[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nipo kweny gar za kariakoo tumebanana nikawa nyuma ya mama mmoja ustadhat nimebambia kinoma sasa bacoz ya mkanda akadhan nimedindisha alitukana njia nzima
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nimechelewa kuuona huu uzi.
Anyways, nakumbuka wakati nimemaliza form 6, nilikua na urafiki wa kuheshimiana sana na binti fulani hivi, ambae pia alikua ni demu wa mshikaji wangu.
Sasa bwana siku hiyo nikawa nimeenda kwao, akawa ameniambia nibebe na CD ya movie yoyote interesting.
Nimefika kwao walikwepo na wadogo zake wawili na dada yao mkubwa... Piga pia story pale, ile CD niliyokuja nayo ikawekwa.... Kumbe ilikua ni ya porno bwana...
Aisee kumbe nilichanganya madesa wakati nabeba ile CD, nikawa nimechukua CD ya porno. Ilikua ni aibu ya mwaka aisee, waliniona wa ajabu kishenzi wale watoto wa kike, hasa yule dada yake yule binti.
Aisee [emoji22][emoji22]Mi nilipata fedhehea kwa hawa mawakala wa kutoa pesa .Jamaa aliniwekea kipande nusu cha hela.Nimetoa hela ,nimefanya mizunguko yangu kutulia naona elfu kumi nusu nikasema nirudi kwa wakala tukayajenge.Jamani ,jamani kumueleza tu yule wakala wacha aanze kupayuka "tapeli mkubwa wewe,unapenda vya dezo mara mashamba yapo kibao,watu tunahangahika na jua lote unataka kutuibia kipimbi,ikawa tena huyu kwa sura tu anaonekana ni tapeli lililokubuhu.Akapata sapota ya wenzake,watu kibao mjini hapo.Nilikuwa mdogo kama piritoni.Sasa hivi niko makini sana kwenye hela.
dahhhh ii noma mkuu. sio poa yaani, nmekuonea huruma sanaDaaah umenikumbusha mbali sana mkuu, Nilitongozaga demu mtandaoni baada ya kumuona akiwa anapost picha mara kwa mara akila bata na alionekana mzuri balaa kama unavowaona akina Beyonce vile, yaani ukiona picha yake utafikiri hajazaliwa ni kama malaika kashushwa vile nikamfuata Inbox baada ya kuzoeana sana nikamtongoza akakubali kwa vile nilikuwa mkoani kikazi na yeye alikuwa Dar, ikabidi tukakubaliana nimtumie nauli aje niliko akakubali nikamtumia, siku ya kuja Alifika mda kama saa8 unusu nikiwa bado niko kazini na kwa vile rafiki zangu nilishawaonesha picha za yule mdada na kwa kweli na wao wakaona nimeopoa lulu, ikabidi nimtume dereva na gari la ofisi akampokee ampeleke hoteli akale then nikamuelekeze pa kumuacha.... nikiwa nimetulia mda wote nachart nae nikaona text kutoka kwa dereva " mzee demu gani huyu umeleta, njoo umpeleke mwenyewe hotelini mimi siwezi kuongozana nae" nikajua jamaa anatania maana ni mtu wa utani .. alivorudi akawa anacheka sana anawahadithia rafiki zangu nikiwemo nikajua anatania hasa nikirudi kuangalia zile picha hata rafiki zangu hawakuamini mda wa kazi ulipoisha marafiki zangu wakanifuata kwenda kumuona shemeji yao.Sitaki kuamini nilichokiona kule, picha ni zake kweli lakini sio uhalisia wake kabisa jamaa wakaniacha bhna hawakutaka hata kukaa na mimi halafu sijui ex wangu alijuaje niko pale si akaja aliongea maneno yaliyofanya ile siku ikawa mgumu sana kwangu.
kesho yake nikampa nauli arudi yule demu hata sikupiga aisee, nilipoingia ilikuwa ni kila mtu akawa ananidiscuss mimi kwa kilichotokea usiku wa jana yake.
hawa madada msiwaamini kwa picha za mitandaoni, wakiwa nyuma ya camera za iphone ni tofauti na uhalisia wao.
mtandaoni binafsi sitongozi tena
dahhhh mshukuru sana uyo dadaNikiwa form 2 kwenye miaka ya 2000 kuendelea..nikiwa kama kijana sharp kabisa kwenye extended family yetu hapa Dar..Mshua akanipa pesa shilingi milioni moja za ujenzi nipeleke moshi kwa bibi yangu mlokole asilimia (100%)Basi laki tano nikaweka mguu wa kushoto tano nyingine mguu wa kulia...
