Guy of gisbon
JF-Expert Member
- Apr 22, 2024
- 564
- 803
usichoke brother hata kama watafuta nyuzi zako sisi tuko pamoja na weweNashukuru sana mkuu 🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usichoke brother hata kama watafuta nyuzi zako sisi tuko pamoja na weweNashukuru sana mkuu 🙏🙏
Kashasema hamna kipya asichokijua, ameachaKwani unadhani Analyse ataacha kabisa? Vurugu zipogo tu, sema kimyakimya.
Wanaume wasio na historia ya kuchafua wanawake wengi wakioa wanakuwa mambwaIla uwa inakuwa ni tabia ya mtu tangu awali ila haukuigundua penzi likiwa jipya kuna uchafu mwingi uwa unfichwa ukishazoeleka sasa ndiyo utaelewa rangi halis ya mtu.
Samehe 70x7. Rudisha moyo nyuma uokoe ndoa yako 😎wangu alinitimua mbona.
Asingeshikwa angenitandika kweli, akaishia kunitimua , sa nilibisha basi nikaondoka fresh tu.
Sikumuona ka miezi sita hivi, akaniita sikwenda
siku naenda nimeanza kujenga kwangu.
Alilalamika yeye, mkewe ,dada zake.
Hata sasa hatuna uhusiano mzuri viiiiile, nimeaibisha familia kwa kuacha ndoa.
Mi hata sijali, hamna mtu anajua nilikuwa napitia nn bana!
Watajiadjust tu with time.
Mi dadako mzazi ujue!Huwezi amini kuna mtu mwingine hapa nae katulia tuli anasubiria nondo za mashangazi. Nikizisema sababu zote, nitazidi kuwapoteza vijana 😅
Ah wapi!Samehe 70x7. Rudisha moyo nyuma uokoe ndoa yako 😎
inbobooo!Sasa nikikupa ABC za mashangazi, kuna kijana nae zitamshawishi. Huyo kijana ndio sitaki tumpoteze 😅😅😅