Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Analyse

Dah IFWAGI umenikumbusha mbali ngoja nimwage kisa changu kifupi kuhusu ifwagi.

Mwaka 2018 December wakayi naishi Mafinga niliwahi kuopoa demu Kinyanambo B ndo nilikutana nae, yule manzi baada ya mahusiano kama wiki kabla hata sijala tunda akaniambia anaenda kwa dada yake huko ifwagi na atakaa miezi 3.

Basi nilihuzunika ila nikaona fresh ,mawasiliano yaliendelea mpaka kuna siku aliniambia ana hamu ya kuniona nifanye namna niende nikamuone. Basi nikampanga nitaenda ila lazima anipe tunda akasema fresh,siku hiyo chap nikaoga nikaanda Ndom weka kwa begi kisha nikashuka pale CRDB njia ya kwena Ifwagi. Aisew usafiri wa kule jau kinoma kuna vile vitaksi ***** mbele mnakaa hadi watu wa 4 na nauli elfu 2 kwa kipindi hiko nikaona sio kesi.

Barabara vumbi tupu ukishavuka lile kanisa katoliki basi piga vumbi nikafika Ifwagi,nikakuta mtoto ananisubiri, sasa ilibidi nikalombe kwao ila alikuja mgeni wa ghafla hivyo ikabidi tutafute gesti ebwana enhee tulitafuta gesti na tulitembea kinoma hakuna gesti hata wenyeji walikua hawajui. Nilimaindi kinoma nikataka kumpeleka vichakani ila ikawa ngumu alikaza basi nikaondoka kwa hasira kurudi town hata kitumbua sikugusa.

Mapenzi yaliendelea ila yalikua afifu kwasababu yeye alibanwa sana.

Nimekumbuka mbali sana IFWAGI.
Pole sana mkuu, usafiri ulivyo mgumu kipindi kile alafu unaenda na kurudi dry?
 
Mashangaz nawatakaga sana ila huwa nakuwa mwoga,huwa napata ujasir wa kumtokea mshangaz mpaka pale nikisikia
taarifa zake za kupenda vijana wadogo

Nimeshawah kuwa nao wawili kwa nyakati tofauti
 
Ofcourse ilikuwa ni mwendo wa raha tu πŸ˜…πŸ˜…
Ila wamenichelewesha kuanzisha familia, wanasahaulisha sana
Nachodhani ulipata experience nzuri ya kuishi na mwanamke naamini kabisa utakuwa ni mume mwema, halafu sie wanawake tunapenda watu wenye uzoefu inaaminika kuwa mkiamua kutulia mnatulia vizuri sana na mnajua nini tunataka, sio unakutana na bikira wa kiume ukitombile anauanzia ndani km sio kutafutiana ushetani ni nini?
 
Nachodhani ulipata experience nzuri ya kuishi na mwanamke naamini kabisa utakuwa ni mume mwema, halafu sie wanawake tunapenda watu wenye uzoefu inaaminika kuwa mkiamua kutulia mnatulia vizuri sana na mnajua nini tunataka, sio unakutana na bikira wa kiume ukitombile anauanzia ndani km sio kutafutiana ushetani ni nini?
Yeah ni muda wa kutulia sasa, kama fujo nimeshazifanya sana

Ila hapo mwishoni jinsi ulivyomalizia, nimejikuta nacheka peke yangu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Back
Top Bottom