Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

Huenda deree n shida pia huwezi kuwa na tembo wa Sweden alafu mchina akakusumbua safari ya 700+km
Ishu iko hivi, hata mmoja akimbie sana na mwingine aende kawaida haisaidii kitu maana aliekimbia sana akikaribia makambako lazima apaki maana kuna mda maalum wa kufika pale, kwa maana hiyo ligi haina utamu sababu wanabanwa na sheria, ingebidi timetable zifutwe ndio mshindi halali angejulikana.
 
Ishu iko hivi, hata mmoja akimbie sana na mwingine aende kawaida haisaidii kitu maana aliekimbia sana akikaribia makambako lazima apaki maana kuna mda maalum wa kufika pale, kwa maana hiyo ligi haina utamu sababu wanabanwa na sheria, ingebidi timetable zifutwe ndio mshindi halali angejulikana.
Mnara huo unasomwa pahala ambako hamna sababu yanini sijui nini
 
Screenshot_20210804-183200.png


Leo hyo
 
TAHADHARI KWA MADEREVA KONA HIZI ZA IYOVI NI KALI ZAIDI EPUSHA MAISHA YA ABIRIA CHUKUA TAHADHARI DHIDI YA AJALI‏
wewe ni dereva wa basi la abiria ama gari binafsi ?hebu chukua hatua ya kupunguza ajali leo kwa kujihadhari na kona hizi na Iyovi na Kitonga na kona nyingine kali kama hizi nchini kwani maisha yako ni dhamani kubwa na uhai wake bado tunautamani

Vema kuheshimu alama za barabarani na kuacha mbwembwe uwapo barabarani katika kona kali kama hizi

Katika kona kama hizi zingatia alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele


Kulipita gari la mbele katika kona kama hizi ni kutafuta ajali
Hapa ni eneo ambalo watu 19 walipoteza maisha kwa fuso kugongana na basi na Nganga na kisha kuwaka moto uzembe ukiwa ni wa dereva wa basi aliyetaka kulipita gari la mbele katika kona kali


Usilipite gari katika kona

Alama zote za barabarani ni msaada kwa maisha yako lazima uziheshimu

Kona zote ni hatari kwa usalama wako hivyo usihame saiti yako ili kukimbia ajali

Lazima unapotaka kulipita gari la mbele uwe una uwezo wa kuona mbali zaidi ya mita 100 ama zaidi

Dereva makini halipiti gari la mbele katika kona

Kumbuka ni heri kuchelewa ukafika salama kuliko kuendesha kwa haraka na ukafika majeruhi ama maiti tambua Taifa linakuhitaji familia inakuhitaji na wewe dereva ni msaada wa abiria wote katika gari lako na msaada wa maisha yako jitambue ,watambue abiria wako , jilinde utulinde abiria wako maisha yako ni yetu na uhai wako ni tegemeo letu epuka ajali zingatia sheria za barabarani
Hii kitonga-ruaha
 
Yaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Hakuna tume ya watumiaji wa barabara kuna vibao ukipita unasema kabisa malengo ni fine na sio kuzuia ajali.
 
Ligi inapishana dakika chache sana kuanzia wakwanza mpaka wa 10 kwahiyo imebakia ligi ya nani wakwanza kuingia getini
Tuu
 
Nimetambua kuwa zhong thong ikipata dereva mzuri weka mbali na watoto, zinakula milima kama scania...
Hizi basi mchina yuko vizuri ingawa mnyama mkali hana mpinzani...
 
Ligi inapishana dakika chache sana kuanzia wakwanza mpaka wa 10 kwahiyo imebakia ligi ya nani wakwanza kuingia getini
Tuu
Mkuu sauli achana nayo, inaweza fika dk 45 kabla ya anayefuata. Basi za abood zinatoka moro saa tisa na kuendelea hukutwa na huanchwa...
 
Back
Top Bottom