Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Nakumbuka wakati niko advance muda wa chakula viongoz walikuwa wanasimamia mistari ya kuingia kwenye bwalo la chakula, sasa siku hiyo alikuwepo president wa shule ambaye tulikuwa tunashare baadhi ya masomo sasa katika kuruhusu mistari akataka stopishia mstari kwangu mm nikajichomeka nikaingia ndan jamaa akanifata ndan akawa akanikomalia nitoke nnje nika mplease sana lkn wapi nilihisi fedhea sana maana ukitoka nnje kundi lote watu waliopanga mstar kuanzia form 5 na 6 unakutana nalo linakukodolea macho hata chakula hakikupanda siku hiyo jamaa mpka kesho na mchukia, maana kuna watu wake alikuwa anawaachia wanapita tu
 
Juzi kati hapo nlikua naangalia Porn kwenye site nikasahau kufunga page baadae nikaingia kwenye check point jengo moja wakati wa ukaguzi nikatoa simu kumbe nmefungua Chrome data ipo on video ina play mlinzi alikua mwanamke , nliona aibu, mbaya zaidi njemba ilikua inapeleka moto kwa mtandao haramu
 
Nikiwa chuo iringa nakaa mbali afu chuo kipo town
So lazma ntumie usafiri . Siku moja nikiwa nimevaa suluari modo Ime tight hatari,
Nikapanda zang bajaji , nmeshuka nikapiga hatua mbili hv nakuta Kila mtu Kama ananiangalia hiv , afu Kama upepo unaingia ndan HV ,
Kucheki suluari imetatuka kweny msamba ,

Asee ilibidi nipand bajaj nyingn fasta kurudi gheto,,
Aiseeee
 
Mi nakumbuka Kuna Kipindi katika Ujana wangu Nilikuwa napenda Kuruka sarakasi.Nakumbuka siku moja Nilikaribishwa Harusin na Familia.Sasa mm nilikuwa nishazoea Siwez maliza saa 1 bila kuruka sarakasi,Bahat mbaya kwangu tulipokuwa tumeenda ilikuwa na ni familia ya Kishua kwa hiyo hakuna Kutoka nje ovyo ovyo.Nikasema isiwe tabu humu humu ntaruka.Kijana wa wagu nikajipinda Kuruka halafu kwenye Tiles.Kumbe kwa Nyumba kuna Mmama kabeba sahani yenye Mandazi,Nilivyoruka niliipika teke ile sahani nusura na Yule mama limpate.Alikasirika Alinifokea mpaka Bas,Duuh!Nilijihisi Fedheha
Hahaaa, nina mwanangu wa kiume naye alikuwa hawezi kukaa dakika 5 bila kuruka sarakasi. Nimemuonesha amecheka sana.
 
Sitasahau nikiwa Mpanda soko Kubwa, chizi wa Kike akanikomalia huku ananifuata kwa nyuma kuwa wewe Bwana wangu. Mbona unajifanya hunijuinsasa wakati huwa unanilala.

Aiseee, sijawahi fedheheka kama siku ile. Simjui yule Dada kwa kuwa mimi mweupe ndio akanikomalia kwa maana nasikia vichaa huwa hawaendani na watu weupe.
 
Sitasahau nikiwa Mpanda soko Kubwa, chizi wa Kike akanikomalia huku ananifuata kwa nyuma kuwa wewe Bwana wangu. Mbona unajifanya hunijuinsasa wakati huwa unanilala.

Aiseee, sijawahi fedheheka kama siku ile. Simjui yule Dada kwa kuwa mimi mweupe ndio akanikomalia kwa maana nasikia vichaa huwa hawaendani na watu weupe.
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee ngumu sana kuaminisha watu kwamba ulikua haumu shughulikii
 
Ilitokea nimekuja Dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini Temeke, nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale, sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa, kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache, asubuhi si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo, kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabidi aulize tu ni nani alikuwa wa mwisho si ndo nikatajwa mimi.. daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alafu yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpaka namaliza likizo naondoka
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tukio lingine ninalo likumbuka ilikua miaka ya nyuma kidogo, nmemaliza kidato cha nne pale nasubiri kwenda A level,hivyo nikasafiri kwenda Moshi kwa ajili ya likizo hiyo ndefu....