Nikapewa ticket ya Bus moja nakumbuka likiitwa Amazon na fedha taslimu elfu 70 nauli ya kurudi na pesa ya kijikimu na zawadi za njiani kupeleka kwa bibi na simu ndogo ya kufunua aina ya Bird kwa ajili ya mawasiliano.
Nikatoka zangu kinondoni studio mpaka ubungo terminal, bus nikaliona nikaenda kwenye kibanda nikanunua pombe pakti 3 aina ya Tyson nakumbuka walikua wanauza 650 kwa pakti moja nikaipiga pale pale mbili nikapanda nazo kwenye bus...Nilikua nimekaa kwenye siti ya 2 by 2 dirishani ghafla wakapanda wadada wawili na mkaka mmoja ...dada mmoja mweupe mwenye shepu.. yani ni mkubwa kabisa kuliko mimi akaja akakaa akanisalimu wenzake wakakaa siti ya mbele yetu...Sasa mm nina pombe yangu nilikua napenda apande hata msela akae na mm ili niwe huru kukata na kunywa pombe yangu[emoji23]Basi nimejikaza mpaka maili moja kibaha nikasema hapana wakati nafikiria nn cha kufanya wale wa mbele wakampa mwenzao katoni ya castle lager za kopo akatoa moja akafungua akaanza kunywa akaniambia karibu kaka nikachukua kopo ...zikaisha tokaongeza...mara nimetoa kisimu nijifanye kumbeep bibi ilimradi vurugu nikatoa na yale mapomve makali ya viroba nakumbuka tuliwaka sana...To make the long story short nilitakiwa kushuka Kiboriloni nikajikuta niko hoteli moja arusha inaitwa Seven Eleven kama sikosei....niko uchi niko na yule dada[emoji23][emoji23] kumbe nilikata moto simu nimezima sipatikani yule demu kumbe kwenye milioni akadai eti nilinwambia tutumie laki tu zinazobaki tutaenda ngorongoro pakikucha akawa anezihifadhi..kweli kuhesabu nina laki 9[emoji23][emoji23]Nikawasha simu nikapiga kwa bibi nikamwambia nimejikuta asubuhi nyuma ya bus nililotoka nalo dar nimelala na kwenye pesa baba alizonipa imechukuliwa laki moja akapiga vigelegele kanisa lao lina branch arusha akawaelekeza wakaja kunichukua nikapewa shemasi anirudishe Moshi kama shujaaa.....Sijahi muhadithia mtu...yani hapa kwenyewe nlikua naandika nafuta naandika nafuta....kama yule dada yupo humu hata anipM jamaniii[emoji23][emoji23]
DogoMoja kwa moja niende katika mada.
Leo asubuhi kama kawaida yangu kuna mahali huwa naenda kunywa chai, ni mgahawa wa jamaa yangu mmoja wa karibu, nimekunywa chai, nilipomaliza nikaona kuna funguo juu ya meza, ambazo ninafahamu ni za jamaa yangu(Nimeshazitumia mara kadhaa kukatia kucha kwa maana zina nail cutter), nikatumia katika kukata kucha.
