Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πͺπͺπͺπ¨βοΈπ οΈβοΈ.mzee ky amenikosha sana.
Ila apostle naomba orodha ya vitabu ulivyoshauriwa usome na MrB
πππππππ"haka kajamaa kastaarabu sana kape maji makubwa"
Weee na yule Atoto mbona mi namhisi ni kama Esther.Simulizi zako nzuri sana, kupata mwanamke kama Esther zama hizi sio rahisi sana.
Na mbaya zaidi hajui opponent wake niko level gan..Yuko pamoja nawe sako kwa bakoπ€£π€£π€£π€£
Kwani ulishatangaza kuwa opponent wangu?Na mbaya zaidi hajui opponent wake niko level gan..
We sikupingi, hakuna linalokushindaπ€£Yuko pamoja nawe sako kwa bakoπ€£π€£π€£π€£
Unajizima data eti?Kwani ulishatangaza kuwa opponent wangu?
Humpati, sina hata wasiwasi...hata nikisafiri mwaka!Unajizima data eti?
Je nikimpata mkuu?Humpati, sina hata wasiwasi...hata nikisafiri mwaka!
Nitakopa laki nikupe, huwezi!!Je nikimpata mkuu?
Naomba zile story zako zingine link zake tafadhaliBaada ya ile simulizi iliyopita kuondolewa jukwaani, niliahidi kuleta replacement yake. Baada ya kuangalia katika list ya ambazo nilishaanza kuandika, nimeona niweke hii.