T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Nilikuja kumgegeda kwa badae[emoji1]Dah,acha tu sijui hyo aibu yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuja kumgegeda kwa badae[emoji1]Dah,acha tu sijui hyo aibu yake
Eeeh,we mwanafunzi weweNilikuja kumgegeda kwa badae[emoji1]
Daaah pole bro, hata mimi nisingekuelewa.We boya sana yani unakata mikucha yako na nail cutter za mtu mwingine magonjwa yote haya.
Mimi ilinikuta miaka kadhaa iliyopita ndio nimeajiriwa kwenye kampuni flani hapa dar.jioni nimekaa na mabosi zangu kupata wine kidogo na kujuana vizuri.tulikua tumeweka simu zetu mezani,bahati mbaya nikachukua simu ya bosi mmoja nikatia mfukoni nikijua ni yangu .mara kidogo jamaa akaanza kuulizi simu yake mimi nimetulia tu nikiamini iliyopo mfukoni ni yangu.
Dah ilivyobipiwa ikaita kwangu halafu hata hawakunipa nafasi ya kujieleza zaidi ya kila mtu kutunza simu yake kwa umakini,nilijisikia fedheha haielezeki
Hii ya mabomba wengi wamefedheheka.Kuna siku nipo Hamad International Airport kule Doha Qatar, Nimeingia toilet nikajihudumia saafi kabisa sasa nimetoka ninawe mikono naona tuu kuna koki za maji ila hakuna cha kufungua ili kuruhusu maji yatoke. Basi nimesimama pale mara nishike hapa, kule, huku sioni hata kibatan cha kubonyeza tuu..... Kumbe muda wote kuna muarabu ananipimia tuu ninavyombwela pale. Akaja kunielekeza kumbe mabomba yanatumia sensor ukisogeza tuu mkono ina activate valve inafungua maji... Jamaa aliondoka anaongea kiarabu hata sikumuelewa huku nikibaki nimetunukiwa fedheha iliyofanya hata safari niione ndefu.
Aiseee malezi mabaya,si ungelivuta mdomoo,aibu nimeona mimiKuna mama mmoja nilisimamia kesi yake ya mirathi kama mwanasheria wake baada ya mvutano saana tukashinda ile kesi
Mama akafanya tafrija fupi ya shukrani akanialika mimi na mshkaji wangu paty,mida ya msosi tumeanza kula mshkaji ananiambia pilau halijaiva anataka amuite mama amuambie sasa kila nikimzuia asimuite yule mama jamaa hakuskia hadi akamuita kweli na kumwambia pilau halijaiva alirudishe jikoni aliache kama nusu saa ndo apakue
Dah nilijiskia fedheha sana sitosahau siku ile
dizain hii ya marafiki [emoji706]Kuna mama mmoja nilisimamia kesi yake ya mirathi kama mwanasheria wake baada ya mvutano saana tukashinda ile kesi
Mama akafanya tafrija fupi ya shukrani akanialika mimi na mshkaji wangu paty,mida ya msosi tumeanza kula mshkaji ananiambia pilau halijaiva anataka amuite mama amuambie sasa kila nikimzuia asimuite yule mama jamaa hakuskia hadi akamuita kweli na kumwambia pilau halijaiva alirudishe jikoni aliache kama nusu saa ndo apakue
Dah nilijiskia fedheha sana sitosahau siku ile
Daah pole sana mkuuNiliwahi kwenda migahawa koko maeneo flani ivi nikakuta contena la kunawia mikono wameweka pembeni na nyumba ya mtu alafu mgahawa wenyewe uko mbali kidogo mi niliponawa nikaingia nyumba iliyokuwa jirani nikidhani ndio mgahawa wenyewe kumbe nimeingia kwenye geto la Mmama flani ivi.
Sasa mda naingia alikuwa bize anakula alafu kageukia upande wapili wala hakusikia vishindo mda naingia kwa akili za kitoto nilipogumdua kuwa nimeingia kusipo nikapata akili ya kutoka kimyakimya tena...! Kumbe mda natoka ndani yule mama akashtuka nikajifanya kuchomoka mule ndani kwa haraka ndio akaniitia mwizi..mwizi...mwizi asee nikajifanya kukimbia nikaishia mikononi mwa wanainchi wenye hasira kali aisee sitakaa nisahau kilichonipata yaani kuna watu bongo hii hata ukiwa unatoa maelezo hawayazingatii wao ni kupiga tu na kutafta petroli.... Hadi leo nikikuta mwizi anapigwa huwa napenda kusikiliza maelezo yake kama yanaleta logic....Maana ningechomwa moto na sijawahi kuiba wala kutapeli cha mtu!
