Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Issue ndogo sana hiyo, sioni tatizo lolote hapo.Labda ni wewe ulijishitukia, lakini si fedheha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] gedere mapoz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna demu mtaani alikuwa wa kishua na huwa hana shobo na mtu wala hasilimii kenge yoyote pale mtaani.Masela wakawa wanamuongelea vibaya sasa siku moja mama yake alikunywa sumu kwa wivu wa mapenzi (baba yake ambae anafanya kazi UN) nashangaa bonge la usiku akaja mbio kuniomba nimpe maziwa(tulikuwa tunafuga ng’ombe) ikabidi familia nzima iamke ili kujua nani huyo anataka maziwa usiku wa manane? mimi kwa uninja wangu nikaenda mbio kwenda kumkamua ng'ombe wetu nikampa kama nusu jagi akabeba huku anakimbia kuelekea kwao huku analia.Nikaona haitoshi kuna dokta mwenye ki dispensary pale jirani na,home nikamcheck akapokea simu kwa sababu alikuwa mchizi wangu sana,ikabidi nimuelezee kilichotokea si akaamka tukaenda kumchukua yule mama na kumtundikia ma dripu.Yule mama baada ya siku 3 akawa na nafuu kumbe lile tendo lilinipa marks kubwa kwa yule demu so mtaa mzima akawa ananisalimu na kuongea na mimi tu(upande wa wavulana).
Siku moja moja sina lile wala hili akashika simu yangu aina ya L6 motorola ili asave namba yake kumbe alinipenda sana the way nilivyojitoa kwa mama yake.Daaa ile anaandika number akakuta namba yake imaseviwa NGEDERE MAPOZI daaa nashangaa ananiuliza hii nini kumbe una namba yangu alafu umenisave jina la ajabu.? Kwa kweli niliona aibu sana siku ile nilikosa cha kusema isitoshe alianza kunipenda na alikuwa anakuja home niliishiwa nguvu asijue kuwa lile jina na namba nililisave,zamani kabla ya tukio la mama yake kula sumu.
WANA WALISHAANZA KUNIPA RESPECT KWA KUWA KARIBU NA YULE MTOTO WA KISHUA.Daaaaa
Dah! hii noma Ila pole sana mwambaKubabake walay [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3] at least she Knew you cared for your health, ila sio wamama wa zama zile hahahaMwaka 2008 nkiwa kidato Cha pili, nlimfedhesha mama na Mimi mwenyewe, nakumbuka suruali yangu ilikua imechanika nkamuomba mama anipe hela nipeleke kwa fundi,
Nlikua nmesahau kabsa kuwa nmeweka kondom kwenye suruali iyo, mama akiwa na rafiki zake wakikundi akasema lete nione ilivyochanika, bila wasiwasi wowote nkampa,
Kuishisha vitu mwaa chini, nlitaman ardhi inimeze siku ile
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Kuna siku nilikuwa nipo na sister angu mitaa ya kariakoo...huyu sister ni mkubwa sana kwangu...amepishana na mama angu mdogo miaka 3 tu...hivo namuheshimu kama mama angu.... Sasa nipo nae mitaa ya kariakoo tunatembea akatokea mmasai akaanza kuniropokea mbele ya sister...aroo nauza dawa ya mb*loo...akaanza kuorodhesha pale kazi zake...aisee nilitamani nikimbie...nilijisikia vibaya tena mbele ya sister[emoji31][emoji31][emoji31]
Jamaa alijua mkewe nn?Kuna siku miaka ya nyuma kidogo, enzi hizo Niko janja tu nasoma sekondari, basi home kulikua na computer desktop ilikuepo home natumia tumia sasa kama unavyojua kompyuta kama hujui kuitunza inavyosumbua.
Sasa ile kompyuta nilikua naitumia lakini ni nzito kimtindo ukiiwasha mpaka ukae muda kidogo, sasa mimi ugonjwa wangu mkubwa ulikua nikiwasha lazima nianze na porn ndo mengine yaendelee.
