu yote pamoja na swali lako yanapatika ndani nafsi yetu, ni nafsi ilikuwepo kabla ya kuzaliwa, pia itakuwepo wakati wa kifo, sasa kwani tusiitafute na kuijua tungali hai?

Tukiweza kujijua (yaani kujua nafsi zetu), tutaweza kujua tumetoka wapi,tunakwenda wapi na wasiwasi wa nini tulipaswa kufanya katika maisha yetu vitaondoka na kuanzia hapo tutakuwa huru daima.

Kwa kutokufanya hivyo tunakuwa watumwa wa kutaka kuendelea kuishi yaani waoga wa kifo kama vile tukiishi muda mrefu tutalizika kuwa sasa imetosha. Muulize kikongwe wa miika 90 kama amelozika na maisha,utamkuata anataka kuisha kama kijana mdogo licha ya kwamba mwili wake umechoka na kila kiungo kinauma, hawezi kufanya mambo mengi alizowea kuyafanya alipokuwa kijana.

Kuna kitu binadamu anakitafuta lakini hakijui ndio maana hata akiwa tajiri kiasi gani haliziki. Kifo kinakuwa kama ndio mweisho wa juhidi zake kutafuta hicho, lakini fact kwamba tutakufa huwa ni mwanzo mzuri kwa kujua kwanini tunaishi wakati lazima tutakufa.

Asante
 
Any living human who claim to know the answer to this question with certainty is either a fool or a liar, quite possibly both.

The answer to this question exist beyond the our minds, where the existence beggin and end, thus one need to trusend the mind to realise the true existence and immortality of the thyself. And who shall realize this, shall face the truth, and the truth shall make him free from death, shall be one with God. We need ability to die while living in our bodies, and that is very possible but ....
 
Kabla ya kujiuliza swali kama hilo ni muhimu kujiuliza binadamu ni nani? je binadamu anaweza kufananishwa na boga au jiwe? binadamu ni zaidi ya hapo. Binadamu ana roho na roho ndio mwanadamu mwenyewe. Tuanzie hapo kwanza......

Na Roho ni nini? Ikoje? inakufa wakatimwili ukifa? ilitoka wapi?ukifa inakwenda wapi?
 
According to science,
the first type of bacteria to tear apart the muscle into individual protein strands of the dead body are called saprobic bacteria. Then, proteins are broken down by an enzyme called protease that is secreted by fermentative bacteria. The polypeptides(proteins) are converted into amino acids. The second type of bacteria called acetogens decompose amino acids into acetic acid, hydrogen gas, nitrogen gas, and carbon dioxide gas. To do this, they need oxygen which they obtain from oxygen dissolved in the body's fluids or bound in the body's structure. Then, the acetogens die out. As the acetogens die out, the other type of bacteria called methanogens become more predominant. Methenogens produce methane gas(organic gas). They combine the acetic acid made by acetogens with hydrogen gas, and carbon dioxide gas to produce methane gas, water and carbon dioxide. Therefore, there is no life after death, what happens is the conversion of the dead body to methane gas, water and carbon dioxide.

For more details, visit; Decomposition of Organic Matter: a Rotten Process

To Know a rock is not by breaking it, because you only produces new kind of rocks, therefore to know is to be. I wonder why human being are looking into garaxies to know the creation while they themselves are part of it. In schools they teach names,and classfication of things while our innerself provided the knowledge, who tought you the difference of color, it you or your teacher, your tough to name they is different language but its you who provided the meaning and interpretation. What I am trying to say what are we see outsite we have the we recognise from from within ourself, we might differ on how we call then, red in English, nyekundu in swahile, so many names in difference languages but we all mean the same thing. This proves we have been born with knowledge, that knowledge comes from within, why not start by asking our who really we are? why we are here? Is there any purpose for life? If there is death why live in difficult live we found ourself in? It only by finding the answer to those question within ourself we shall live the perfect life. Why I say within us,because within us there is life, life was there the day we were born it will be there at the our death, it is here with us now, that is the only bridge before,now and after.


