Lift ya Jengo la Millenium Towers yaanguka ikiwa na watu, kuzidisha idadi ya Watu kwatajwa kuwa chanzo

Mkuu

"Jeshi la Zimamoto limesema........ lift hiyo ambayo imefanyiwa matengenezo karibuni "

Kwa hiyo haikuwa mbovu uzito ulizidi ndiyo sababu

Mkuu,
Hiyo ni lugha ya kuficha maovu tu! Ilikuwa mbovu au haikutengemaa.ASAP

Lift zinaongea, hata yale ya kizamani bado uzito ukizidi inasema na haiondoki mpaka mpungùe!!
 
Natumaini waliokuwemo wamenusurika!
Hata mimi naomba iwe hivyo kwa kweli na pia je ilikuwa ghorofa ya ngapi?.Haina tofauti na kuanguka kwa ndege labda tofauti ya ndege moto unaweza waka.
Lift zinatakiwa kukaguliwa kila baada ya muda flani nina uhakika serikalini ndio wazembe kupindukia siajabu hiyo hela ya service watu wanaweka mfukoni.
Waige migodini wanvyofanya
 
Najaribu kupata picha ya "free fall" kutoka gorofa ya 10, ni hatari sana yaani unakiona kifo hiki hapa
 
Kuna Uwezekano Lift ilikuwa mbovu au Maintanance hazifanyiwi kwa wakati...

Ninachofahamu mimi....Lift uzito ukizidi haiwezi kuondoka... Mlango utafunga kama kawaida ila Inasimama Floor hiyo hiyo hadi Uzito upungue.. Tena hasa hizi lift za Kisasa..

Niwape pole Majeruhi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…