Sasa bwana kuna siku kama kawaida yangu nimeiwasha, Ile bado haijakaa nikafungua video ya porn, sasa ikawa bado haijafunguka ipo inaload, mara nikaisikia hodi , nafungua mlango naona ndugu zangu fulani ivi wametoka klinik mke na mme wanaomba maji, sasa mme akabaki nje dirishani usawa wa ilipokua kompyuta, huku mke akaingia ndani kuja kunywa maji, Ile nimefata maji nimeleta mke ameanza kunywa BWANA WEEH! si ndo video ikafunguka halafu mbaya zaidi ilikua inaanza na sauti ya demu analia, mara jamaa ambaye alikua mme wa Yule mke nae baada ya kusikia sauti si akaja ndani pia, mimi kuona vile hawakujua hata niliishia wapi, nilifedheheka mno kwa kweli
NshakukumbukaMiaka kadhaa nyuma nlikua nafanya degree ya 2 (Masters) nchi moja ulaya. Sasa tukawa tumealikwa na balozi wa Tz kwenye part ya kufunga mwaka na kukaribisha mwaka mpya na kulikua na wanafunzi wa Tz kutoka vyuo tofauti vilivyopo io nchi, wa Tz wanaoishi kule, na watu wengine wengine tofauti wakimemo baadhi ya marafiki na waalikwa (diplomats) wa uyo balozi wa Tz kipindi icho ambao baadhi walikua wazungu.
Io part ilikua na misosi kama yote plus mitungi ndo usiseme ma pombe makali brand zooooooote za dunia.. sijui nlijichanganya nn nikawa nakunywa ilo li pombe kali kama grants au Jameson ivi (jina sikumbuki) alafu baadae nikanywa wine.. nliwaka, nikatapika na badae nikazima kabisa hadi suti nlivoaa ikawa haina maana. baadae jamaa tuliokua tunaosoma nao chuo kimoja wakanirudisha chuon na sikua na kumbukumbu yoyote zaidi ya kabla sijanywa mpaka nlipooneshwa picha. dahh ilikua noma sana baada ya pale ndo ikawa kama ID yangu kwamba jamaa aliezima siku ya part kwa Balozi kila tulipokua tukikutana na jamaa wa vyuo vingine kwenye matukio tofauti. ikafika kipind nikawa sijichanganyi kwenye zile event za wa Tz had nlipomaliza shule kurudi Bongo. Sitosahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maasai waseng mnoKuna siku nilikuwa nipo na sister angu mitaa ya kariakoo...huyu sister ni mkubwa sana kwangu...amepishana na mama angu mdogo miaka 3 tu...hivo namuheshimu kama mama angu.... Sasa nipo nae mitaa ya kariakoo tunatembea akatokea mmasai akaanza kuniropokea mbele ya sister...aroo nauza dawa ya mb*loo...akaanza kuorodhesha pale kazi zake...aisee nilitamani nikimbie...nilijisikia vibaya tena mbele ya sister[emoji31][emoji31][emoji31]
Ikawaje mkuu [emoji23][emoji23]Mwaka 2008 nkiwa kidato Cha pili, nlimfedhesha mama na Mimi mwenyewe, nakumbuka suruali yangu ilikua imechanika nkamuomba mama anipe hela nipeleke kwa fundi,
Nlikua nmesahau kabsa kuwa nmeweka kondom kwenye suruali iyo, mama akiwa na rafiki zake wakikundi akasema lete nione ilivyochanika, bila wasiwasi wowote nkampa,
Kuishisha vitu mwaa chini, nlitaman ardhi inimeze siku ile
HahahjahajjaNa mm kuna matukio kama mawil matatu hivi dah kila nikikumbuka nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka jana 2020 nilipita pale Be Forward posta karibu na ocean road,wakati naendelea na kilichonipeleka pale nilibanwa na haja ndogo baada ya kuuliza wenyeji wangu wakanielekeza chooni..