We have to learn to conteplate within our life.
 
Unaweza kuthibitisha kuwa kuna uhai baada ya kufa, lakini kwanza inabidi uamini uwepo wa M/Mungu. Unaweza kuthibitisha kwa mantiki kuwepo kwa M/Mungu.
Tuchukulie unamwamini M/Mungu. Itabidi uamini pia kuwa M/Mungu huyo lazima awe mwadilifu, kwa sababu vinginevyo hawezi kuwa M/Mungu. sasa basi, tunaona watu wengi wanafanya maovu makubwa dhidi ya binadamu wenzao, halafu wanakufa bila ya kulipiziwa kisasi..... kwa mantiki tu itabidi M/Mungu awe na namna ya kuja kufanya uadilifu kwa wale
Nadhani hapa itabidi uadilifu huo ufanyike katika maisha yasiyokuwa maisha haya.

Relions is prisonof belief.
 
Life is not ultimately physical and the body is not the whole man. And we might add that neither the body in itself, nor the soul in itself, nor the spirit in itself makes up the whole man, but he is “spirit and soul and body.” This must be seriously considered and definitely agreed to before we can comprehend with any accuracy the subject of life after death.

Source:
Spirit, Soul, and Body

What about amptee, let say someone has just been into accident and lost his leg but is still alive using your theory is spirit, sour and body without one leg?
 
Na Roho ni nini? Ikoje? inakufa wakatimwili ukifa? ilitoka wapi?ukifa inakwenda wapi?

Mwanadamu ameumbwa kwa mwili yaani nyama, nafsi na roho.Utaona hapo nafsi iko katikati yaani medium,kinachotoka kwa roho kinafika katika mwili kupitia nafsi na kinyume chake. Hii roho ni chombo cha muumba alikiweka kwa mwanadamu wakati wa uumbaji yaani kupitia pumzi ya Mungu. Wakati mwingine au mara nyingi mwanadamu amekuwa akiichafua hii roho kwa kuipeleka katika njia tofauti na mwongozo wa Muumba wake yaani njia ya mharibifu shetani aliyetupwa hapa duniani kabla ya uumbaji wa mwanadamu.
Unapokufa roho haifi badala yake inatoka na kwenda mahali ikisubiri ufufuo wa kiama na hatimaye tutafufuka kama roho na sio mwili.Roho ndio itakayotoa hesabu mbele ya Mungu na itajihukumu yenyewe kwa maovu au mema iliyotenda ikiwa hapa duniani. Baada ya hukumu hizi roho chafu zilizomkosea Mungu zitatupwa katika ziwa la moto na kuunguua milele yote na zile zingine zitaingia katika paradiso.

Ni hayo tu sijui kama nimekujibu swali lako, kwa jumla bado kuna fumbo kubwa ndani yake.
 
nadhani tungeanzisha ka-thread flani kuhusu huyu theological/ideal god hata kwa PM Tu mimi na wewe kwa ajili ya kubadilishana concepts flani kwa sababu niko njiani kuandika kitabu changu kinacho husu hizi imani.
Maana naona hata mods ni wa umini wakubwa juu ya swala hili hivyo hawawezi kutuachia uzi-huru.

heeh? Who are the mods eti? Well i would love to share my knowledge. And i'm realy happy kusikia a Tanzanian writting a book about this (you are a atanzanian right?), it's a great step on waking the multitude of zombies in this country..

Just to make one thing clear,i'm not an expert, yani sijaenda kusomea theology or lingustics or archeology and such. I just read ALOT of articles on those areas. Is that enough for you? Lol
 
Hamjaijua life before death mnayoishi kila siku mnakimbilia life after death speculations?
 
