Life after Death: What happens after death?

Life after Death: What happens after death?

inaendelea sehemu ya tatu...

Sababu za uwezekano wa uwepo wa mungu duniani:
kuna viumbe vimepita uwezo wa kibinadamu ambavyo wanasayansi wanaviita extraterestrial na wamewahi kuvi-experience katika kazi zao za kitafiti especially Space na Archeology mfano UFO. Ambapo kuna watafiti wanaoamini kuwa hawa extraterrestrial wanataka kuja tena duniani kuungana sisi na ndio chanzo cha maendeleo ya technologia duniani, wanasayansi wengine wanasema hawajui lengo lao. Mfano mwanasayansi mjerumani aliechukuliwa na marekani baada ya vita kuu ya pili na kuwa mkuu wa NASA alikiri kuwa ujuzi wao wanasaidiwa na Alliens.
Pia uchunguzi huu wa extrateresrial unahusisha vitabu vya dini kama Quran(gene, angel, , n.k.) na biblia (kuna satan, demon, angel, ).Pia ushahidi wa kimazingira mfano misri kuna pyramids(Giza) ambayo yapo pia sehemu nyingine duniani na kuna michoro ya watu wenye maumbile ya ajabu ajabu kama vile sura ya kuku kiwiliwili cha binadamu, malaika wana mabawa, kwato, kucha kama za wanyama, n.k. Wansayansi wanasema michoro hii haipo kama coincidence tu ila ni conceptual yakielezea uhalisia wa viumbe ambao binadamu wa kale alikuwa akikutana nao miaka mingi iliyopita. Wanasayansi kwa kutafuta majibu ya maswali yao wanahusisha na vitabu vya dini ili ku-link ideas.

sayansi ya magonjwa ya mimea inakiri kuwa Biblia ndio kitabu pekee cha zamani sana (kikongwe) kinachoelezea magonjwa yaliyokuwepo zama hizo na mpaka leo yapo. Na hapo ndipo panaponifanya nione haja ya kukiamini zaidi kuliko vitabu vingine vya dini.
Wanasayansi wamethibitisha kisayansi kuwepo kwa mapigo kumi ya misri dhidi ya farao yalioandikwa kwenye biblia. .
Vitu kama Safina ya Nuhu, msalaba wa yesualiosulibiwa, mji wa suleiman ni miongoni mwa mabaki ya vitu ambavyo vimepatikana vikiwa vimefukiwa ardhini na wanasayansi wanaochimbua (archeologists) kule mashariki ya kati nakuthibitisha yale yaliyomo katika biblia yalitokea kweli.Quran inataja uwepo wa wakristo katika kitabu chao na inakiri uwepo wa yesu na kuzaliwa kwake, uwezo wake wa kuponya na kufufua wafu, yesu kutokuwa na dhambi na hata kuja kuhukumu ulimwengu wakati wa kiama ambavyo ni vitu vinavyoshabiiana na biblia(kitabu kikongwe). Japo inakataa jambo moja kuu la ukombozi wa mwanadamu kupitia thamani ya damu yake yesu pale msalabani. hivyo kuukataa wokovu. kwakuwa biblia inasema tukikataa kwamba yesu hakufa wokovu wetu ni bure
.....itaendelea
 
