Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Mwaka flani hv nimeenda zangu maeneo kumtembelea sister,siku hyo sister kasafiri nimebaki na anko 2,ilikuwa wikiend nikaenda zangu kucheki mpira narudi zangu mida kama ya saa 5 hv uck,narudi geti limefungwa,namgongea anko nae kalala kinouma nimekaa kama nusu SAA hv nagonga hakuna kufungua,nikaamua kufungua dirisha nipitie hapo,vile vidirisha vya zamani vinakuwa na nondo katikati aisee,so nikapiga hesabu nikaona kupita na nguo haiwezekani so nikavua nguo nikaziingiza ndani nikabaki na chupi 2 nikajua si napita fasta, ile kuanza kupitisha kichwa hakipiti kumbe ni padogo ,kasheshe likaanzia hapo,hangaika wapi, hangaika wapi nikaona jau hili,nikamkumbuka jamaa yangu anakaa mtaa wa pili,ikabidi nitoke pale kwa spidi kali nipo na kichupi 2 nakatiza mtaaan,wikiendi ile mitaa watu wanacjelewa sana kulala so nilikutana na watu wanacheka walijua nimetoka kufumaniwa so nakimbia soo,ile nafika kwa jamaa,jamaa kafungua kunikuta vile anacheka kishenzi,kwa soo lile sikukaa sana ilibidi nirudi home 2
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] chief uliua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We boya sana yani unakata mikucha yako na nail cutter za mtu mwingine magonjwa yote haya.

Mimi ilinikuta miaka kadhaa iliyopita ndio nimeajiriwa kwenye kampuni flani hapa dar.jioni nimekaa na mabosi zangu kupata wine kidogo na kujuana vizuri.tulikua tumeweka simu zetu mezani,bahati mbaya nikachukua simu ya bosi mmoja nikatia mfukoni nikijua ni yangu .mara kidogo jamaa akaanza kuulizi simu yake mimi nimetulia tu nikiamini iliyopo mfukoni ni yangu.

Dah ilivyobipiwa ikaita kwangu halafu hata hawakunipa nafasi ya kujieleza zaidi ya kila mtu kutunza simu yake kwa umakini,nilijisikia fedheha haielezeki
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wakaona wapo na kibaka mezani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kwenda migahawa koko maeneo flani ivi nikakuta contena la kunawia mikono wameweka pembeni na nyumba ya mtu alafu mgahawa wenyewe uko mbali kidogo mi niliponawa nikaingia nyumba iliyokuwa jirani nikidhani ndio mgahawa wenyewe kumbe nimeingia kwenye geto la Mmama flani ivi.

Sasa mda naingia alikuwa bize anakula alafu kageukia upande wapili wala hakusikia vishindo mda naingia kwa akili za kitoto nilipogumdua kuwa nimeingia kusipo nikapata akili ya kutoka kimyakimya tena...! Kumbe mda natoka ndani yule mama akashtuka nikajifanya kuchomoka mule ndani kwa haraka ndio akaniitia mwizi..mwizi...mwizi asee nikajifanya kukimbia nikaishia mikononi mwa wanainchi wenye hasira kali aisee sitakaa nisahau kilichonipata yaani kuna watu bongo hii hata ukiwa unatoa maelezo hawayazingatii wao ni kupiga tu na kutafta petroli.... Hadi leo nikikuta mwizi anapigwa huwa napenda kusikiliza maelezo yake kama yanaleta logic....Maana ningechomwa moto na sijawahi kuiba wala kutapeli cha mtu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, Nilitongozaga demu mtandaoni baada ya kumuona akiwa anapost picha mara kwa mara akila bata na alionekana mzuri balaa kama unavowaona akina Beyonce vile, yaani ukiona picha yake utafikiri hajazaliwa ni kama malaika kashushwa vile nikamfuata Inbox baada ya kuzoeana sana nikamtongoza akakubali kwa vile nilikuwa mkoani kikazi na yeye alikuwa Dar, ikabidi tukakubaliana nimtumie nauli aje niliko akakubali nikamtumia, siku ya kuja Alifika mda kama saa8 unusu nikiwa bado niko kazini na kwa vile rafiki zangu nilishawaonesha picha za yule mdada na kwa kweli na wao wakaona nimeopoa lulu, ikabidi nimtume dereva na gari la ofisi akampokee ampeleke hoteli akale then nikamuelekeze pa kumuacha.... nikiwa nimetulia mda wote nachart nae nikaona text kutoka kwa dereva " mzee demu gani huyu umeleta, njoo umpeleke mwenyewe hotelini mimi siwezi kuongozana nae" nikajua jamaa anatania maana ni mtu wa utani .. alivorudi akawa anacheka sana anawahadithia rafiki zangu nikiwemo nikajua anatania hasa nikirudi kuangalia zile picha hata rafiki zangu hawakuamini mda wa kazi ulipoisha marafiki zangu wakanifuata kwenda kumuona shemeji yao.Sitaki kuamini nilichokiona kule, picha ni zake kweli lakini sio uhalisia wake kabisa jamaa wakaniacha bhna hawakutaka hata kukaa na mimi halafu sijui ex wangu alijuaje niko pale si akaja aliongea maneno yaliyofanya ile siku ikawa mgumu sana kwangu.
kesho yake nikampa nauli arudi yule demu hata sikupiga aisee, nilipoingia ilikuwa ni kila mtu akawa ananidiscuss mimi kwa kilichotokea usiku wa jana yake.

