mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 896
- 1,435
Sema ester wanamidomo mkuu.
Bt its easy lelas watch the next portions
Bt its easy lelas watch the next portions
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui anapoishi kwasasa. Ila kuna kipindi baada ya kuwa nimetoka kule aliniomba tuonane maana nilikuwa namsumbua sumbua. Dhumuni la yeye kutaka tuonane ilikuwa ni kuniambia kwamba yupo kwenye harakati za kuchumbiwa.After portion 05. Nadhani utaanza na visa vya mashangazi. Ningependa kuuliza kuhusu Ester , where is her? Is she married or not?
Mkuu Analyse
Kwahiyo hadi kwa mama yake ulienda?🤔Alitumia mbinu ambayo sikuitarajia na ndio maana nikashindwa kujitetea. Nilishukuru alivyomwambia mama yake atupishe, maana aibu ingekuwa kubwa zaidi
Tunakosaga watu sahihi wa kutuongoza kwenye mambo kama haya. Ukweli ni kwamba, ukiwa kijana makosa yanakuwa mengi sana katika kila angleAiseee naanza kuamini ule msemo kwamba mwanamke atakuvumilia ila siku akiamua kwamba imetosha ndio basi tena harudi nyuma, wanaume wengi sijui kwanini wanashindwa kuliona hili halafu mwisho wa siku wakija kuangukia kwa magumegume wanaanza kutukana wanawake wote, kumbe wanasahau kuwa walishapata wanawake wazuri ili wakachezea nafasi kwa kudhani wanapendwa hivyo watavumiliwa milele
Kumbe hadi hali mnajuliana!! Na wewe umejuaje kama namba yake haipatikani kama huwa humpigii?🤔akitaka kunijulia hali tu, kinyume na hapo haipatikani.
👍Nilikuwa najaribu kumpigia sana kabla sijanyoosha mikono juu 😉😉
Mambo ya Django doerSheria yangu ni moja, huwezi kunitembelea alafu nikuache uende. Kama ukiwa period, basi nitashika hata ziwa.
🤣Tokea siku hiyo hata ile kasi ya kuchat nae ikapungua. Nikaamua kukomaa na magume gume yangu tu, maswala ya unaenda kusex na mtu anakung'ata siyawezi.
Where is she??Ester , where is her? Is she married or not?
Mkuu Analyse
Sasa na wewe unajua kabisa simu haijaisha chaji, na akiiweka chaji itasoma chaji iliopo, ulikua unatumia akil gani wewe?? Kwel kabisa unakwenda kutafuta suluhu kwa akil ya kizembe namna hii mkuu? Ya kwel haya au??Alitumia mbinu ambayo sikuitarajia na ndio maana nikashindwa kujitetea. Nilishukuru alivyomwambia mama yake atupishe, maana aibu ingekuwa kubwa zaidi
Esther ana akili mingi basi tu hamjuagi nini mnatakaAlitumia mbinu ambayo sikuitarajia na ndio maana nikashindwa kujitetea. Nilishukuru alivyomwambia mama yake atupishe, maana aibu ingekuwa kubwa zaidi
Ukiwa na makosa hata akili huwa haifanyi kazi vizuriSasa na wewe unajua kabisa simu haijaisha chaji, na akiiweka chaji itasoma chaji iliopo, ulikua unatumia akil gani wewe?? Kwel kabisa unakwenda kutafuta suluhu kwa akil ya kizembe namna hii mkuu? Ya kwel haya au??
Ahahahah..dah sio kwangu aisee. Mimi nikishalitaka langu hua nahakikisha operation execution inakua error free. Yan siruhusu makosa hata kwa 0.5%Ukiwa na makosa hata akili huwa haifanyi kazi vizuri
Yeye ndio aliomba simu aniwekee chaji, na Mimi sikutaka kuresist ili asije hisi chochote. Ila mambo ndio yakaenda kunigeukaSasa na wewe unajua kabisa simu haijaisha chaji, na akiiweka chaji itasoma chaji iliopo, ulikua unatumia akil gani wewe?? Kwel kabisa unakwenda kutafuta suluhu kwa akil ya kizembe namna hii mkuu? Ya kwel haya au??
Hapo sawa, huyo manzi alikua na akil sana. Kwakifupi you still were standing a chance of getting her back mpaka siku hiyo. Sema Mungu alikua anamuwazia mema mtoto wa watuYeye ndio aliomba simu aniwekee chaji, na Mimi sikutaka kuresist ili asije hisi chochote. Ila mambo ndio yakaenda kunigeuka
Bado hujachanganywa vizuri, kwa mazingira ya huyu bwana ilikuwa lazima akosee tu kumbuka alikuwa na hofu ya kukataliwa wakati huo furaha ya kwenda kule, akili lazima ivurugikeAhahahah..dah sio kwangu aisee. Mimi nikishalitaka langu hua nahakikisha operation execution inakua error free. Yan siruhusu makosa hata kwa 0.5%