Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Good
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji40][emoji40][emoji40]
 
Hahahaha, nmecheka kwa sauti kubwa ndani ya Mwendokasi lililosheheni raia wa kutosha.
 
Dah! Pole sana
 
Fedheha nayokumbana nayo kila mara ni kama hivi wanaume wa dar na vijihadithi wa kivulana, how come kujisahau tu tena bila nia ovu kuchukua funguo iwe fedheha? Wengine hata kufumaniwa tumefumaniwa sana ila hatukupata fedhedha..
Wewe unaongea kiredio [emoji16]
 
kuhusu suala la fedheha na aibu nishazioga sana,,,,,,siku moja nikiwa advance miaka hiyo tulipewa adhabu na makamu mkuu wa shule,tuliambiwa tupalilie bustani za mboga mboga shuleni kutwa nzima,ilipofika mida ya saa saba yule mzee ikabid aje bustanini kutusimamia,alikuja na kiredio kidogo huku anasikiliza DW,kipindi hicho ishu ya escrow ilikuwa very hot na DW ndo walikuwa wanaichambua siku hiyo,yule dingi alitusimamia bhna,taarifa ilipoisha mzee akachomeka headphones kwny redio,akaweka maskioni fresh,sasa sisi tukajua anasikiliza kwa headphones kumbe redio kaizima,aiseeee kuona vile tukajua hawez kusikia maongez yetu,mm nikaanza kumsema,nikawaambia washikaji,,,,, mnajua haya mazee yalisoma kwa shida sana,sasa yanataka hizo shida na sisi wanafunzi wao yanalazimisha tuzpitie,usenge tu huu,wana wakacheka,mwingine akasapot,akatukana kinoma,tukacheka sana ticha yupo kimya,baada ya kazi tukashangaa ticha anatoa headphones na kutuambia tumsikilize,akasema ww buffet na Fulani na Fulani kama nyie ni wanaume rudien maneno mliyoyasema yote,aiseeeee hatukuadhibiwa kwa hilo ila binafsi nliona noma balaa asee
 
Bro kweli au wewe mwenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku ndo nimetoka kireport kazini kama siku mbili 3 hivi nmebaki ofisini mwenyewe si nikaachia hewa chafu pale mara paap Boss huyu hapa ofisi inanuka balaa hakika nilipata fedhehea ya kufa mtu
 
Kilindi nipo chuo nilikuwa naingia masomo ya jioni baada ya job, sasa kutokana na ule uchovu wa kazi mara nyingi kipindi cha lecture siku nyingine nasinzia kutokana na uchovu
Siku moja buana tecture anaendelea na kumetulia tuli mm na kale kausingizi si nikaachia Ushuzi tena ule wa puuuuuu.....[emoji23] i.
Ile nashtuka tu darasa lote wanacheka balaa aisee usingizi uliishia palepale na ile aibu sitokuja kuisahau na kibaya zaidi pembeni nilikuwa nimekaa na demu wangu
 
Pole sana mkuu. Haya majanga yanayofanana kama ya kwako yanatupata wengi huku makazini hasa ukikuta vibosi visivyojielewa. Ila ulikosea kuhukumu mtoto kwa kosa la baba yake. Hii ni sawa na magaidi, wanakosana na watawala au watu fulani, wanakuja kulipua wananchi au watu wengine wasio na hatia nao.
 

Ni pale wamekosa Adamu na Hawa adhabu tunakula sie, tuna uhusiano gani na kosa lao!!?

Basi huo ni mwendelezo wake, jifunze kuishi vyema adhabu/laana hudondokea hata kizazi chako kisichohusika
 
Ni pale wamekosa Adamu na Hawa adhabu tunakula sie, tuna uhusiano gani na kosa lao!!?

Basi huo ni mwendelezo wake, jifunze kuishi vyema adhabu/laana hudondokea hata kizazi chako kisichohusika
Huko sahihi kabisa mkuu. Kuna aina ya dhambi/laana zinaridhishwa kwa vizazi na vizazi lakini siyo kila dhambi/laana. Kuna makosa watu tunafanya inabidi adhabu apatiwe yule yule mtenda kosa/dhambi. Kama si hivyo yaani ikiwa kila kosa langu lazima na mke, baba, mama, watoto wangu nao wahusike hii jamii itakuwa ngumu haitakalika kabisa na kila sehemu itakuwa ni vita isiyoisha. Imagine, mfano baba kaiba sehemu halafu hukumu inatolewa kwa familia yaani yeye baba, mama, watoto, na hata ukoo kama ilivyokuwa huko Mara. Mara wanakatana mapanga familia au ukoo mzima hadi vitoto vinavyo nyonya bado, hii si sawa mkuu. Pia utakubali kuwa hata mimi na wewe pia siyo malaika, hivyo kuna watu tunawakosea. Sasa na wao wakiamishia hasira zao kwa familia na koo zetu kweli itapendeza?

Hivyo sikatai na sishabikii hule upuuzi aliyokufanyia huyo jamaa. Ila kwa kosa kama alilo kufanyia huyo limbukeni unaona kabisa anayesitahili kuadhibiwa ni yeye. Watoto wake unawaonea bure maskini.

.
 
Binamu yangu wa kike aliniingia chumban kwangu bila kubisha hodi kanikuta nimesimamia kucha (nyeto) daaah nilijisikia vibaya nikaapa naacha nyeto lakn wap mpaka saiz ni active member wa chama chetu
Aibu aisee mzee sura yako uliiegesha wapi baada ya tukio?
 
hahahaaa asee umenichekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…