Nilipomaliza kukata kucha nilipigiwa simu, nikasogea pembeni kuzungumza na simu, nikazungumza na simu kwa muda mrefu, hivyo sikuona umuhimu wa kurudi pale tena maana nimemaliza kunywa chai, kumbe wakati huo nimesahau funguo zile nimeziweka mfukoni, nilipofika nyumbani nimeendelea na shughuli zangu bila kuelewa chochote wala kukumbuka, nimekuja kupigiwa simu na binti kuwa kumbe zile funguo zinahitajika, ndio nikakumbuka kujisachi najikuta na funguo kuwa ninazo mfukoni, na kumbe si za jamaa yangu, kumpigia simu anasema si zake kweli, ni za binti anayefanya kazi hapo mgahawani, ni kwamba zimefanana, tukio hili limeniachia fedheha na aibu kubwa maana moja kwa moja nimeonekana kama nilikuwa nina hila mbaya, na hakuna yoyote ninayeweza kumueleza akaniamini, imebaki kuniuma mwenyewe rohoni, maana ningehusishwa na wizi.
Katika maisha kuna mambo ambayo yanatukuta kwa bahati mbaya bila sisi kutarajia, hayo mambo huwa yanapelekea aibu na fedheha ambayo haistahili kwa kweli, na hata haielezeki kwa mtu kirahisi.
Kama na wewe una kisa chochote tupe hapa tupate funzo kidogo.
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Mwaka flani hv nimeenda zangu maeneo kumtembelea sister,siku hyo sister kasafiri nimebaki na anko 2,ilikuwa wikiend nikaenda zangu kucheki mpira narudi zangu mida kama ya saa 5 hv uck,narudi geti limefungwa,namgongea anko nae kalala kinouma nimekaa kama nusu SAA hv nagonga hakuna kufungua,nikaamua kufungua dirisha nipitie hapo,vile vidirisha vya zamani vinakuwa na nondo katikati aisee,so nikapiga hesabu nikaona kupita na nguo haiwezekani so nikavua nguo nikaziingiza ndani nikabaki na chupi 2 nikajua si napita fasta, ile kuanza kupitisha kichwa hakipiti kumbe ni padogo ,kasheshe likaanzia hapo,hangaika wapi, hangaika wapi nikaona jau hili,nikamkumbuka jamaa yangu anakaa mtaa wa pili,ikabidi nitoke pale kwa spidi kali nipo na kichupi 2 nakatiza mtaaan,wikiendi ile mitaa watu wanacjelewa sana kulala so nilikutana na watu wanacheka walijua nimetoka kufumaniwa so nakimbia soo,ile nafika kwa jamaa,jamaa kafungua kunikuta vile anacheka kishenzi,kwa soo lile sikukaa sana ilibidi nirudi home 2
π€£ π€£ π€£Nilikua na tabia ya kujamba mbele ya katoto kangu kalikua bado hakajalewa kenyewe kalikua kanacheka tuu kanajua nafanya hivyo kumfurahisha...sasa nilipoanza kukafundisha kutumia potty sijui ndo kagagundua ukijamba ni dalili ya haja, siku nimekaa sina hili wala lile nikaachia bomu kakakurupuka kaenda kutafuta potty eti "kunya mama, mama mama kunya" halafu nilishatoka mbele za watu jamani nilifedheheka japo wengine hawakumuelewa wakawa wanamshangaa tu mie nilimchunia kama simjui Ila niliona aibu na nikakoma hiyo tabia.
π€£ π€£ π€£Miaka kadhaa nyuma nlikua nafanya degree ya 2 (Masters) nchi moja ulaya. Sasa tukawa tumealikwa na balozi wa Tz kwenye part ya kufunga mwaka na kukaribisha mwaka mpya na kulikua na wanafunzi wa Tz kutoka vyuo tofauti vilivyopo io nchi, wa Tz wanaoishi kule, na watu wengine wengine tofauti wakimemo baadhi ya marafiki na waalikwa (diplomats) wa uyo balozi wa Tz kipindi icho ambao baadhi walikua wazungu.