Is this life all that there is? Many religions profess to know what happens at death. Yet they do not agree. Why such confusion about the AFTERLIFE? Why such mystery-such disagreement?
This question of life after death has perplexed mankind throughout the ages. Thousands of years ago, the patriarch Job asked, "If a man die, shall he live again?" (Job 14:14). This question remains today.
Most professing Christians believe that they possess an immortal soul. They have been taught that the dead go to either heaven or hell. Most ministers, evangelists and religionists freely speak of "when we all get to heaven." They declare this to be the Bible's teaching. But is this true?
We must not assume. Jesus said, "in VAIN do they worship Me, teaching for doctrines the commandments of men. For laying aside the commandment of God, you hold the tradition of men" (Mark 7:7-8). Men have their own ideas-their own commandments, their own traditions-invariably based on Bible assumptions. If the Bible is the Word of God, we must examine what it actually says, not what people say it says. Be willing to set aside cherished traditions and replace them with scripture.
Then be willing to believe God, not men.

The Moment of Death
Before answering the question "is there life after death?," let's examine what happens at the precise moment of death. Recall, Job asked, "shall he live again?" What did he mean "again"? If the dead are really permanently alive anyway, how can they live AGAIN?
The Wages of Sin
If you hold a job, you receive regular paychecks. They represent wages paid to you for work done. What about God? Does He ever pay wages? Notice Romans 6:23: "For the wages of sin is death; but the gift of God is eternal life through Jesus Christ our Lord." Here, eternal life is contrasted to DEATH-PERISHING! The wages of sin is death, not life. We will see that this understanding is not compatible with eternal torture in hell.
There is no mystery about the meaning of wages that an employer pays an employee for his work. Why should there be confusion over the meaning of wages God pays a sinner for his works? He pays the wicked a paycheck of death-not life in a place of torment. The Bible says what it means and means what it says. (Read our booklet Bible Authority...Can It Be Proven?)
Consider this! Perhaps the most familiar and often-quoted verse in the Bible is understood by almost no one. John 3:16 states, "For God so loved the world, that He gave His only begotten Son, that whosoever believes in Him should not perish, but have everlasting life." Millions quote this verse while ignoring one of its key points.
Reread it. Notice that it exactly mirrors Romans 6:23! This time, eternal life is contrasted to PERISHING-DEATH.

The Greek word translated perish is apollumi and it means, "to destroy fully, to die, lose, perish." There is no doubt what these words mean. "Perishable" items, such as fruits and vegetables, are those that rot-until they are "fully destroyed" or "lost." This is not hard to understand when we are talking about anything other than a human being. Those who receive salvation are promised that they "should not perish" but "have everlasting life"! If hell is a place of eternal torture, then the people suffering there have eternal LIFE. But the verse says, "should not perish," not "should not suffer eternal life in torment."
How does the word perish relate to the popular teaching about hell? Why did God inspire John to use this word if this is not what He really intended?
 
23.SURATUL MUUMINUN
Hii ni sura iliyoteremka Makka. Aya zake ni mia na kumi na nane.

1.Hakika wamefanikiwa waumini

2. Ambao ni wanyenyekevu katika sala zao

3. Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi.

4. Na ambao wanatoa Zaka

5. Na ambao wanazilinda tupu zao

6. Isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.

7. Lakini anayetaka kinyume cha haya, basi hao warukao mipaka.

8. Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao.

9. Na ambao sala zao wanazihifadhi,

10. Hao ndio warithi,


11. Ambao watairithi Pepo ya Firdausi,wadumu humo.


12. Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.


13. Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.

14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda,na tukaiumba damu kuwa pande la nyama,kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa,na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi mungu mbora wa waumbaji.

15. Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.


16. Kisha hakika nyinyi siku ya Kiyama mtafufuliwa.


17. Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.


18. Na tumeteremsha kutoka mbinguni maji kwa kiasi na tukayatuliza katika ardhi. Na hakika sisi tunaweza kuyaondoa.


19. Kwa maji hayo tukakufanyieni bustani za mitende na mizabibu,mnapata humo matunda mengi, na katika hayo mnakula.

20. Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.