[emoji3][emoji3][emoji3] ikawaje?Kuna mama mmoja nilisimamia kesi yake ya mirathi kama mwanasheria wake baada ya mvutano saana tukashinda ile kesi
Mama akafanya tafrija fupi ya shukrani akanialika mimi na mshkaji wangu paty,mida ya msosi tumeanza kula mshkaji ananiambia pilau halijaiva anataka amuite mama amuambie sasa kila nikimzuia asimuite yule mama jamaa hakuskia hadi akamuita kweli na kumwambia pilau halijaiva alirudishe jikoni aliache kama nusu saa ndo apakue
Dah nilijiskia fedheha sana sitosahau siku ile
hawakuwahi kukuuliza hadi leo?Kun visa vinachekesha san umu ,ASA mi kipind iko masKan skumoja kulikua na tukio LA kidin linafanyik mahali ikabid wote twendee mi nkakisingizia naumw kisa na ahad na mtot flan WA kitaan pale, bs familia nzima ikaaga ikasep walivopotea tu nkafata mchuchu chapu nkaingiza gheto (lilikua ndan Kwa ndani) nmefungulia mzk hku nkifanya yang kitoto chenyew kilikua sio kizoef kelel nying balaa,kumbe kinabimkubwa walichelew gar lililotakiw kuwabeba walirud mi sjasanuka, ile natok kumfatia maji seblen DoGo na kibukta changu,hamad nakuta watu wapo seblen na sura zao znaonesh wameskia kila kitu .joto LA aibu nliloskia skuile ACHAA!,astoshe bimdash alikua gaid AF dini san, akili zliham nlimtoa mtt huku wanaona na wote walikaa kimy mpk kesho hakun alieuliza chochote ,ila nafs ilinisuta,maan nlitegemea utakuw msala ASA kukaa kwao kmya ndo Aman ikatoek nlitaman usku uleule km nhame nkajitegemee.sem ndo iv nlikua bd nasoma
[emoji1] [emoji1] [emoji16]Nyingine imenikuta kigari Rwanda hiyo nimeingia hotelini, menu imeandikwa kinyaru tu, weita hajui kiswazi anajua kinyaru na French tu mzee mzima ni kiswaz na English robo tu, baada ya lugha gongana ya muda mrefu nikafanikiwa kuagiza maziwa na maandazi.
Akauliza maandazi mangapi swali hili nilitambua nikampa ishara ya vidole vinne nikaona anashangaa sana akasepa jikoni baada ya muda kwa mbali namwona weita wawili wanakuja na kikombe nusu jagi hayo ndio maziwa afu mwingine ana sinia linamaandazi manne yaan ni makubwa hadi kubebea sinia wakaweka mezani kwangu mwana wateja wote wakawa wananicheki kila anaeingia jicho kwangu hadi wengine wanaitana duu.
Mzee nilinyanyuka fasta nikaenda kaunta nikalipa faranga buku2 sikusubiri chenchi nikaingia mitini.
Ndio niligundua kwa nini weita alishangaa kumpa ile ishara na pia nikajua wanyaru hawana vikombe na viandazi kama vyetu vya kupunjana tu
HahahaaaAisee kosa kubwa sana kutishia kujamba wakati unnarisha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji2089][emoji2089]
Eti mzigo haukuwa wangu.Na mm kuna matukio kama mawil matatu hivi dah kila nikikumbuka nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka jana 2020 nilipita pale Be Forward posta karibu na ocean road,wakati naendelea na kilichonipeleka pale nilibanwa na haja ndogo baada ya kuuliza wenyeji wangu wakanielekeza chooni.
Nimefika chooni nmekuta mtu kaacha zigo juu hajaflash,dah kwa sababu na mm nlikua na haja nkajaribu kuflash bila mafanikio kwa sababu hapakua na maji,nikaona bora nikojoe nisepe,nmemaliz natoka napishana na mdada flani hivi aisee nlijisikia vibaya mno, nlitamani nimwambie usiingie au huo mzigo si wangu ila sikuweza...
Nilisikia bonge la sonyo na "kuna watu sio wastaarabu"[emoji23][emoji23][emoji23]basi yule dada nlikua na coincidence nae nikawa naonana nae mara kwa mara mpka kuna siku nilipanda nae mwendokasi na kukaa nae seat moja,nilitamani nmuelezee mzigo haukua wangu ila ndo hivo naanzaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mama mmoja nilisimamia kesi yake ya mirathi kama mwanasheria wake baada ya mvutano saana tukashinda ile kesi
Mama akafanya tafrija fupi ya shukrani akanialika mimi na mshkaji wangu paty,mida ya msosi tumeanza kula mshkaji ananiambia pilau halijaiva anataka amuite mama amuambie sasa kila nikimzuia asimuite yule mama jamaa hakuskia hadi akamuita kweli na kumwambia pilau halijaiva alirudishe jikoni aliache kama nusu saa ndo apakue
Dah nilijiskia fedheha sana sitosahau siku ile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka mpaka nmeanguka aisee daaaahEti mzigo haukuwa wangu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23]..dah, yaani Kama namuona huyo mshkaji wako, nina mshkaji wangu anambo Kama haya, yaani anaweza akafanya kitu ukaona aibu weweKuna mama mmoja nilisimamia kesi yake ya mirathi kama mwanasheria wake baada ya mvutano saana tukashinda ile kesi
Mama akafanya tafrija fupi ya shukrani akanialika mimi na mshkaji wangu paty,mida ya msosi tumeanza kula mshkaji ananiambia pilau halijaiva anataka amuite mama amuambie sasa kila nikimzuia asimuite yule mama jamaa hakuskia hadi akamuita kweli na kumwambia pilau halijaiva alirudishe jikoni aliache kama nusu saa ndo apakue
Dah nilijiskia fedheha sana sitosahau siku ile