Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Apostle! Much respect to you brother, mbali na burudani ila simulizi zako sisi wengine kwetu ni somo na at some point tumevuka baadhi ya mambo kupitia simulizi hizi. Ubarikiwe sana ila chondechonde usije ukaloweka kobilo lako kwa katrina maana mzee atakunyoosha zaidi ya ule mnyoosho wa millioni 5
Pamoja sana mkuu πŸ‘Š
 
Tofauti na alichosema uyo mzee ila ukweli mwingine kuwa kuna bond ipo kati ya mtoto wa kike na baba yake pia mtoto wa kiume na mama yake hili nalishuhudia kwnz kwangu mim na mama yangu.

Tuna ukaribu kiasi kwamba mpaka mzee anaumia sana pia hata kwa mabint zangu inagwa ni wadogo mmoja miaka nane mwingne miaka mitano ila uyu wa miaka mitano aisee kadri anavyokuwa anakuwa na mapenzi namm mpaka basi kias pia mama yake nae anaumia mana uwa mpaka mtoto anasema yeye ni mtoto baba tu.

Ukija uyo mkubwa nae hivyo hivyo anamapenzi namimi kuliko mama yake ingawa hajamzidi mdogo wake, bado nayaona hata kwa baadhi ya rfk zangu kwa mama zao wapo krb sana kuliko baba zao pia hata kwa watoto wao naona hilo pia.
Yawezekana ukawa sahihi mkuu. Maana haya mambo kila mmoja ana experience yake ya tofauti
 
Unajuaje familia ya mzee huenda inaakisi familia yangu? Au ya jirani yangu ama ya mtu wangu wa karibu?

Hamna faida nyingine zaidi ya kuendeleza jina la koo zenu tu
Sawa twende taratibu kulingana na sensa ya watu na makazi ya 2022 jinsia gani ina watu wengi Tanzania(Wakiume au wakike)

Kingine jamii ipo katika hali sana ya kumtetea kila kitu mtoto wa kike,mawazo yako unataka utuaminishe wote hapa.Unapofanya tathmini ya jambo fulani usiangalie faida moja TU (Kuendeleza ukoo) angalia ni nyingine nyiingi ndipo uje na hitimisho
 
Sawa twende taratibu kulingana na sensa ya watu na makazi ya 2022 jinsia gani ina watu wengi Tanzania(Wakiume au wakike)

Kingine jamii ipo katika hali sana ya kumtetea kila kitu mtoto wa kike,mawazo yako unataka utuaminishe wote hapa.Unapofanya tathmini ya jambo fulani usiangalie faida moja TU (Kuendeleza ukoo) angalia ni nyingine nyiingi ndipo uje na hitimisho
Tena walio mbele katika huo utetezi ni nyie wanaume
 
Naona tumeanza kuelewana vizuri tu .Sio kwamba wanaume hawateseki ila jamii imeshajengewa dhana mtoto wa kike yeye tu anapitia tabu kwahio zikisikika shida zao hawazingatiwi saana
Mnatupenda sana si kimwili tu bali kihisia na kisaikolojia, hata hivyo nilikuwa nakazia alichosema mzee(baba Katrina)
 
Back
Top Bottom