Kumbe? Ngoja nisome alooo.!!Hahaha katupia
Kumbe? Ngoja nisome alooo.!!
Km mbaya sisomi na skip mpk portion inayofata πΉπΉIla ya leo imepoa yaani
Km mbaya sisomi na skip mpk portion inayofata [emoji81][emoji81]
Mi nataka udambu dambu km wa kuvaa shati lisilo na vifungo la batiki. Au yale ya Mutani kumuita mogadishu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi ngoja nikaendelee kunywa Amarula mie π€£π€£π€£[emoji1787][emoji1787] Leo hakuna
Basi ngoja nikaendelee kunywa Amarula mie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πΉπΉπΉ eeeh kapanda mwewe??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ikitokea ya kuchangamka nitakuita mdogo wangu sasa hivi yupo airport sijui anaenda nchi gani
[emoji81][emoji81][emoji81] eeeh kapanda mwewe??
Haya unishtue da mkubwa [emoji76]
Umesema haina udambu dambu inanitia uvivu π€£π€£π€£[emoji1787][emoji1787] au soma tu mdogo wangu kidogo
Mi nilitaka afumaniwe Mogadishu akamilishe mnyoosho πππ[emoji1787][emoji1787] au soma tu mdogo wangu kidogo
Umesema haina udambu dambu inanitia uvivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nilitaka afumaniwe Mogadishu akamilishe mnyoosho [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sisomi mpk akileta nyingine πΉKweli haina
Anakimbiaje kabla hajapewa chai π€£π€£π€£Aliamua kukimbia mji na kwenda kuanza upya mkoani