Io part ilikua na misosi kama yote plus mitungi ndo usiseme ma pombe makali brand zooooooote za dunia.. sijui nlijichanganya nn nikawa nakunywa ilo li pombe kali kama grants au Jameson ivi (jina sikumbuki) alafu baadae nikanywa wine.. nliwaka, nikatapika na badae nikazima kabisa hadi suti nlivoaa ikawa haina maana. baadae jamaa tuliokua tunaosoma nao chuo kimoja wakanirudisha chuon na sikua na kumbukumbu yoyote zaidi ya kabla sijanywa mpaka nlipooneshwa picha. dahh ilikua noma sana baada ya pale ndo ikawa kama ID yangu kwamba jamaa aliezima siku ya part kwa Balozi kila tulipokua tukikutana na jamaa wa vyuo vingine kwenye matukio tofauti. ikafika kipind nikawa sijichanganyi kwenye zile event za wa Tz had nlipomaliza shule kurudi Bongo. Sitosahau
kudadadeki hii kali aiseeeKuna mzee wangu mmoja yeye na x ni damdam. Yaani kwenda kwenye hizi video library kujaziwa x kwenye simu yake ni kitu Cha kawaida kwake alafu ni muheshimiwa [emoji23][emoji23].yaani kipindi nasoma alivyo jua tu naweza kuidownload ilikua ni fucho yaani kuniunga na bando la elfu ishirini nimdownlodie nimjazie kwenye flash yake kitu kidogo Sana yaani alinunua Hadi tv kwa ajili ya kuangazia x tu chumbani kwake .[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijaribu kumshauri tu maswali utakayo ulizwa wewe ndio utajiona fala.
Ila nikaja kumuambia mzee hayo ma video kwa status yako kuyajaza kwenye simu vizuri Bora hata ungekua una stream to on line yeye hataki anataka kuweka kumbukumbu sijui ya nini.
Yaani ilifika sehem alifilisi mtaji wa vocha was duka la mkewe kwa ajiri ya mabando ya kudownlodia x[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hi hadi Leo ni kesi kwa mkewe haliishi wakikosana tu mke lazima adai mtaji wake wa vocha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwana wee za mwizi zikafika what's up waliboresha app yao na kutengeneza sehem ya kupost status....uzuri wa huyu mzee nae anajikuta kijana kijana mtundu mtundu....si akapost x status alafu ile x ilikua ya kikatili yule mchizi kambinua manzi mbuzi kagoma manzi tako Kama lote plus kitumbua chote kimejaa screen vizuri kabisa alafu mchizi alikua na bonge la pipe na mikandamizo heavy alafu ni black[emoji39][emoji39] . ... Watu walivyo Anza kuona status ya mzee wakaanza kumpigia alicho kifanya eti akazima simu kubwa yenye what's up akijua wataacha kuona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee ikawa fundisho Hadi Leo haweki kwenye simu ikabidi ajifunze kustream kwa lazima ......
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nipo kweny gar za kariakoo tumebanana nikawa nyuma ya mama mmoja ustadhat nimebambia kinoma sasa bacoz ya mkanda akadhan nimedindisha alitukana njia nzima
Khaaaaah sikua najua mie lol.vyoo vya benk
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna mzee wangu mmoja yeye na x ni damdam. Yaani kwenda kwenye hizi video library kujaziwa x kwenye simu yake ni kitu Cha kawaida kwake alafu ni muheshimiwa [emoji23][emoji23].yaani kipindi nasoma alivyo jua tu naweza kuidownload ilikua ni fucho yaani kuniunga na bando la elfu ishirini nimdownlodie nimjazie kwenye flash yake kitu kidogo Sana yaani alinunua Hadi tv kwa ajili ya kuangazia x tu chumbani kwake .[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijaribu kumshauri tu maswali utakayo ulizwa wewe ndio utajiona fala.
Ila nikaja kumuambia mzee hayo ma video kwa status yako kuyajaza kwenye simu vizuri Bora hata ungekua una stream to on line yeye hataki anataka kuweka kumbukumbu sijui ya nini.
Yaani ilifika sehem alifilisi mtaji wa vocha was duka la mkewe kwa ajiri ya mabando ya kudownlodia x[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hi hadi Leo ni kesi kwa mkewe haliishi wakikosana tu mke lazima adai mtaji wake wa vocha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwana wee za mwizi zikafika what's up waliboresha app yao na kutengeneza sehem ya kupost status....uzuri wa huyu mzee nae anajikuta kijana kijana mtundu mtundu....si akapost x status alafu ile x ilikua ya kikatili yule mchizi kambinua manzi mbuzi kagoma manzi tako Kama lote plus kitumbua chote kimejaa screen vizuri kabisa alafu mchizi alikua na bonge la pipe na mikandamizo heavy alafu ni black[emoji39][emoji39] . ... Watu walivyo Anza kuona status ya mzee wakaanza kumpigia alicho kifanya eti akazima simu kubwa yenye what's up akijua wataacha kuona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee ikawa fundisho Hadi Leo haweki kwenye simu ikabidi ajifunze kustream kwa lazima ......
[emoji23][emoji23][emoji23] Noma sanaKuna mzee wangu mmoja yeye na x ni damdam. Yaani kwenda kwenye hizi video library kujaziwa x kwenye simu yake ni kitu Cha kawaida kwake alafu ni muheshimiwa [emoji23][emoji23].yaani kipindi nasoma alivyo jua tu naweza kuidownload ilikua ni fucho yaani kuniunga na bando la elfu ishirini nimdownlodie nimjazie kwenye flash yake kitu kidogo Sana yaani alinunua Hadi tv kwa ajili ya kuangazia x tu chumbani kwake .[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijaribu kumshauri tu maswali utakayo ulizwa wewe ndio utajiona fala.
Ila nikaja kumuambia mzee hayo ma video kwa status yako kuyajaza kwenye simu vizuri Bora hata ungekua una stream to on line yeye hataki anataka kuweka kumbukumbu sijui ya nini.
Yaani ilifika sehem alifilisi mtaji wa vocha was duka la mkewe kwa ajiri ya mabando ya kudownlodia x[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hi hadi Leo ni kesi kwa mkewe haliishi wakikosana tu mke lazima adai mtaji wake wa vocha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwana wee za mwizi zikafika what's up waliboresha app yao na kutengeneza sehem ya kupost status....uzuri wa huyu mzee nae anajikuta kijana kijana mtundu mtundu....si akapost x status alafu ile x ilikua ya kikatili yule mchizi kambinua manzi mbuzi kagoma manzi tako Kama lote plus kitumbua chote kimejaa screen vizuri kabisa alafu mchizi alikua na bonge la pipe na mikandamizo heavy alafu ni black[emoji39][emoji39] . ... Watu walivyo Anza kuona status ya mzee wakaanza kumpigia alicho kifanya eti akazima simu kubwa yenye what's up akijua wataacha kuona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee ikawa fundisho Hadi Leo haweki kwenye simu ikabidi ajifunze kustream kwa lazima ......
Pole sana mkuu. Nimejaribu kuvaa viatu vyako.Tukio lingine ninalo likumbuka ilikua miaka ya nyuma kidogo, nmemaliza kidato cha nne pale nasubiri kwenda A level,hivyo nikasafiri kwenda Moshi kwa ajili ya likizo hiyo ndefu.... Basi bwana,pale mtaani kukawa na sherehe za kipaimara cjui ubarikio sikumbuki vizuri ambae mdogo ake jamaa angu ndo alikua muhusika so nikaalikwa na huyu mshkaji wangu,ukafika muda wa msosi na utaratibu ni kupanga foleni,yule jamaa angu akawa na mishe mishe hivyo na mimi ikanibidi nipange foleni,imefika zamu yangu basi kuna mama wa kipare alikua ana "save" msosi pale,alinifananisha akaniwakia "kaka umeshachukua chakula pisha wenzio nao wapate kama hujashiba utaongeza mwishoni"...aisee nilijisikia vibaya,kwanza watu wengi,alafu mimi ni mgeni pale tena "kutoka Dar" sa kadri nilivyokua nakataa ndio yule mama anapaza sauti na kuzua taharuki pale,ilibidi niondoke kitendo kilichoaminisha kweli nlikua narudia,nilidhalilika sana na roho iliniuma sana japo yule jamaa angu aliniomba radhi haikusaidia... nilijifungua ndani muda wote na nikahama na mtaa kabisa nikaenda kuishi Moshi mjini kutoka NewLand[emoji24][emoji24]