Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Mpaka sasa Ikulu haijasema chochote kama alikuwa mgonjwa au la sasa unapowalaumu hawa wabongo mbona hueleweki
Ikulu iache kufanya mambo ya msingi

Ijibu tetesi za waliosema rais alikuwa ujerumani leo na wakataja had chumba alichokuwepo?

Tunapiga kazi, hatuna muda wa kujibu kila mnachozusha, lengo lenu linajulikana ni kututoa kwenye reli
 
Tuelezane tu ukweli..wewe, au babako au sponsa wako ni muhanga wa vyeti feki, ufisadi au makenikia?
Siyo kweli bro. People wako pissed off badly!! Pita kwenye social media nenda kasome vizuri. Hata vijiweni watu walikuwa wana wish for a bad thing.

Ni wakati kama kweli yule tuliyemuona ni yeye akirekebishe. No body loves him except proxy mercenaries
 
Wapinzani tz wamekuwa kama mateja sio wakuwaamini, wamekuwa mateja wa kuokota habari, sera hawana wamekuwa watu wa matukio ya kipuuzi ili kuzua taarukitaaruki
Wanaona ikulu ni sehemu rahisi rahisi tu! Mtahangaika ila ikulu mtapasikia kwenye bomba.
 
There is nothing wrong with for a country to be polarized. That is the nature of politics and government. You would not expect the whole country to be of single mindedness like automatons! Politics by its very nature is disruptive and divisive. I don't have any problem for people opposing Magufuli or not liking his leadership style or ideas.. that is part of politics! The only way we can have an "almost" united nation is to be like China or Cuba... single party, single leader, single direction.. no dissent, no divisions...
Hata wakati wa single party bado watu walijaribu kumpindua mwalimu..not once, not twice! Hata kama wote tuko upande mmoja, hatuwezi kuwa pamoja.
 
Kwa akili ya kiwango cha chini twaweza kuwaona waajabu sana lakini sio hivyo!

Aliye anzisha huo uvumi naweza kusema kashinda kwa maksi za juu sana.

Kwanza kaonyesha UBOVU NA UDHAIFU wa kurugenzi ya habari Ikulu. Hii kurugenzi ina sifa za kukanusha haraka sana mambo ya kijinga lakini imeshindwa kukanusha hili la kuugua au kutoa taarifa. Maana hata kama Rais hakujisikia vizuri kwa uchovu mbona wangeweza kujibu haraka kuwa kazidiwa uchovu kwa kazi za mfululizo na pole angezipokea na sifa ya kufanya kazi kwa bidii!

Pili wameruhusu hisia mbaya kuhusu Rais wetu kupata nafasi kuenezwa maana hata hao waliokuwa wanaombea mabaya sio kusemea hawana hoja, wanazo tena nzito na wamepata nafasi ya kuzisema kwa wazi zaidi.

Hao mnaowataja wameongea kwenye mijadala hiyo kama mihemko tuu, lakini wapo waliokuwa kwenye mkumbo huo wakumuombea mabaya na wako karibu naye kabisa huku nyuso zao zikicheka naye ila mioyo haipo naye.
Hakuna siku kurugenz ya mawasiliano ikulu imeweza kama leo

Ilikuwa ni lazima ikae kimnya, isijibizane kwa maneno ifanye vitendo

Once and for all

Wimbo wa kuwa tetesi za mitandaoni sio za kuziamini umekuwa ukiimbwa muda mrefu lakin watu hawajifunzi

Leo kwa mara ya kwanza nakutana na watu wanajilaum "Dah nilimwambia mama,naanzaje kumfafanulia kuwa ilikuwa uongo "

Mtu kama huyo, haj kurudia tena kuwaamini wanaharakat uchwara wa mitandaoni

Akina Gerson wamefanya kaz leo, ambayo itawafanya wapumzike na kelele za wanaharak uchwara kwa muda mrefu,labda kiibuke kizazi kingine cha wanaharakati, ila hawa waliopo wamepoteza credibility kabisa
 
Hakuna siku kurugenz ya mawasiliano ikulu imeweza kama leo

Ilikuwa ni lazima ikae kimnya, isijibizane kwa maneno ifanye vitendo

Once and for all

Wimbo wa kuwa tetesi za mitandaoni sio za kuziamini umekuwa ukiimbwa muda mrefu lakin watu hawajifunzi

Leo kwa mara ya kwanza nakutana na watu wanajilaum "Dah nilimwambia mama,naanzaje kumfafanulia kuwa ilikuwa uongo "

Mtu kama huyo, haj kurudia tena kuwaamini wanaharakat uchwara wa mitandaoni

Akina Gerson wamefanya kaz leo, ambayo itawafanya wapumzike na kelele za wanaharak uchwara kwa muda mrefu,labda kiibuke kizazi kingine cha wanaharakati, ila hawa waliopo wamepoteza credibility kabisa
Mambo bado, kuwa mpole
 
Zitto, Maria Tsehai Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Godbless Lema, Vincent Mashinji na ndugu yao Kigogo...watu Wa ajabu sana
Hawa wajinga ufahamu wao umemezwa na chuki za kisiasa na hawajui possible damage itakayolikumba taifa ya hiki walichokifanya.
 
Tulipolazimishwa/kukubali kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila kujiandaa kama taifa, wenye uelewa wa masuala ya saikolojia walijua kitatokea nini?