21. Na hakika mnayo mazingatio makubwa katika nyama hoa tunakunywesheni katika vile viliomo matumboni mwao, na nyinyi mnapata katika hao manufaa mengi, na pia mnawala.


22. Na juu yao na juu ya marikebu mnabebwa.

23. Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi mungu. Nyinyi hamna Mungu asiye kuwa yeye. Basi je! Hamwagopi?

24. Walisema wale wakuu walio kufuru katika watu wake: Huyu si chochote ila ni mtu tu kama nyinyi. Anataka kujipa ubora juu yenu. Na lau kuwa Mwenyezi mungu amependa basi yakini angeli teremsha Malaika. Hatukusikia haya kwa baba zetu wa zamani.


25. Huyu si lolote ila ni mtu mwenye wazimu. Basi mngojeeni tu kwa muda.


26. Akasema (Nuhu): Mola wangu mlezi! Ninusuru kwa kuwa wamenikanusha.

27. Tukampa wahyi: Unda jahazi mbele ya macho yetu na uwongozi wetu! Basi itapo fika amri yetu na ikafurika tanuri,hapo waingize ndani yake wa kila namna dume na jike,na ahali zako,isipo kuwa yule ambaye katika wao juu yake imekwisha tangulia kauli. Wala usinitajie hao walio dhulumu. Kwani hao bila ya shaka watazamishwa.


28. Basi utakapo tulia wewe na walio pamoja nawe humo merikebuni, sema: Alhamdulillahi sifa zote njema ni za Mwenyezi mungu,aliye tuokoa na watu madhaalimu.


29. Na sema: Mola wangu mlezi! Niteremshe mteremsho wenye baraka, na wewe ni mbora wa wateremshaji.

30. Hakika katika hayo yapo mazingatio. Na kwa yakini sisi ni wenye kuwafanyia mtihani.


31. Kisha baada yao tukaanzisha kizazi kingine.


32. Tukawapelekea Mtume miongoni mwao, kuwaambia: muabuduni Mwenyezi mungu! Hamna Mungu asiye kuwa yeye. Jee,hamwogopi?

33. Na wakubwa katika watu wake walio kufuru na wakakanusha mkutano wa Akhera, na tukawadekeza kwa starehe katika maisha ya dunia,walisema: Huyu si chochote ila ni binaadamu kama nyinyi; anakula mlacho, na anakunywa mnywacho.

34. Na nyinyi mkimt'ii mtu kama nyinyi basi hakika mtakuwa khasarani.


35. Hivyo anakuahidini ati ya kwamba mtakapo kufa na mkawa udongo na mifupa kuwa mtatolewa?

36. Hayawi! Hayawi hayo mnayo ahidiwa.


37. Hapana ila uhai wetu wa duniani tu, tunakufa na kuishi basi. Wala sisi hatutafufuliwa.


38. Huyu si lolote ila ni mtu anaye mzulia Mwenyezi mungu uwongo, wala sisi sio wa kumuamini.


39. Akasema: Mola wangu mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.


40. ( Mwenyezi mungu) akasema: Baada ya muda mchache watakuwa wenye kujuta.


41. Basi ukawanyakua ukelele kwa haki,na tukawafanya kama takataka zinazo elea juu ya maji. Ikapotelea mbali kaumu ta madhaalimu!

42. Kisha tukaleta baada yao vizazi vingine.


43. Hapana umma uwezao kutanguliza ajali yake wala kuikawiza.

44. Kisha tukawatuma Mitume wetu,mmoja baada ya mmoja. Kila umma alipowafikia Mtume wao walimkanusha. Tukawafuatanisha hawa baada ya hawa, na tukawafanya ni hadithi za kusimuliwa. Wakapotelea mbali watu wasio amini.