sehemu ya nne...
Matukio katika biblia ni baadhi tu ya yanayonishawishi kusimamia imani;
Pale wayahudi walipomkataa yesu inatokanana wao kuamini kitokacho kwa mungu kina utukufu na nguvu nyingi na kitatawala dunia watakuwa taifa kubwa, mwisho wa siku yesu akazaliwa kwenye zizi langombe, hata ningekuwa mimi kwa kutumia logic za kibinadamu ningekataa pia.
.
Pia najiuuliza ni kitu gani kilichowafanya waisraeli watengeneze sanamu wa dhahabu wakati Musa aliwaambia anaenda mlimani kuleta amri za mungu. Sidhani kama waisraeli walikuwa mataahira/wa akili au wakaidi kivile binafsi naamini kuwa muda ambao Musa aliotumia kwenda na kurudi ulikuwa mrefu katika kiwango ambacho binadamu yoyote asingeendelea kuamini tena kama kuna mungu anawaongoza hivyo walikata tamaa kama wanadamu. Na pengine sisi tuliopo leo tunakumbana na hali ileile iliowakuta wanawa-israel enzi hizo.Tujikumbuke kuwa hata maandiko yanasemakama muda usingalifupishwa hata watakatifu wangalipotoshwa.je hatuhisi kakata tamaa? hii inaonyesha ni jinsi gani uwongo wa shetani ulivyomkuu hata wacha mungu wamekata tamaa nakuamua kuasi kama ambavyo waisraeli walikuwa wanamwasi mungu mara kwa mara.Pia maandiko yanasema shetani ni muongo na baba wa uongo. Nadhani watu wanaweza kuwa waongo lakini hawamfikii shetani yeyeni baba lao. Hivyo basi akiwa ndiye baba wa uongo ni vigumu kwetu sisi kama wanadamu kuweza kuchora mstari kutenganisha kati ya kweli na uwongo. Lakini angekuwa mwongo mdogo tungewezakung'amua janja yake kirahisi nakumkataa. Njia pekee ni kusoma neno la mungu nalo ni biblia tu. Nachoweza kusema, njia za mungu si njia za wanadamu namawazo yetu sio mawazo yake, ni kama vile mbingu ilivyo juu sana na ardhi.
 
inaendelea sehemu ya pili....
jambo kubwa nimetokea kuliamini kuwa kuna supernaturalpower katika ulimwengu tunaoishi,kuhusu uchamungu nimegundua kuwa:Dini kama dini haibadilishi asili ya mtu inachofanya ni kupunguza tena kidogo saana. Tabia ni kitu mtu anazaliwa nacho (inborn character)na si kitu cha kujifanya kuishi. Kuna watu ni wapagani lakini wanaishi kama vile wameokoka na wacha mungu wakati huhuo kuna watu wameokoka na wanakwenda kanisani au misikitini kilasiku lakini wanahusuda, choyo roho mbaya sana.kiasi kwamba unajiuliza hivi huyu kama angekuwa hajaokoka au haendi kusali angekuaje?. Na labda ndio maana katika ulimwengu wa leo si ajabu kusikia padre kakamatwa amebaka, shekh kalawiti, mchungaji kafumaniwa n.k.Pia kuhusu dini ni kwamba sio kila padre,Shekh, Mchungaji, anaweza kutoa jibu zuri kwa maandiko aliyosomea na hii ina maana kwamba ukimuuliza mmoja umjuae akishindwa kukupa jibu haimaanishi wote hawawezi au dini hiyo sio ya kweli.ni kama tunavya hitimu chuo tunapokwenda kazini kuna mmoja atakuwa ni mfanisi bora kuliko mwingine japo tumetoka chuo kimoja. mfano;nimeona video ya pastor chris akisema sigara, punyeto sio dhambi. baadhi ya watu wakawa disapointed sana je wanaotetea ushoga au usagaji wanasoma wapi maandiko.
pia kuna
wale watu wanaoamini katika mungu ambao ukiachilia sababu za kimazingira kama kuzaliwa kwenye familia za dini zao, pia huwa wanaamini kwa jinsi wanavyoona wananufaika na dini zao. hili ni tatizo kwasababu kuna dini nyingine zinaeneza uovu na ukatili kwa wananadamu wengine lakini kwakuwa wale perpetrator (wanaofanya uovu) wananufaika kimaslahi na hizo dini wanaendelea kuhalalisha uovu wao kama sehemu ya kimungu au kiimani.
Pia Tatizo la kukosa kuwa na kiasi la baadhi ya watu linapelekea kuhamahama dini au dhehebu na kuvurugikiwa na maisha kwasababu ya madhara ya kuzidisha.mfano watu walevi sana,malaya sana, wauaji sana, ikitokea kupitia matendo yao wamenusurika na kifo basi mwishowe wanaweza kuishia kuacha wakidai wameokoka na kubadilika kabisa lakini ile nature yao ya asili(ya kukosa kiasi) huwa haiondoki hivyo wanakuwa na matatizo hata wakisema wameokoka vipi. mfano mtu anajitetea alikuwa mlevi sana akawa anapiga na kutukana na kujinyea hovyo lakini sasa ameacha na anashauri watu waache pombe wawe kama yeye, ukimchunguza utamkua ana matatizo bado, .kwani mbona kuna watu wanakunywa pombe kila siku lakini hawamtukani mtu na hawana matatizo na mtu yoyote katika jamii?Tujiulize je pombe ndio tatizo au mtu mwenyewe?
Vilevile uzoefu wangu unanionyesha walewatu ambao ni (extreme) wenye kutafuta perfection in most cases wanaishia kuwa disappointed in the end lakini hii naona inatokana na uhalisia kwamba hakuna mtu perfect per se. hata dini zetu zinamapungufu fulani kwakuwa zina endeshwa na wanadamu wenye mapungufu