Basi bwana,pale mtaani kukawa na sherehe za kipaimara cjui ubarikio sikumbuki vizuri ambae mdogo ake jamaa angu ndo alikua muhusika so nikaalikwa na huyu mshkaji wangu,ukafika muda wa msosi na utaratibu ni kupanga foleni,yule jamaa angu akawa na mishe mishe hivyo na mimi ikanibidi nipange foleni,imefika zamu yangu basi kuna mama wa kipare alikua ana "save" msosi pale,alinifananisha akaniwakia "kaka umeshachukua chakula pisha wenzio nao wapate kama hujashiba utaongeza mwishoni"...aisee nilijisikia vibaya,kwanza watu wengi.

Alafu mimi ni mgeni pale tena "kutoka Dar" sa kadri nilivyokua nakataa ndio yule mama anapaza sauti na kuzua taharuki pale,ilibidi niondoke kitendo kilichoaminisha kweli nlikua narudia,nilidhalilika sana na roho iliniuma sana japo yule jamaa angu aliniomba radhi haikusaidia... nilijifungua ndani muda wote na nikahama na mtaa kabisa nikaenda kuishi Moshi mjini kutoka NewLand[emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23] dah polee sana,mama wa kipare aiseee..Hata huruma hana
 
Nakumbuka miaka ya nyuma tulitoka kwenye kwaya jamaa mmoja akawa amekula vyakula vingi kwa kuchanganya wakati tukiwa safarini jamaa akabanwa na haja kubwa akaomba gari isimame ili ajisaidie,jamaa alikuwa amepiga bonge ya suti mbaya zaidi alikuwa mwalimu wa kwaya,,mzee baba alivyorudi akarudi amechafua koti la suti kwa pembeni na kinyesi bila yeye kujua,watu ilikuwa ni kucheka tuu [emoji23].nikamwambia jamaa umechafua koti yeye hakujua kama ni uchafu gani akashika ile kushika watu wakacheka gari zime jamaa akakunguta mkono ule mzigo ukiangukia kichwani nikikumbuka hiyo siku nachekaga wenyewe tuu.[emoji23]
Sijajua watu wa gari mlichekannini hapo angeoewa maji ashuke chini kunawa Mana ni kipindupindu hicho na kinyaa.Mnakaa.na mtu na ma I yake? Hamna kinyaa?? Walahi ningeshukia porini Nina kinyaa Sana kwanza harufu ya mavi ya mtu mzima khaaaaa
 
Naanza kwa kucheka afu ghafla huzuni na masononeko yanaghubika moyo wangu duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24]

Ebana siku moja weekend limtarifu rafk yangu kuwa takwend mtembelea home kwao...

Kwel hbana!!, siku ikafika
Mdo mdo nikasogea kwao, haikuw mbali saan kutoka home....

Ebane kafika fresh tu... Kamkuta msera sebuleni anachek movie, bs nam kam kaw kajiunga nae.....

Few minutes later mam yake (wakambo) kafika cjui alikua wapi, katukuta zetu pale duuh[emoji2299][emoji2299]

Kwnza alipo tuona tu akakunja sura ghafla af akasema" wewe(alikua anaitwa juma)likuambiaje kuhus tv,kwnz baba yk ht umeme unamshinda kulipia hapa......"

Duh ukwel neno lile lilinifanya kunisikia vibaya sn,muda huo huo nikaondoka.
Aisee.
 
Kuna siku ndio nimetoka kureport kazini kama siku mbili 3 hivi nmebaki ofisini mwenyewe si nikaachia hewa chafu pale mara paap Boss huyu hapa ofisi inanuka balaa, hakika nilipata fedhehea ya kufa mtu.
[emoji23] [emoji23] Pole mkuu.

Mwenzio nilikuwa naendesha kikao. Tumbo limebana hatari. Nikaamua nitoe kaushuzi ka kimyakimya kurekebisha hali.

Lahaulah! Ilitoka harufu ambayo sijawahi kuinusa maisha yangu yote na ofisi nzima hakuna aliyevumilia kukaa hata mimi mwenyewe.

Aisee, nilitamani nisirudi tena kwenye kikao. Lakini mimi ndo kiongozi pale kazini. Nilirudi tu.

Aibu!
 
[emoji23] [emoji23] Pole mkuu.

Mwenzio nilikuwa naendesha kikao. Tumbo limebana hatari. Nikaamua nitoe kaushuzi ka kimyakimya kurekebisha hali.

Lahaulah! Ilitoka harufu ambayo sijawahi kuinusa maisha yangu yote na ofisi nzima hakuna aliyevumilia kukaa hata mimi mwenyewe.

Aisee, nilitamani nisirudi tena kwenye kikao. Lakini mimi ndo kiongozi pale kazini. Nilirudi tu.