45. Kisha tukamtuma Musa na nduguye, Haaruni, pamoja na ishara zetu na hoja zulizo wazi.


46. Kumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.


47. Wakasema' Je,tuwaamini wanaadamu wawili hawa kama sisi, na ambao watu wao ni watumwa wetu?


48. Basi wakawakanusha,na wakawa miongoni nwa walio angamizwa.


49. Na hakika tulimpa Musa kitabu ili wapate kuongoka.


50. Na tukamfanya mwana wa Mariamu na mama yake kuwa ni Ishara,na tukawapa makimbilio kwenda mahali palipo inuka penye utulivu na chemchem za maji.





Itaendelea....!!
My take! Kuhusu kuukataa ufufuo haukuanzia leo wapo watu tangu enzi za Nuhu walikataa. Haya yanayozungumzwa leo hii ni mapitio ambayo watu wa zamani yaliyapiti.
Lakini kikubwa zaidi hebu na tujiangalie mwanzo wetu sisi wanadamu yaani kuumbwa kwetu jinsi kulivyo dhalili! Je,kama tuliweza kuwa kitu kisichojulikana ndani ya matumbo ya mama zetu Mungu atashindwaje sisi kutufisha na kutufufua na kuwa kama tulivyo kuwa awali?
Tusidanganyike na uhai huu wa dunia wandugu! Hebu jaribu kuutafakari usingizi wako! Kama mtu unaweza kulala na usifahamu kinachoendelea baada ya usingizi hujiulizi kuwa ule ni mfano tu mmojawapo wa kufa na kufufuka? Acheni kulewa na dunia.

Dunia inaelekea ukingoni. Nabii Nuhu katika uhai wake,alifanikiwa kuishi miaka mia tisa na hamsini 950. Leo hii kwa watu walio kula chunvi sana ni miaka mia moja mpaka tisini. Kijana wa kisasa atajitahidi sana ni mika hamsini au arobaini tano. Lakini tukumbuke kuwa kwa umri huwohuwo wa miaka hamsini hadi arobaini na tano,wapo watu ambao watakuja kutushangaa tuliwezaje kuishi miaka yote hiyo!!
Kwani wakati huo mtu kajitahidi saana kuishi yaani ndio kikongwe kabisa ni miaka kumi na tano ama ishirini.
Hivyo basi kuna hatari itakapo fikia sifuri katika miaka,ndipo utakuwa mwisho wa ulimwengu.
Tafakari chukuwa hatuwa!!
 
there is no life after death aise ,toka kuumbwa kwa ulimwengu hakuna aliyewahi kufa akarudi kusema so siammini hii theory ya life after death unless it has proved me wrong

Kabla ya kuamini kama kuna maisha baada ya kifo, inabidi uwe na imani ya uwepo wa Mungu mmoja aliyeumba dunia na vyote vilivyomo! Je unaamini kuwa Mungu yupo?
 
Mwanadamu ameumbwa kwa mwili yaani nyama, nafsi na roho.Utaona hapo nafsi iko katikati yaani medium,kinachotoka kwa roho kinafika katika mwili kupitia nafsi na kinyume chake. Hii roho ni chombo cha muumba alikiweka kwa mwanadamu wakati wa uumbaji yaani kupitia pumzi ya Mungu. Wakati mwingine au mara nyingi mwanadamu amekuwa akiichafua hii roho kwa kuipeleka katika njia tofauti na mwongozo wa Muumba wake yaani njia ya mharibifu shetani aliyetupwa hapa duniani kabla ya uumbaji wa mwanadamu.

Unapokufa roho haifi badala yake inatoka na kwenda mahali ikisubiri ufufuo wa kiama na hatimaye tutafufuka kama roho na sio mwili.Roho ndio itakayotoa hesabu mbele ya Mungu na itajihukumu yenyewe kwa maovu au mema iliyotenda ikiwa hapa duniani. Baada ya hukumu hizi roho chafu zilizomkosea Mungu zitatupwa katika ziwa la moto na kuunguua milele yote na zile zingine zitaingia katika paradiso.

