Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelikumbuka bus la Budget aisee ruti ya Dar- Njombe ilikuwa balaa...
Unaikumbuka ligi ya Matema Beach na Tawaqal?Niliwahi kusema humu kuwa huu ushabiki sio mzuri nikaambiwa nikae pembeni nimezeeka, yaani na miaka yangu 30 tayari nimezeeka?
Baharia iyo ni ligi ya pili nyuma ya hao jamaa ila sauli aiseee january to december gari imejaa daaah anapiga mno pesa........hii biashara utaiona tamu hapa tuMbona unawaacha Al Saedy,Imani Plus na Majinjah wote wanakimbizana na Sauli,New Force na Golden Deer.
Linyama yuleeeeee 😀😀😀😀mamaeeee
Mzungu hajapata dereeee. MdauMzungu amemshindwa mchina sa sijui inakuaje kwa mzungu alafu chuma mpya.
Hata Arusha to Mwanza yutong(loliondo) sikuhz ndo anaongoza alafu maroli yanafuata
Mpaka huwa tunabeti nan wa kwanza makambako,igawa na uyolePolice wanashabikia sana mbio hizi
Full burudani 😀😀
Ndio hilo..!?
Tunamnunua soon utamuona kwenye gemilangWaubani Linyama, dereva wa basi la Golden Deer ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa.
View attachment 1879647View attachment 1879651View attachment 1879652
MnasajiliTunamnunua soon utamuona kwenye gemilang