Aibu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niliwahi kwenda migahawa koko maeneo flani hivi nikakuta contena la kunawia mikono wameweka pembeni na nyumba ya mtu alafu mgahawa wenyewe uko mbali kidogo, mimi niliponawa nikaingia nyumba iliyokuwa jirani nikidhani ndio mgahawa wenyewe kumbe nimeingia kwenye geto la Mmama flani hivi.

Sasa muda naingia alikuwa bize anakula alafu kageukia upande wapili wala hakusikia vishindo muda naingia kwa akili za kitoto nilipogumdua kuwa nimeingia kusipo nikapata akili ya kutoka kimyakimya tena...! Kumbe muda natoka ndani yule mama akashtuka nikajifanya kuchomoka mule ndani kwa haraka ndio akaniitia mwizi..mwizi...mwizi asee nikajifanya kukimbia nikaishia mikononi mwa wananchi wenye hasira kali aisee sitakaa nisahau kilichonipata yaani kuna watu bongo hii hata ukiwa unatoa maelezo hawayazingatii wao ni kupiga tu na kutafuta petroli.... Hadi leo nikikuta mwizi anapigwa huwa napenda kusikiliza maelezo yake kama yanaleta logic....Maana ningechomwa moto na sijawahi kuiba wala kutapeli cha mtu!
Pole mkuu unauhakika hukuwa mwizi?
 
Sitasahau nikiwa Mpanda soko Kubwa, chizi wa Kike akanikomalia huku ananifuata kwa nyuma kuwa wewe Bwana wangu. Mbona unajifanya hunijuinsasa wakati huwa unanilala.

Aiseee, sijawahi fedheheka kama siku ile. Simjui yule Dada kwa kuwa mimi mweupe ndio akanikomalia kwa maana nasikia vichaa huwa hawaendani na watu weupe.
Mkuu sema tu ukweli ulimpelekea moto chizi

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, Nilitongozaga demu mtandaoni baada ya kumuona akiwa anapost picha mara kwa mara akila bata na alionekana mzuri balaa kama unavowaona akina Beyonce vile, yaani ukiona picha yake utafikiri hajazaliwa ni kama malaika kashushwa vile nikamfuata Inbox baada ya kuzoeana sana nikamtongoza akakubali kwa vile nilikuwa mkoani kikazi na yeye alikuwa Dar, ikabidi tukakubaliana nimtumie nauli aje niliko akakubali nikamtumia, siku ya kuja Alifika mda kama saa8 unusu nikiwa bado niko kazini na kwa vile rafiki zangu nilishawaonesha picha za yule mdada na kwa kweli na wao wakaona nimeopoa lulu, ikabidi nimtume dereva na gari la ofisi akampokee ampeleke hoteli akale then nikamuelekeze pa kumuacha.... nikiwa nimetulia mda wote nachart nae nikaona text kutoka kwa dereva " mzee demu gani huyu umeleta, njoo umpeleke mwenyewe hotelini mimi siwezi kuongozana nae" nikajua jamaa anatania maana ni mtu wa utani .. alivorudi akawa anacheka sana anawahadithia rafiki zangu nikiwemo nikajua anatania hasa nikirudi kuangalia zile picha hata rafiki zangu hawakuamini mda wa kazi ulipoisha marafiki zangu wakanifuata kwenda kumuona shemeji yao.Sitaki kuamini nilichokiona kule, picha ni zake kweli lakini sio uhalisia wake kabisa jamaa wakaniacha bhna hawakutaka hata kukaa na mimi halafu sijui ex wangu alijuaje niko pale si akaja aliongea maneno yaliyofanya ile siku ikawa mgumu sana kwangu.
kesho yake nikampa nauli arudi yule demu hata sikupiga aisee, nilipoingia ilikuwa ni kila mtu akawa ananidiscuss mimi kwa kilichotokea usiku wa jana yake.

hawa madada msiwaamini kwa picha za mitandaoni, wakiwa nyuma ya camera za iphone ni tofauti na uhalisia wao.
mtandaoni binafsi sitongozi tena
😁Rafiki zako wanavuta ndumu?Hadi kumwita shemeji?Mimi nikichukua goma,sema nlijua bovu ila upwiru,nlivyopiga nkafuta na namba,akaulizia Hadi akaja job,siwezi sahau niliishi Kwa tabu sana ule mwaka
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.
 
Ilitokea nimekuja Dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini Temeke, nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale, sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa, kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache, asubuhi si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo, kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabidi aulize tu ni nani alikuwa wa mwisho si ndo nikatajwa mimi.. daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alafu yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpaka namaliza likizo naondoka
[emoji23][emoji1787]
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.
Lol! hii kali kuliko zote [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom