Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri



"Kumbe vikao vyenu vya kila wik end ndio usenge unaomwambiaga Mzee huo? Futa hayo mawazo kichwani mwako"
 
Kutoa fedha pilisi kwa kosa sijafanya walai nitaenda na wahusika bampa tu bampa na huwa nawaeleza bila kificho. Hata kwake nitafanya majivu I swear nimkose mzazi ama wana
Mkuu kama unataka yaishe uendelee na mishe zako ww wape tu hao jamaa Huwa wanasema wanazaidi ya makosa 1000 ambayo Yako wazi kukubambikia kwahiyo wee wape tu usepe zako hawashindwi kukubambikiza kosa ambalo hujafanya likakupotezea muda wako,, niwashenzi sana hao jamaa. Si Kila aliyeko mahabusu ama jera kwamba ametenda kosa wengi wamo humo kwa makosha ya kubumbiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…