Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, tunasubiriaOk, ntaandika nikipata muda humu humu,,, ntaandika jinsi nilivyokutana na mjeshi mmoja jambazi aliyewahi kusumbua sana miaka ya nyuma anaitwa kamanda dogo na story yake humo ndani..... Ntaelezea upande ambao haujawahi kuelezwa na hisia zake juu ya mauaji aliyowahi kufanya na mahusiano yake ya mapenzi.
nilisoma story yake nadhani alifanya matukio yake Mbeya au kigoma,nadhani Mbeya na alikuwa na back up ya mamaake kama sikosei,lete story zake na naomba unitag kama hautajaliOk, ntaandika nikipata muda humu humu,,, ntaandika jinsi nilivyokutana na mjeshi mmoja jambazi aliyewahi kusumbua sana miaka ya nyuma anaitwa kamanda dogo na story yake humo ndani..... Ntaelezea upande ambao haujawahi kuelezwa na hisia zake juu ya mauaji aliyowahi kufanya na mahusiano yake ya mapenzi.
Mimi ndio nilikua bf wa katarina kumbe ulikua unanimegea sio.
Mkuu shusha vitu hapa hapa, naona Baba Husna kashasema inayofuata anamaliza. Ombi langu kwako, akimaliza tu we unganisha muendelezo [Cha pili]Ok, ntaandika nikipata muda humu humu,,, ntaandika jinsi nilivyokutana na mjeshi mmoja jambazi aliyewahi kusumbua sana miaka ya nyuma anaitwa kamanda dogo na story yake humo ndani..... Ntaelezea upande ambao haujawahi kuelezwa na hisia zake juu ya mauaji aliyowahi kufanya na mahusiano yake ya mapenzi.
Umepotea babythank you mtani
hii time inafanya mazambi mengi sanaSaa 10 jioni na demu kuja geto,,ni kama kombinesheni ya Kitunguu na nyanya
Kwa ruhusa yako nimeandika japo uandishi si mzuri..Sawa mkuu, tunasubiria
TayariMkuu shusha vitu hapa hapa, naona Baba Husna kashasema inayofuata anamaliza. Ombi langu kwako, akimaliza tu we unganisha muendelezo [Cha pili]