Siasa za vyama vingi kwenye nchi ambazo zilikuwa na mfumo wa kijamaa zimezalisha taifa lililogawanyika katika pande mbili. Hakuna political meeting point ambayo inabeba hoja za pande mbili.

Mtu anayedhani Taifa limegawanyika katika utawala wa awamu ya tano atakuwa haijui vizuri Tanzania na siasa zake.

Hoja ya kusema tuwe na national dialogue ni ndoto za mchana katika mazingira yaliyozaa taifa linaloitwa Tanzania!

Tatizo kubwa sio mfumo wa vyama vingi, bali ni chama tawala kulazimisha kuwepo madarakani bila ridhaa ya wengi. Inaonekana chama tawala kulikubali kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila chenyewe kuwa tayari kwa hilo. Matokeo yake wananchi wengi wamesharidhia hali hiyo, huku chama tawala kikilazimisha kubaki chenyewe au madarakani kwa njia ya kunajisi box la kura. Hali hiyo inachangia mvutano na mgawanyiko usio wa lazima hasa anapotokea rais asiyeheshimu kutofautiana kimitazamo.
 
Kwa akili ya kiwango cha chini twaweza kuwaona waajabu sana lakini sio hivyo!

Aliye anzisha huo uvumi naweza kusema kashinda kwa maksi za juu sana.

Kwanza kaonyesha UBOVU NA UDHAIFU wa kurugenzi ya habari Ikulu. Hii kurugenzi ina sifa za kukanusha haraka sana mambo ya kijinga lakini imeshindwa kukanusha hili la kuugua au kutoa taarifa. Maana hata kama Rais hakujisikia vizuri kwa uchovu mbona wangeweza kujibu haraka kuwa kazidiwa uchovu kwa kazi za mfululizo na pole angezipokea na sifa ya kufanya kazi kwa bidii!

Pili wameruhusu hisia mbaya kuhusu Rais wetu kupata nafasi kuenezwa maana hata hao waliokuwa wanaombea mabaya sio kusemea hawana hoja, wanazo tena nzito na wamepata nafasi ya kuzisema kwa wazi zaidi.

Hao mnaowataja wameongea kwenye mijadala hiyo kama mihemko tuu, lakini wapo waliokuwa kwenye mkumbo huo wakumuombea mabaya na wako karibu naye kabisa huku nyuso zao zikicheka naye ila mioyo haipo naye.
Kurugenzi ilifanya vizuri ili ujinga watu fulani ambao wengi wamekuwa wakiaminiwa uwe dhahili.
Hawa watu na elimu zao washindwa kuelewa nini waseme na wapi.
Hii kasumba ya kutazamia majibu huwa haiongopei aliyekuwa anawapa majibu alikuwa ameyaandika kwa penseli walipomaliza kujaza akafuta na kuandika majibi sahihi
Ndio maana mmoja amejitekenya na kucheka kwa kusema.
""Zz umeniingiza mtegoni"
 
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...

Kwa mfano,

Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...

Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..

Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.

Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...

Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?

Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "

We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Nimependa hapo kuwa kila President huwa ana "double" wake. Hata muvi ambazo huwa zina president's double yule ORIJINO PRESIDAA huwa ni mtu wa hovyo hovyo, wa ajabu ajabu halafu double wake huwa tofauti kabisa.

Ukimuangalia Magufuli wa leo ni mpoleee...

Kuenjoy zaidi ishu hii ya President's double/doppleganger angalia muvi zifuatazo

1. DAVE 1993
2. THE DICTATOR 2012
3. THE GREAT DICTATOR 1940 (CHARLIE CHAMPLIN)
 
Uvumi kama upepo inchi ilisimama though kwa wale wenye access ya socail media uko vijijini wao walikuwa hawana hili wala lile
 
Tulipolazimishwa/kukubali kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila kujiandaa kama taifa, wenye uelewa wa masuala ya saikolojia walijua kitatokea nini?

Siasa za vyama vingi kwenye nchi ambazo zilikuwa na mfumo wa kijamaa zimezalisha taifa lililogawanyika katika pande mbili.
Hakuna political meeting point ambayo inabeba hoja za pande mbili.

Mtu anayedhani Taifa limegawanyika katika utawala wa awamu ya tano atakuwa haijui vizuri Tanzania na siasa zake.

Hoja ya kusema tuwe na national dialogue ni ndoto za mchana katika mazingira yaliyozaa taifa linaloitwa Tanzania!
Hapana, tuna mfumo wa vyama vingi takribani miaka 30 sasa.
Nyerere, Mkapa, Mzee Mwinyi, Kikwete waliugua pia. Nini kimebadilika leo?
 
We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.
Thank you Sir! I can't agree more
Watanzania wanapenda kuongelea matukio, hawataki kufanya analysis ya tukio.

Uvumi si tatizo, ni kitu kilichopo ndani ya jamii kila siku.

Katoto kana dege dege uvumi unasambaa kuna mzee alikuwa anaongea usiku mwenyewe, kumbe hapa Kicheba, network shida mzee alipanda kwenye kamlima kutafuta network

Hoja ya kufikirisha, ni matokeo ya uvumi na picha inayopatikana
Uvumi ''umetoa picha'' , umefungua vifua na kuona nini kilichomo

Tusijadili uvumi kwani umethibitika ni uvumi hauna maana na habari njema kila kitu ni salama, lakini je, tunajifunza nini kutokana na uvumi huo? tumefikaje hapa? Kwanini hivi ?
 
Back
Top Bottom