Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Maeneo yangu ilikuwa ni Ifwagi na isipii kwasana
 
Ushakuwa baba Bahati!! 😹😹😹
Ila huyo jirani mmbea km mimi sipendi kupitwa aiseee.!! Mi na chabo ningepiga nione unavyo-push tandam hilo awwweh 🀣🀣🀣
Ukiendekeza umbea litakukuta jambo shauri yako πŸ˜… πŸ˜…
 
Hapa ukiwaambia wadau story imenunuliwa hivyo haitoendelea tena. Wanaweza wanakuroga πŸ˜…πŸ˜…
 
Mitarudi
 
Maeneo yangu ilikuwa ni Ifwagi na isipii kwasana
Isipii tena ukitaja mwaka bas nimefanya na wewe kazi kule kidilu na isipii yote nimechana na kudalalia nguzo kutoka ikonongo, ifupira, mdabulo ndo nimesoma, ikanga, ihanu, ibwanzi, isipii, lulanda, me home kilosa mufindi lakini kijana una kipaji cha uandishi hata usokami kwenye mkaa ninechoma sana hadi ugesa mapanda hata nzivi ulikosimulia siku za nyuma najilaumu tu kukubali kuajiriwa nimepoteza kila kitu
 
πŸ˜„πŸ˜„baada ya kuachana na ubaba Husna ukajivika ubaba Bahati na ukapata na mkwe kabisa wa kuoa binti yako bahati hahahahah! Apostle weqe ni Legend kwenye hii sekta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…