Ndombe Mubele
JF-Expert Member
- May 19, 2019
- 242
- 529
Yani mfano Lori inapanda mlima alafu inashindwa likarud nyuma kwa Kasi ndio hivyo imefeli Kupanda ikarudi chiniLift imeangukaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mfano Lori inapanda mlima alafu inashindwa likarud nyuma kwa Kasi ndio hivyo imefeli Kupanda ikarudi chiniLift imeangukaje??
Inatokea ghafla, utatafuta hicho chuma saa ngapi, tena siku hizi hatubandui macho kwenye simati phoneLift ikiwa inaanguka tafuta chuma kwa juu udandie…utatoka bila hata kovu
Ndio maana yake halafu pata picha ya impact baada ya kukita chini, kuvunjika migongo rahisi sanaWaweza kupaishwa hadi kwenye dari ya lift ati!
Mtanzania akifuata science na maelekezo na kuacha kuwa kichwa ngumu mashamba na limbukeni niamshe mie naenda kulala . Alafu akiacha uongo na unafiki na udokozi hata tia watu hasara kama hii ya lift kuporomoka kwani utakuta kuna mtu alilipwa kufanya service na anapokea pesa bila kupepesa macho Ukimbana atasema ni ajali ya munguKwa kweli ifike wakati Watanzania tuache mazoea kabisa, tufuate maelekezo.
Hauna ufahamu na safety issuesumeandika mavimavi
Millennium Towers ndio like jumnba la Barrick Gold?Watu saba wamejeruhiwa baada ya 'lift' katika jengo la Millenium Tower - II, Dar es Salaam kuporomoka kutoka ghorofa ya 10.
Jeshi la Zimamoto limesema chanzo ni lift hiyo ambayo imefanyiwa matengenezo karibuni kuzidiwa uzito ambapo waliingia zaidi ya watu 10 kwa wakati mmoja.View attachment 2633244
Watz tunapenda sana kubanana Sijui kwanini?.Kuna Mwenzetu humu ameandika uzi unaouliza kwanini Watanzania wengi tunapenda kubanana?.Watu saba wamejeruhiwa baada ya 'lift' katika jengo la Millenium Tower - II, Dar es Salaam kuporomoka kutoka ghorofa ya 10.
Jeshi la Zimamoto limesema chanzo ni lift hiyo ambayo imefanyiwa matengenezo karibuni kuzidiwa uzito ambapo waliingia zaidi ya watu 10 kwa wakati mmoja.View attachment 2633244
Gravity forces unazisikia ikiwa inashuka unakuwa kama kwenye free fall motion. Ila lift za mjini hazina vyuma juu labda pembeni nyingi ziko smooth hata unajionaInatokea ghafla, utatafuta hicho chuma saa ngapi, tena siku hizi hatubandui macho kwenye simati phone
Hayo mawazo yamekaa kishirikina sana.Muhimu Watanzania tuzingatie kufuata maelekezo ya Wataalamu.Hyo mitaa majengo Yao wanayajenga Kwa makafara, mtakuja mtolewe misukule , Jana kajiua mtu mitaa hyo Leo tena wamekoswa koswa hao
KichekoTz ni nchi hovyo Sana! Kuna mwaka fulani walikata tiketi za ndege kuzidi siti, watz wakasema tunasimama! Mpk waliposhushwa kwa nguvu!
Acha kuishi kimuvi kimuvi.Lift ikiwa inaanguka tafuta chuma kwa juu udandie…utatoka bila hata kovu
You watch too much movies.Lift ikiwa inaanguka tafuta chuma kwa juu udandie…utatoka bila hata kovu
Usiandike kwa kukurupuka unajua capacity ya lift hio inabeba tonne ngapi au watu wangapi na hao watu jumla wana uzito ganiHawakusoma maelekezo? au wamezoea kushonana kwenye gari za mbagala.......pole yao.