Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Kamari Kuna mwaka nililiwa hadi kudaiwa walibeba mpaka simu
Poor me
 
🤣🤣🤣🤣
 
Duh aseee
 
Hii kali mkuu
 
Kuna shule nilikuwa nafundisha halafu wanafunzi wakawa wananicheka navyovaa, bahati mbaya kipindi hicho sikuwa na pesa kabisa, mavazi nikawa naungaunga tu.
Mkuu ulikuwa una vaa mashati makubwa na suruali kubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…