aisee umechanganya too many things and umeandika kireefu, took me a while to pick the pieces up. I'll try to be short and clear

Kwanza, nafikiri sikutumia lugha sahihi nilivosema 'history of the bible'. Labda ningesema 'origin of the bible'. Research uliyofanya wewe, ni waaay after the bible was made. So i ask, do u know the origin of the bible as it is today? Was it this way about 2 milleniums ago? Who were involved in compiling the books of the bible? What were their original motives? What was involved in the process? After researching that then i'll ask if you're still convinced that the bible is 'inspired' as 'itself' claims

And i'm surprised unasema reaearch proves the bible is the oldest literary text! What research was that?? Me najua the oldest book in the bible ni 'Ayubu' and it dates to 1500B.C. But kuna 'sumerian tablets' ambazo zinadate 6000B.C!

Umefanya alot of bias research ndugu! And kwangu u seem to live in a really fictional world! Are u a teenager? Lol. Do u read critisms za researches unazosoma?
Kwamfano;

1)siamini bado kuna watu wanaamini the da vinci code!! Kwanza its a novel so it should definatley be put on the fictional column of a library. Sikuangalia the video wala kusoma kitabu chake, but nilisoma a good number of reviews and articles kukihusu na kusoma debates about it. I, like most rational people dont take it seriously!

2)noah's ark has been debunked a thousand times!!! Tena na mimi niliipania hiyo kwelikweli wakati niko on denial kwamba hakukuwa na gharika.Please, if u take your faith seriously, read.

3)kama kweli umesoma what the reseachers said about the proof of the 10 plagues, sidhani kama utaconclude kwamba the bible is gods word. What it did to me ni kuprove kwamba people in the ancient times involved God on phenomenon/events they did not understand. Ona hii article ilivyoelezea the science behind it. www.telegraph.co.uk/science/science-news/7530678/Biblical-plagues-really-happened-say-scientists.html . But usome sehemu nyingi kuconfirm.

4)unasema extraterrestrials. Sijamsikia huyo German scientist. And i only saw one documentary on extraterrestrials on National Geographic. They never confirmed on aliens, but wako na labs zao tracking signals on other galaxies so we wait. Ofcourse kuna story zimezagaa about aliens. Hata wakati popobawa alivuma nilikuwa naogopa kulala (although i'm female).

Hiyo reasoning ya Kuwa haiwezekani ancient cultures zichore strange creatures from nowhere bila ya kuwa hao creatures kuwepo, naiskia kwako. Especialy ukizingatia creatures wenywe ni half human-half animal au half plant ambao tunawajua hapa duniani. Yani ka-phd kangu nilikokapatia nyumbani kwa kusoma viarticles na viresearch sijawahi kusikia.

But kuna wataalam JF, wa Egypt, mnasemaje?

My knowledge ya Egypy kwa mfano, kulikua na different gods who represented natural phenomena na personality zao zilielezwa kwenywe myths ambapo na pichwa zilichorwa. waliwakilishwa na mafarao. The god of Destruction (war,plagues etc), Sekhmet, alikuwa na kichwa cha simba. The Earth god, Geb, sehemu nyingine kachorwa na rangi ya kijani, nyingine na rangi ya brown ( Nile mud come in mind?), na ni mtu wa kawaida.

Sasa kwa reasoning yako, Kuna alien alikuja na kichwa cha simba akawaungurumia watu mpaka watu wakaona hawa simba wa kawaida ni very destructive na ndo wanaleta wars and such! Lol.
AU?? hata ukisoma tale inayomuelezea goddess sekhet utaona hicho kichwa cha simba ni work of art.

I'M NOT A SPECIALIST. How do i call the JF hostorians here?? I'm ready for critism.

