Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Nilikutana na consultant wa ule mradi, alinieleza kuwa aliyelazimisha kuwekwa nondo za 10mm badala ya 16mm alikuwa mmiliki eti kwa lengo la kuokoa gharama.Engineer kuweka nondo ya mm 10 kwenye ghorofa ni chuo gani alisomea
Mshauri baada ya kuona Utaalamu umewekwa pembeni ili mlazimu kuvunja Mkataba ili kulinda Profession yake