hawa madada msiwaamini kwa picha za mitandaoni, wakiwa nyuma ya camera za iphone ni tofauti na uhalisia wao.
mtandaoni binafsi sitongozi tena
Photoshop [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kwenda migahawa koko maeneo flani ivi nikakuta contena la kunawia mikono wameweka pembeni na nyumba ya mtu alafu mgahawa wenyewe uko mbali kidogo mi niliponawa nikaingia nyumba iliyokuwa jirani nikidhani ndio mgahawa wenyewe kumbe nimeingia kwenye geto la Mmama flani ivi.

Sasa mda naingia alikuwa bize anakula alafu kageukia upande wapili wala hakusikia vishindo mda naingia kwa akili za kitoto nilipogumdua kuwa nimeingia kusipo nikapata akili ya kutoka kimyakimya tena...! Kumbe mda natoka ndani yule mama akashtuka nikajifanya kuchomoka mule ndani kwa haraka ndio akaniitia mwizi..mwizi...mwizi asee nikajifanya kukimbia nikaishia mikononi mwa wanainchi wenye hasira kali aisee sitakaa nisahau kilichonipata yaani kuna watu bongo hii hata ukiwa unatoa maelezo hawayazingatii wao ni kupiga tu na kutafta petroli.... Hadi leo nikikuta mwizi anapigwa huwa napenda kusikiliza maelezo yake kama yanaleta logic....Maana ningechomwa moto na sijawahi kuiba wala kutapeli cha mtu!
Asee! Pole mkuu
 
  1. Huu ujinga wa kuachia hewa kwenye lift ukipanda/kushuka ukiamini hakuna mtu ataingia umenifedhehesha sana hapa mjini
  2. Na kukutwa unajaribisha kiatu cha mgeni licha ya fedheha baada ya mgeni kuondoka unakumbushiwa maadili na mshua
  3. kuendesha pikipiki/baiskeli kwa mbwembwe
 
daaaaaaah fedheha yangu naogopa kuiandika hapa,nita fedheheka zaidi
 
Na mm kuna matukio kama mawil matatu hivi dah kila nikikumbuka nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]

Mwaka jana 2020 nilipita pale Be Forward posta karibu na ocean road,wakati naendelea na kilichonipeleka pale nilibanwa na haja ndogo baada ya kuuliza wenyeji wangu wakanielekeza chooni..
Nimefika chooni nmekuta mtu kaacha zigo juu hajaflash,dah kwa sababu na mm nlikua na haja nkajaribu kuflash bila mafanikio kwa sababu hapakua na maji,nikaona bora nikojoe nisepe,nmemaliz natoka napishana na mdada flani hivi aisee nlijisikia vibaya mno,nlitamani nimwambie usiingie au huo mzigo si wangu ila sikuweza... nilisikia bonge la sonyo na "kuna watu sio wastaarabu"[emoji23][emoji23][emoji23]basi yule dada nlikua na coincidence nae nikawa naonana nae mara kwa mara mpka kuna siku nilipanda nae mwendokasi na kukaa nae seat moja,nilitamani nmuelezee mzigo haukua wangu ila ndo hivo naanzaje
[emoji870]tena
 
