Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu, usafiri ulivyo mgumu kipindi kile alafu unaenda na kurudi dry?Analyse
Dah IFWAGI umenikumbusha mbali ngoja nimwage kisa changu kifupi kuhusu ifwagi.
Mwaka 2018 December wakayi naishi Mafinga niliwahi kuopoa demu Kinyanambo B ndo nilikutana nae, yule manzi baada ya mahusiano kama wiki kabla hata sijala tunda akaniambia anaenda kwa dada yake huko ifwagi na atakaa miezi 3.
Basi nilihuzunika ila nikaona fresh ,mawasiliano yaliendelea mpaka kuna siku aliniambia ana hamu ya kuniona nifanye namna niende nikamuone. Basi nikampanga nitaenda ila lazima anipe tunda akasema fresh,siku hiyo chap nikaoga nikaanda Ndom weka kwa begi kisha nikashuka pale CRDB njia ya kwena Ifwagi. Aisew usafiri wa kule jau kinoma kuna vile vitaksi ***** mbele mnakaa hadi watu wa 4 na nauli elfu 2 kwa kipindi hiko nikaona sio kesi.
Barabara vumbi tupu ukishavuka lile kanisa katoliki basi piga vumbi nikafika Ifwagi,nikakuta mtoto ananisubiri, sasa ilibidi nikalombe kwao ila alikuja mgeni wa ghafla hivyo ikabidi tutafute gesti ebwana enhee tulitafuta gesti na tulitembea kinoma hakuna gesti hata wenyeji walikua hawajui. Nilimaindi kinoma nikataka kumpeleka vichakani ila ikawa ngumu alikaza basi nikaondoka kwa hasira kurudi town hata kitumbua sikugusa.
Mapenzi yaliendelea ila yalikua afifu kwasababu yeye alibanwa sana.
Nimekumbuka mbali sana IFWAGI.
Dah kama nakuona ulivyokuwa ukiyafakamia manyama,Sio ukimwi tu, bali sijawahi pata ugonjwa wowote wa zinaa toka kwa mashangazi. Hata gono nililopataga, haikuwa toka kwa shangazi bali ni kibinti tu.
Aloooh wacha nibadili mda wa kuoga sasaPole sana π π π . Ila mida yangu ya kupost inajulikana, ni wewe ndio huwa una delay kuoga
Shukrani,nilimaindi ila ndo hivyo sikua na namna,,,kule ukitoa mbao sidhani kama kunafaa kuishi pa ajabu sana mara 10 igogole.Pole sana mkuu, usafiri ulivyo mgumu kipindi kile alafu unaenda na kurudi dry?
Punguza uoga. Basi Ngoja nikupointie shangazi anayependa vijana wadogo Evelyn Salt,huwa napata ujasir wa kumtokea mshangaz mpaka pale nikisikia
taarifa zake za kupenda vijana wadogo
Sawa rafiki.Kesho mpaka kufika mida kama ya leo ile nitakuwa nimeshamaliza kuandika
Nachodhani ulipata experience nzuri ya kuishi na mwanamke naamini kabisa utakuwa ni mume mwema, halafu sie wanawake tunapenda watu wenye uzoefu inaaminika kuwa mkiamua kutulia mnatulia vizuri sana na mnajua nini tunataka, sio unakutana na bikira wa kiume ukitombile anauanzia ndani km sio kutafutiana ushetani ni nini?Ofcourse ilikuwa ni mwendo wa raha tu π π
Ila wamenichelewesha kuanzisha familia, wanasahaulisha sana
Yeah ni muda wa kutulia sasa, kama fujo nimeshazifanya sanaNachodhani ulipata experience nzuri ya kuishi na mwanamke naamini kabisa utakuwa ni mume mwema, halafu sie wanawake tunapenda watu wenye uzoefu inaaminika kuwa mkiamua kutulia mnatulia vizuri sana na mnajua nini tunataka, sio unakutana na bikira wa kiume ukitombile anauanzia ndani km sio kutafutiana ushetani ni nini?