And u asked about my faith? I choose to beleive in a creator because of the creation, which is far from perfect. The only time i dought in such an intelligent being is when i see evil on earth na me nikashikwa na huruma SANA. Inakuwaje mungu anitengeneze me na huruma hivi na ye asiwe nayo?? Mungu angekuwa mwanamke angeacha kweli hivi? Hakuna sababu nzuri niliyopata mpaka sasa. So i'm an atheist/agnostic.

I'm a vegeterian too, nakula dagaa tu na sato mara moja moja lakini :sad: umeona ng'ombe anavyochinjwa? Simba anavyomla kitoto cha swala? Anavyoua watoto ambao si wake? Watoto walio ngoma? Watoto wanalawitiwa? Wanawake wanabakwa hadi kufa? Mtu anang'olewa meno bila ganzi? Katwa kichwa? Mungu anaacha kweli?? Aaaahhhhhh DONT JUDGE ME FOR BEING HUMAN.
 
hivi nilisema i'll be short and clear? Lol
 
jamani mbona avatar zangu zinasumbua sana humu?ya mwanzo pia hivyo hivyo nikasemwa hadi nikaibadilisha sasa naona na hii mmeanza!lol!
we huoni mwenzio anapoteza meno!
 
aisee umechanganya too many things and umeandika kireefu, took me a while to pick the pieces up. I'll try to be short and clear


And u asked about my faith? I choose to beleive in a creator because of the creation, which is far from perfect. . So i'm an atheist/agnostic.

I'm a vegeterian too, nakula dagaa tu na sato mara moja moja lakini :sad: umeona ng'ombe anavyochinjwa? .
iliopigiwa mstari:nimewahi sikia free manson wanaamini katika greatest architecture of the world. na wewe ume-mention neno creator je wewe ni freemanson? nauliza tu kujua umesimamia wapi kwenye hili. manake tunapozungumza mtu ana dini tuna tabia ya kutaja ukristo na uislamu pekee kama ndio dini. na je unaamini kama kuna uchawi na kama unaamini hio nguvu zake zitakuwa zinatokea wapi?

japo huonyeshi huruma mara mojamoja kwa hao sato na dagaa, je wewe huwa unashiriki mambo ya meditation?.
 
Aaaahhhhhh DONT JUDGE ME FOR BEING HUMAN.

Kwanzabubbs, nashukuru kwa kuendelea kunijibu, okey Ngoja na mimi niandike kiufupi
'Originof the bible'-I agree, haifanani naya enzi hizo.kiufupi kuna mabadiliko mengi ya lugha, utamaduni
.
Freiherr von Braun ni mjerumani alichukuliwa na marekani baada ya vitakuu ya 2 kuisha na ndiye aliyekiri wao kusaidiwa na alliens tena kwa sauti napicha ya video iliyorekodiwa akisema kuhusiana na ujuzi wa kuunda rocket, ipokwenye History Chanel –DSTV hii namba (186) sio National Geographic(181) ambapokuna kipindi cha kuzifuatilia UFOs kwa vifaa vyao. Kumbuka Dstv ina channels Wernher_von_Braun_crop.jpgzipatazo 100 kwa mlipaji wa premium.piaa katika History channel kuna vipindivinaitwa Ancient Alliens, hapa kuna mambo ya UFOs,
Kiukweli Sehemu niliyo-experienceheavy criticism ni kwa Zeitgeist-huyu anakataa kuhusu biblia na uwepo wamungu ambaye anahoji anatupenda mwisho ameandaa moto wakutuchoma milele.anazungumziaishu za yesu kufa na kufufuka siku ya 3 kutokea sehemu mbalimbali duniani hadiindia, misri na sehemu nyingine za dunia kuonyesha ni jinsi gani ilivyokuwa nihadithi. Pia vatican secrete exposed.
i agree kwambabkuna Tabia ya kumhusisha mungu kwa vitu wasivyo vielewa.nakubali Tabia hii naiona bado ipo mpaka leo. Kwenyemambo mengi.
Kuhusu extraterestrial: je umewahi kufuatilia ujenzi wa pyramid na baadhi yamajengo ya zamani yenye matofali lenye uzito wa tani 1 hadi mia, yaliwezajekubebwa na binadamu manake hata wale mummy's waliozikwa misri wana maumbo ya kawaida tu. Technolojia waliipata wapi?. Pia majuzi nilipokuwa naangalia TV,wakawa wanaelezea ni kwanini dini nyingi zinazoripoti kuhusu mungu zipomashariki ya kati. Wakawa wanaelezea eneo hilo la mashariki ya kati kwenye(latitude nyuzi ..sizikumbuki vizuri) kuwa ukizunguka dunia yote kufuata ilo eneo ndio eneo maaurufu kwa matukio ya kuonekana kwa UFOs. Wakawa wanasema itakuwa sio coincidence hii. Tena kwenye yale maeneoyenye highest peak pia ndipo inapodaiwa kulitokea Transfiguration ya yesualipoenda mlimani. Wakawa wanasema kwamba wakina petro walichoona ni haoextraterestrial wakawaita musa na eliyah.
Videoya Thrive: huyu anakiri dunia inamambo ambayo bado ni fumbo kwetu (mysterious). Na baadhi ya manipulationtunazofanyiwa duniani na mashirika makubwa(mfano Bank) na watu wengine elite( Mfano Rockfeller,n.k).Katika dunia kuna eneo lipo kati ya Cuba, USA na Bahamaslinaitwa Devil triangle (Bermuda Triangle) nadhani hili eneo ni miongoni mwamaeneo hayana majibu kwa binadamu mpaka leo?unaichukuliaje hii?
Acha niishie hapa. binafsi najifunza kitu pia kutokakwako.
 
