Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Safi
 
Utaniulia mzee wangu kwa kisukari🀣🀣🀣
Hahahaaa atulie na presha zake mwanzo wazee walikuwa wanatupora pisi zetu kisa hatuna pesa
But sasa meza imegeuka vijana ndio wanashika pesa mpaka wazee wanawahi vijiwe vya gahawa kujadili vyanzo vya pesa zetu..
 
Damu zetu ni nzito kiasi hata ukitusingizia ubaya tu unazika hii ni laivu bila chenga.
Hata sielewi kwanini, inabidi nije niifungulie uzi hii issue maana ni kweli sio porojo..
Kwahiyo umeamua kututisha sio!
 
Sheria yangu ni moja, huwezi kunitembelea alafu nikuache uende. Kama ukiwa period, basi nitashika hata ziwa.


Nljua tu utaanza kwa kuchoma kazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna siku akaniambia amesikia wanafunzi wenzake wanasema kama akimeza Panadol kabla ya sex maumivu hayatokuwa makali. Nikamjibu yeah ni kweli, ameze Panadol kisha aje. Akasema sawa

Hapa ukatoa ushauri wa kidaktari mwaisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unazingua mzee Kwanza umemlamba mwanafunzi
 
Cc Geenaky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…