Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Nakumbuka wakati niko advance muda wa chakula viongoz walikuwa wanasimamia mistari ya kuingia kwenye bwalo la chakula, sasa siku hiyo alikuwepo president wa shule ambaye tulikuwa tunashare baadhi ya masomo sasa katika kuruhusu mistari akataka stopishia mstari kwangu mm nikajichomeka nikaingia ndan jamaa akanifata ndan akawa akanikomalia nitoke nnje nika mplease sana lkn wapi nilihisi fedhea sana maana ukitoka nnje kundi lote watu waliopanga mstar kuanzia form 5 na 6 unakutana nalo linakukodolea macho hata chakula hakikupanda siku hiyo jamaa mpka kesho na mchukia, maana kuna watu wake alikuwa anawaachia wanapita tu
 
Juzi kati hapo nlikua naangalia Porn kwenye site nikasahau kufunga page baadae nikaingia kwenye check point jengo moja wakati wa ukaguzi nikatoa simu kumbe nmefungua Chrome data ipo on video ina play mlinzi alikua mwanamke , nliona aibu, mbaya zaidi njemba ilikua inapeleka moto kwa mtandao haramu
 
Aiseeee
 
Hahaaa, nina mwanangu wa kiume naye alikuwa hawezi kukaa dakika 5 bila kuruka sarakasi. Nimemuonesha amecheka sana.
 
Sitasahau nikiwa Mpanda soko Kubwa, chizi wa Kike akanikomalia huku ananifuata kwa nyuma kuwa wewe Bwana wangu. Mbona unajifanya hunijuinsasa wakati huwa unanilala.

Aiseee, sijawahi fedheheka kama siku ile. Simjui yule Dada kwa kuwa mimi mweupe ndio akanikomalia kwa maana nasikia vichaa huwa hawaendani na watu weupe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee ngumu sana kuaminisha watu kwamba ulikua haumu shughulikii
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dah polee sana,mama wa kipare aiseee..Hata huruma hana
 
Sijajua watu wa gari mlichekannini hapo angeoewa maji ashuke chini kunawa Mana ni kipindupindu hicho na kinyaa.Mnakaa.na mtu na ma I yake? Hamna kinyaa?? Walahi ningeshukia porini Nina kinyaa Sana kwanza harufu ya mavi ya mtu mzima khaaaaa
 
Aisee.
 
Kuna siku ndio nimetoka kureport kazini kama siku mbili 3 hivi nmebaki ofisini mwenyewe si nikaachia hewa chafu pale mara paap Boss huyu hapa ofisi inanuka balaa, hakika nilipata fedhehea ya kufa mtu.
[emoji23] [emoji23] Pole mkuu.

Mwenzio nilikuwa naendesha kikao. Tumbo limebana hatari. Nikaamua nitoe kaushuzi ka kimyakimya kurekebisha hali.

Lahaulah! Ilitoka harufu ambayo sijawahi kuinusa maisha yangu yote na ofisi nzima hakuna aliyevumilia kukaa hata mimi mwenyewe.

Aisee, nilitamani nisirudi tena kwenye kikao. Lakini mimi ndo kiongozi pale kazini. Nilirudi tu.

Aibu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole mkuu unauhakika hukuwa mwizi?
 
Mkuu sema tu ukweli ulimpelekea moto chizi

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
😁Rafiki zako wanavuta ndumu?Hadi kumwita shemeji?Mimi nikichukua goma,sema nlijua bovu ila upwiru,nlivyopiga nkafuta na namba,akaulizia Hadi akaja job,siwezi sahau niliishi Kwa tabu sana ule mwaka
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.
 
[emoji23][emoji1787]
 
Lol! hii kali kuliko zote [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…