Ni hayo tu sijui kama nimekujibu swali lako, kwa jumla bado kuna fumbo kubwa ndani yake.

Kama kawaida tunapenda kutumia njia rahisi kujibu maswali magumu, kwa kuelezwa au kusoma katika vitabu vilivyoandikwa na waliotutangulia bila kujali kwamba viliandikwa katika mazingira gani. Lazima tufahamu dini zilipingwa na watawala waliokuwepo enzi hizo hivyo basi mafundisho hayakuwa kirahisi hivyo, walifundishwa waliochaguliwa kwa kificho sana, pia walipena notice au maandishi kwa njia za mtambukoa yaani coded languaje.

Biblia, True scripters, Bavagad Gita, Upanishat na vitabu vingi vimeandika juu ya Mungu, uumbaji, na asiri ya maumbile kwa mafumbo sana. Ni elimu iliyotolewa na watu maalumu wenye uono zaidi ya binadamu kwa mwanadamu ambaye aihitaji kujifunza kumaitain some kind of discipline kuweza kupitia ngazi mbalimbali za utambuzi wa elimu hiyo, yaani vilifanyika vitendo zaidi kuvishinda vikwazo ilikupata utambuazi au realization, au revelation kama tunazo sisoma kwenye funuo mbalimbali za hawa tunawaita mitume.

Kuthibitusha hili, angalia Yesu katika maisha yake yote mpaka anakufa alikuwa na wanafunzi 12 tuu (ambao walimtambulisha yesu kwa kumwita mwalimu, panapo mwalimu na mwanafunzi lazima kuna elimu inayofundishwa) Hivyo kuna knowledge of god utake usitake, haipatikani kwa kusaoma biblia au korani tuu, au kuamini yaliondani ya vitabu hivyo na maneno ya mashehe tuu. Hivyo ni mwanzo tuu, lakini safari ya Kutoka Misri (Ignorant) kuelekea, Israel (enlightment) inanzia kwako mwenyewe.

Maswali niliouliza hajibiki kwa kusoma, wala kisikia kwa mtu mwingine. Majibu yako ndani ya yako wewe,huna aja ya kunijibu mimi.
 
Hamjaijua life before death mnayoishi kila siku mnakimbilia life after death speculations?

​Bogus and very very poor thinking with non-theistic "diabolical" reasoning.

Only fatuous and lunkheaded are scared of their future.
 
​Bogus and very very poor thinking with non-theistic "diabolical" reasoning.

Only fatuous and lunkheaded are scared of their future.

Bora mie mwenye very very poor thinking, wewe una tumia non-thinking.

Wewe ni zaidi yangu, however bogus I am, kwa sababu hujaonyesha reasoning.

Halafu kusema kwamba huwezi kukimbia bila kuweza kutembea haina maana unaogopa kukimbia.

Only your god-deluded clouded non-thinking could pull this embarassing phlegm.
 
Bora mie mwenye very very poor thinking, wewe una tumia non-thinking.

Wewe ni zaidi yangu, however bogus I am, kwa sababu hujaonyesha reasoning.

Halafu kusema kwamba huwezi kukimbia bila kuweza kutembea haina maana unaogopa kukimbia.

Only your god-deluded clouded non-thinking could pull this embarassing phlegm.

You don't even know yourself!! The Hate of God is all I can see from your diabolical venomous "mouth". What a shame to a fiendish creature.

As I said before, find a life, I have no time with low self esteem, God Haters.
 

You don't even know yourself!! The Hate of God is all I can see from your diabolical venomous "mouth". What a shame to a fiendish creature.

As I said before, find a life, I have no time with low self esteem, God Haters.

Serious business here.:yo:
 
Back
Top Bottom