kwanza nikurekebishe,Mungu hajaandaa moto wa kutuchoma milele

Kwanzabubbs, nashukuru kwa kuendelea kunijibu, okey Ngoja na mimi niandike kiufupi
'Originof the bible'-I agree, haifanani naya enzi hizo.kiufupi kuna mabadiliko mengi ya lugha, utamaduni
.
Freiherr von Braun ni mjerumani alichukuliwa na marekani baada ya vitakuu ya 2 kuisha na ndiye aliyekiri wao kusaidiwa na alliens tena kwa sauti napicha ya video iliyorekodiwa akisema kuhusiana na ujuzi wa kuunda rocket, ipokwenye History Chanel –DSTV hii namba (186) sio National Geographic(181) ambapokuna kipindi cha kuzifuatilia UFOs kwa vifaa vyao. Kumbuka Dstv ina channels View attachment 89076zipatazo 100 kwa mlipaji wa premium.piaa katika History channel kuna vipindivinaitwa Ancient Alliens, hapa kuna mambo ya UFOs,
Kiukweli Sehemu niliyo-experienceheavy criticism ni kwa Zeitgeist-huyu anakataa kuhusu biblia na uwepo wamungu ambaye anahoji anatupenda mwisho ameandaa moto wakutuchoma milele.anazungumziaishu za yesu kufa na kufufuka siku ya 3 kutokea sehemu mbalimbali duniani hadiindia, misri na sehemu nyingine za dunia kuonyesha ni jinsi gani ilivyokuwa nihadithi. Pia vatican secrete exposed.
i agree kwambabkuna Tabia ya kumhusisha mungu kwa vitu wasivyo vielewa.nakubali Tabia hii naiona bado ipo mpaka leo. Kwenyemambo mengi.
Kuhusu extraterestrial: je umewahi kufuatilia ujenzi wa pyramid na baadhi yamajengo ya zamani yenye matofali lenye uzito wa tani 1 hadi mia, yaliwezajekubebwa na binadamu manake hata wale mummy's waliozikwa misri wana maumbo ya kawaida tu. Technolojia waliipata wapi?. Pia majuzi nilipokuwa naangalia TV,wakawa wanaelezea ni kwanini dini nyingi zinazoripoti kuhusu mungu zipomashariki ya kati. Wakawa wanaelezea eneo hilo la mashariki ya kati kwenye(latitude nyuzi ..sizikumbuki vizuri) kuwa ukizunguka dunia yote kufuata ilo eneo ndio eneo maaurufu kwa matukio ya kuonekana kwa UFOs. Wakawa wanasema itakuwa sio coincidence hii. Tena kwenye yale maeneoyenye highest peak pia ndipo inapodaiwa kulitokea Transfiguration ya yesualipoenda mlimani. Wakawa wanasema kwamba wakina petro walichoona ni haoextraterestrial wakawaita musa na eliyah.
Videoya Thrive: huyu anakiri dunia inamambo ambayo bado ni fumbo kwetu (mysterious). Na baadhi ya manipulationtunazofanyiwa duniani na mashirika makubwa(mfano Bank) na watu wengine elite( Mfano Rockfeller,n.k).Katika dunia kuna eneo lipo kati ya Cuba, USA na Bahamaslinaitwa Devil triangle (Bermuda Triangle) nadhani hili eneo ni miongoni mwamaeneo hayana majibu kwa binadamu mpaka leo?unaichukuliaje hii?
Acha niishie hapa. binafsi najifunza kitu pia kutokakwako.
 