Kuna demu mtaani alikuwa wa kishua na huwa hana shobo na mtu wala hasilimii kenge yoyote pale mtaani.Masela wakawa wanamuongelea vibaya sasa siku moja mama yake alikunywa sumu kwa wivu wa mapenzi (baba yake ambae anafanya kazi UN) nashangaa bonge la usiku akaja mbio kuniomba nimpe maziwa(tulikuwa tunafuga ng’ombe) ikabidi familia nzima iamke ili kujua nani huyo anataka maziwa usiku wa manane? mimi kwa uninja wangu nikaenda mbio kwenda kumkamua ng'ombe wetu nikampa kama nusu jagi akabeba huku anakimbia kuelekea kwao huku analia.Nikaona haitoshi kuna dokta mwenye ki dispensary pale jirani na,home nikamcheck akapokea simu kwa sababu alikuwa mchizi wangu sana,ikabidi nimuelezee kilichotokea si akaamka tukaenda kumchukua yule mama na kumtundikia ma dripu.Yule mama baada ya siku 3 akawa na nafuu kumbe lile tendo lilinipa marks kubwa kwa yule demu so mtaa mzima akawa ananisalimu na kuongea na mimi tu(upande wa wavulana).
Siku moja moja sina lile wala hili akashika simu yangu aina ya L6 motorola ili asave namba yake kumbe alinipenda sana the way nilivyojitoa kwa mama yake.Daaa ile anaandika number akakuta namba yake imaseviwa NGEDERE MAPOZI daaa nashangaa ananiuliza hii nini kumbe una namba yangu alafu umenisave jina la ajabu.? Kwa kweli niliona aibu sana siku ile nilikosa cha kusema isitoshe alianza kunipenda na alikuwa anakuja home niliishiwa nguvu asijue kuwa lile jina na namba nililisave,zamani kabla ya tukio la mama yake kula sumu.
WANA WALISHAANZA KUNIPA RESPECT KWA KUWA KARIBU NA YULE MTOTO WA KISHUA.Daaaaa
 
Moja kwa moja niende katika mada.

Leo asubuhi kama kawaida yangu kuna mahali huwa naenda kunywa chai, ni mgahawa wa jamaa yangu mmoja wa karibu, nimekunywa chai, nilipomaliza nikaona kuna funguo juu ya meza, ambazo ninafahamu ni za jamaa yangu(Nimeshazitumia mara kadhaa kukatia kucha kwa maana zina nail cutter), nikatumia katika kukata kucha.

Nilipomaliza kukata kucha nilipigiwa simu, nikasogea pembeni kuzungumza na simu, nikazungumza na simu kwa muda mrefu, hivyo sikuona umuhimu wa kurudi pale tena maana nimemaliza kunywa chai, kumbe wakati huo nimesahau funguo zile nimeziweka mfukoni, nilipofika nyumbani nimeendelea na shughuli zangu bila kuelewa chochote wala kukumbuka, nimekuja kupigiwa simu na binti kuwa kumbe zile funguo zinahitajika, ndio nikakumbuka kujisachi najikuta na funguo kuwa ninazo mfukoni, na kumbe si za jamaa yangu, kumpigia simu anasema si zake kweli, ni za binti anayefanya kazi hapo mgahawani, ni kwamba zimefanana, tukio hili limeniachia fedheha na aibu kubwa maana moja kwa moja nimeonekana kama nilikuwa nina hila mbaya, na hakuna yoyote ninayeweza kumueleza akaniamini, imebaki kuniuma mwenyewe rohoni, maana ningehusishwa na wizi.


Katika maisha kuna mambo ambayo yanatukuta kwa bahati mbaya bila sisi kutarajia, hayo mambo huwa yanapelekea aibu na fedheha ambayo haistahili kwa kweli, na hata haielezeki kwa mtu kirahisi.

Kama na wewe una kisa chochote tupe hapa tupate funzo kidogo.
Kusoma uzi huu. Mambo yangu yanakuhusu nini kama siyo umbea?
 