Nimefika chooni nmekuta mtu kaacha zigo juu hajaflash,dah kwa sababu na mm nlikua na haja nkajaribu kuflash bila mafanikio kwa sababu hapakua na maji,nikaona bora nikojoe nisepe,nmemaliz natoka napishana na mdada flani hivi aisee nlijisikia vibaya mno,nlitamani nimwambie usiingie au huo mzigo si wangu ila sikuweza... nilisikia bonge la sonyo na "kuna watu sio wastaarabu"[emoji23][emoji23][emoji23]basi yule dada nlikua na coincidence nae nikawa naonana nae mara kwa mara mpka kuna siku nilipanda nae mwendokasi na kukaa nae seat moja,nilitamani nmuelezee mzigo haukua wangu ila ndo hivo naanzaje
Umenikumbusha hiyo aibu/kisa chako namba mojaDah,wakati uzi huu unaletwa sikuwa online kwakwel
Nina visa vyangu viwili na kingine ni cha mwanafunzi mwenzangu
Kisa no 1
Miaka kadhaa ya nyuma nikiwa form one huko vijijini basi kulikuwepo na utaratbu kila terminal na annual walikuwa wanasoma top ten na wale kumi wa kutoka mwisho basi siku hyo ilikuwa ijumaa tukifunga kwenda likizo ya mwezi disemba siku hyo nilkuwepo period na kipindi hiko tulikuwa tunavaa matambala hata pedi nilkuwa sizijui basi mida ya sa nane tukaa skuli balaza mawaidha yakaendelea mara nasikia damu zinatiririka mithili ya maji yaani nasikia sehemu nilyokaa kama imejaa hivi najiuliza niombe ruhusa kabla sijajifikiria vizuri nasikia wanaanza kusoma majina ya top ten mara jina langu linaitwa ,wa kwanza darasani ni fulani(sasa inabidi ninyanyuke niende kupewa mkono na meza kuu na kupewa zawadi)aseee!nildata pale chini kwa sekunde kadhaa,theni nkasimama ,nilihisi damu zinachuruzika hadi miguuni(but haikuwa hivo ni hisia tu) bahati nzuri sketi ilikuwa nyeusi afu ndefu basi nkapata akili nkavua sweta nkajifunga kiunoni ikabid niende mbele kuchukua zawadi(unapoenda mbele wanafunzi unawapa mgongo )japo sijui sikugundulika lakini niliona aibu sana yaani kama wiki nzima nilkuwa nikifikiria hicho kitu
Kisa no 2
Hii ni miaka ya hivi karibuni,kawaida mimi pombe nakunywa,lakini ni zile za kureflesh na ni mara chache mno na mara nyingi huwa nakunywa wine na konyagi ikitokea basi bwana siku hyo nimejisikia kunywa nimeenda glossary nkaulizia wine hakuna,konyagi hakuna nkaambiwa imebaki k,vant tu sijawahi kunywa kivant ila uwa nasikia wanaisifia basi nkasema wacha nichukue kivant ndogo maana sina namna,nkabeba zangu nkaenda home nkanywa but naona radha yake siyo nzuri nkajikaza nkanywa nilivomaliza nkaenda kulala,nimelala usingizi mzuri mara kama naota hivi nasikia mme wangu ananiamsha anasema umekuwaje????aseee kumbe natapika mashuka yote na blanket yashakula matapishi fasta usingizini(ikumbukwe sijawahi tapika tangu nakunywa pombe)haraka niliamka nkaenda chooni tapika wee mpaka nyongo aseeee siku hiyo niliona aibu yaani kutapika kisa pombee??na mme wangu yeye hata hanywiii,naichukia k,vant
Kisa 3
Tukiwa form four miaka hyo wavulana kwa wasichana ilikuwa mida ya sa saba jua kali kipindi cha hesabu darasani kilikuwa kinaendelea,ikumbukwe hii mida ni mida ambayo wanafunzi wengi wanakuwa wamelala basi kuna binti mmoja alikuwa amekaa sehemu ambayo ni katikati ya darasa kama kawaida akauchapa usingizi wake kwenye dawati,mda kidogo akaanza kuota na kukojoa akakojoa mkojo unatiririka kwenye sakafu,hyo nayo ilikuwa aibu kwake hata sisi wasichana tuliona aibu but ni mambo ya kawaida
Nilivokoswa na aibu ambayo nilishaiona mbele yako
2016 nilkuwa natoka gongo la mboto naenda job,kumbe nilvotoka nkabeba mkoba mwingine wa jana ambao ulikuwa na hela nkauacha,tumefika sokota nakumbuka nimebeba mkoba hauna nauli dah nkaona hapa ni hatari,nkimuona konda ni wale micharuko akili akanijia kwamba itabid nimwambie hela yake namtumia m pesa kwani nashukia njiani,nkaanza kuwaza ntakavodhalilishwa nkasema eeh Mungu wangu sijafanya makusudi,huwezi amini konda alinipita wala hakuniuliza nauli nami nkasema hii ndo inaitwa miujiza
But all in all aibu zinakuja vyovote kikubwa ni kuzipotezea