binadamu sio roho,Mungu ndio roho,wapi unasoma kuwa mwanandamu ni roho??
Kabla ya kujiuliza swali kama hilo ni muhimu kujiuliza binadamu ni nani? je binadamu anaweza kufananishwa na boga au jiwe? binadamu ni zaidi ya hapo. Binadamu ana roho na roho ndio mwanadamu mwenyewe. Tuanzie hapo kwanza......
 
kwanza nikurekebishe,Mungu hajaandaa moto wa kutuchoma milele
nipe ufafanuzi PONO, imekaaje hii?, au unazungumza kwa kutumia imani ipi/au dini/dhehebu lipi?, ukristo. uislamu. confucian, mungiki ama....?
 
Hii nilikuwa sijaiona, ama kweli nimefurahishwa sana na nondo nilizokutana nazo humu. BTW, mimi siamini katika creation, alhali naamin katika uwepo wa Miungu, na Yahweh si muumba wa kila kitu, japo ana uwezo mkubwa wa kuinfuence mambo lakini na yeye ni Mungu kama Miungu wengine tu!
 
Mtu akifa amekufa haendi popote pale. Ukisoma biblia Kitabu cha Mwanzo laana aliyopewa mwanadamu ni Utarudi mavumbini.
Hata Yesu alipokufa alibaki kaburini hadi alipofufuka.
Pia Mtu akifa anabakia hapo alipo inathibitishwa na kurudi kwa Yesu mara ya pili

Yesu akamwambia yule mwivi msalabani LEO HII UTAKUWA NAMI PEPONI. hakubaki kaburini.
 
How do we live after physical death?

Kwani kufa ni nini?
nani anakumbuka chochote kilichotokea miezi kumi kabla hajazaliwa ambacho alikisikia alikiona yeye mwenyewe "live". kama hakuna, hiyo ndiyo hali anayokuwa nayo mtu akifa.

(1) UUMBAJI.
udongo + pumzi ya uhai = nafsi hai (mwanzo 2:7)

(2) KIFO
Nafsi hai - pumzi ya uhai = udongo. (mwanzo 3:19, zaburi 146:4, zaburi 104:29)

(3) MTU AKIFA ROHO HAIENDI MBIGUNI.
Biblia inasema hivi; mhubiri 9:4-6,10 & mhubiri 3:19-21

Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; (maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa);
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.

Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama; jambo moja lawatukia; anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu; naam, wote wanayo pumzi moja; wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama; kwa maana yote ni ubatili.

Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena.

Ni nani ajuaye kama roho ya binadamu huenda juu, na kama roho ya mnyama huenda chini?
Hivyo nikaona ya kwamba hakuna jema kupita mwanadamu kuzifurahia kazi zake; kwa sababu hili ni fungu lake; kwa maana ni nani atakayemrudisha tena ili ayaone yatakayomfuata baadaye.

MTU ALIE KWENYE KOMA, AU ALIEZIMIA HUWA KWENYE NUSU MAUTI.

mtafute mtu aliwahi kuwa mahututi au aliewahi kuzimia muulize kama anakumbuka kuona chochote au kusikia chochote.

mshahara wa dhambi ni mauti. roho inayotenda dhambi itakufa.
yesu alipokufa hakwenda mbinguni hadi alipofufuka na kupaa..

waliokufa wamelala wanasubiri kila mtu kwa kadiri ya matendo yake. 1wathesalonike 4:13-15


 
Back
Top Bottom