Mwaka flani hv nimeenda zangu maeneo kumtembelea sister,siku hyo sister kasafiri nimebaki na anko 2,ilikuwa wikiend nikaenda zangu kucheki mpira narudi zangu mida kama ya saa 5 hv uck,narudi geti limefungwa,namgongea anko nae kalala kinouma nimekaa kama nusu SAA hv nagonga hakuna kufungua,nikaamua kufungua dirisha nipitie hapo,vile vidirisha vya zamani vinakuwa na nondo katikati aisee,so nikapiga hesabu nikaona kupita na nguo haiwezekani so nikavua nguo nikaziingiza ndani nikabaki na chupi 2 nikajua si napita fasta, ile kuanza kupitisha kichwa hakipiti kumbe ni padogo ,kasheshe likaanzia hapo,hangaika wapi, hangaika wapi nikaona jau hili,nikamkumbuka jamaa yangu anakaa mtaa wa pili,ikabidi nitoke pale kwa spidi kali nipo na kichupi 2 nakatiza mtaaan,wikiendi ile mitaa watu wanacjelewa sana kulala so nilikutana na watu wanacheka walijua nimetoka kufumaniwa so nakimbia soo,ile nafika kwa jamaa,jamaa kafungua kunikuta vile anacheka kishenzi,kwa soo lile sikukaa sana ilibidi nirudi home 2
Nimecheka sana mkuu mpaka machozi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fedheha nnazozipataga mimi ni ndogo ndogo kwenye matumizi ya vyombo vya mzungu.
Kuna mabomba ufunguaji wake mrahisi ila kama hujui hangaika sana afu anakuja mtu tu anakufungulia kirahisi[emoji23]
Siku ya kwanza kupanda mwendokasi sijui kuscan ticket aibu tupu
Siku ya kwanza kutumia lift[emoji3] nk
Yani vitu vya aina hio ndo aibu nnazopataga
Wewe ni msukuma? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna demu mtaani alikuwa wa kishua na huwa hana shobo na mtu wala hasilimii kenge yoyote pale mtaani.Masela wakawa wanamuongelea vibaya sasa siku moja mama yake alikunywa sumu kwa wivu wa mapenzi (baba yake ambae anafanya kazi UN) nashangaa bonge la usiku akaja mbio kuniomba nimpe maziwa(tulikuwa tunafuga ng’ombe) ikabidi familia nzima iamke ili kujua nani huyo anataka maziwa usiku wa manane? mimi kwa uninja wangu nikaenda mbio kwenda kumkamua ng'ombe wetu nikampa kama nusu jagi akabeba huku anakimbia kuelekea kwao huku analia.Nikaona haitoshi kuna dokta mwenye ki dispensary pale jirani na,home nikamcheck akapokea simu kwa sababu alikuwa mchizi wangu sana,ikabidi nimuelezee kilichotokea si akaamka tukaenda kumchukua yule mama na kumtundikia ma dripu.Yule mama baada ya siku 3 akawa na nafuu kumbe lile tendo lilinipa marks kubwa kwa yule demu so mtaa mzima akawa ananisalimu na kuongea na mimi tu(upande wa wavulana).
Siku moja moja sina lile wala hili akashika simu yangu aina ya L6 motorola ili asave namba yake kumbe alinipenda sana the way nilivyojitoa kwa mama yake.Daaa ile anaandika number akakuta namba yake imaseviwa NGEDERE MAPOZI daaa nashangaa ananiuliza hii nini kumbe una namba yangu alafu umenisave jina la ajabu.? Kwa kweli niliona aibu sana siku ile nilikosa cha kusema isitoshe alianza kunipenda na alikuwa anakuja home niliishiwa nguvu asijue kuwa lile jina na namba nililisave,zamani kabla ya tukio la mama yake kula sumu.
WANA WALISHAANZA KUNIPA RESPECT KWA KUWA KARIBU NA YULE MTOTO WA KISHUA.Daaaaa
Haaaaaaah haaaaaah nmecheka k***
 
Na mm kuna matukio kama mawil matatu hivi dah kila nikikumbuka nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]

Mwaka jana 2020 nilipita pale Be Forward posta karibu na ocean road,wakati naendelea na kilichonipeleka pale nilibanwa na haja ndogo baada ya kuuliza wenyeji wangu wakanielekeza chooni..
Nimefika chooni nmekuta mtu kaacha zigo juu hajaflash,dah kwa sababu na mm nlikua na haja nkajaribu kuflash bila mafanikio kwa sababu hapakua na maji,nikaona bora nikojoe nisepe,nmemaliz natoka napishana na mdada flani hivi aisee nlijisikia vibaya mno,nlitamani nimwambie usiingie au huo mzigo si wangu ila sikuweza... nilisikia bonge la sonyo na "kuna watu sio wastaarabu"[emoji23][emoji23][emoji23]basi yule dada nlikua na coincidence nae nikawa naonana nae mara kwa mara mpka kuna siku nilipanda nae mwendokasi na kukaa nae seat moja,nilitamani nmuelezee mzigo haukua wangu ila ndo hivo naanzaje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro wangu ameoa sasa.Alikuwa na demu lake lina msambwanda kinyama.Basi lilivyosikia jamaa anaoa alienda kumfanyia fujo home wote tulikuwepo.Likaanza kubwatuka kuwa jamaa kamla ndogo miaka mingi kwa nini amuoi yeye.Tuliona noma sana.Washua wananiuliza kweli?Nikawaambia mkamuulize bro.Noma sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]kuma_mae
 
Back
Top Bottom