Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯Nadhani ni choices tu mkuu sio hukumu.
High school niliyosoma ukichukua mtoto wa O' level unadharaulika. Kwa hiyo toka nitoke O' level sikuwahi hata kufikiria wala kutamani kwa sababu huwa nawaona ni watoto na hawajitambui.
Kwa upande mwingine mtu mwenye mtoto wa umri huo akisoma story kama hii lazma ajiskie hovyo na pengine utawaelewa muda ukifika mkuu 🙏🏽
Ila story ni kali
Sasa hivi ngapi?Ilikuwa ni 40+ kabla sijaokoka 😅
Isiwe ya mwisho kama unavyodai APOSTO, sema kila utakapobarikiwa muda utakuwa unaleta story maana zina mafundisho na sanaa ya kuvunja mbavu. Marehemu @leadermore aliandika hadi siku anaenda hospital hivyo nawe fanya kwa ajili ya fans wako tafadhali.Kadiri siku zinavyosogea na majukumu yanakuwa mengi. Ndio maana nikasema hii itakuwa ni simulizi yangu ya mwisho JF, sio kwamba zimeisha, bali najua sitoweza kuwa na muda mwingi wa kuweza kuandika kama ilivyokuwa hapo awali. So tuvumiliane kwenye ili.
Rusha nyinginee unanipandisha hasiraUtoto na ujana ndio ilikuwa shida
Sawa nitakutafuta tunyanyue glasses pamoja week end moja.unafkr hata utaniweza lakini?
We tunywe bia tu, wanawake sio watu wazuri sana
Haaaaahaaaa hongera kama upo kwenye hatua hiyo. Ndio hapooo kuitwa mshangazi usishangae😃😃😃af roof zangu nimwachie nani blaza?
Ujua kuna raha ya kufika sebuleni na kuchukua remote bila kununiwa?
Eti nasikia aaah mshangazi wa ahaaaaa......... Nakusalimia rafiki yangu😜Rusha nyinginee unanipandisha hasira
Dah, hii taarifa mbaya kwa tunaokukubali Mr legend bwana aposto swahiba wa mzee dingi na mwanafunzi wa mzee keshoyetu(my) 😁😁Kadiri siku zinavyosogea na majukumu yanakuwa mengi. Ndio maana nikasema hii itakuwa ni simulizi yangu ya mwisho JF,
Usiache kuandika, tutakuvumilia. Mi napenda story za mzee wako na mke wake, 😁😁😁 maana hatakagi mmletee shobo kwa mkewe eti kisa mamaenu., sio kwamba zimeisha, bali najua sitoweza kuwa na muda mwingi wa kuweza kuandika kama ilivyokuwa hapo awali. So tuvumiliane kwenye ili.
Mzee wake ni mtabe kweli.Dah, hii taarifa mbaya kwa tunaokukubali Mr legend bwana aposto swahiba wa mzee dingi na mwanafunzi wa mzee keshoyetu(my) 😁😁
Usiache kuandika, tutakuvumilia. Mi napenda story za mzee wako na mke wake, 😁😁😁 maana hatakagi mmletee shobo kwa mkewe eti kisa mamaenu.
Hahahaaaa yule mzee namkubali sana. Ile siku kamkuta kule kwenye tangawizi akampotezea kama hamjui nilicheka sana 😁😁Mzee wake ni mtabe kweli.
Nadhani amekwisha sikia ombi letu. its not supposed to be an end.
😬 Nd'o akamlipa ujira wake alafu akamwambia kama anataka waongee kama baba na mwana arudi nyumbani. Japo Jamaa alijitia kuonyesha uso wa huruma ila mshua alikuwa mkavu tu.Hahahaaaa yule mzee namkubali sana. Ile siku kamkuta kule kwenye tangawizi akampotezea kama hamjui nilicheka sana 😁😁
😁😁😂 na akarudi home mkavuuuu hata kuwaambia kakutana na aposto kwenye tangawizi. Hahaaaa mi nampenda sana. I wish @Analyze atuletee story nyingine ambayo mzee atakuwepo na visa vyakeMpaka mwamba akajiuliza, Mimi ni damu yake kweli?😅
Sure tabia ni ngozi. Kwahiyo si kwamba watu hawaoni ila fake hopes kujiliwaza maana wahenga wanasema ukipenda bwana chongo utaita kengezaKuna muda inatokea mtu ana mapicha picha mengi unaamini anaweza badilika mbeleni. Tunasahau tabia ni kama ngozi.
Upo sahihi [emoji106]Sure tabia ni ngozi. Kwahiyo si kwamba watu hawaoni ila fake hopes kujiliwaza maana wahenga wanasema ukipenda bwana chongo utaita kengeza
Sawa tu,Haaaaahaaaa hongera kama upo kwenye hatua hiyo. Ndio hapooo kuitwa mshangazi usishangae😃😃😃