kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Tatizo kuna mizaha inasema ni engine ya kimarekani.Hapana. Cummins engine ya Zongtong ni ya Kichina sio USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kuna mizaha inasema ni engine ya kimarekani.Hapana. Cummins engine ya Zongtong ni ya Kichina sio USA
Ntakusaidia kijana kwenu mko wangapi Kwanza tuanzie hpoMimi ni mpiga debe stendi
21 tuNtakusaidia kijana kwenu mko wangapi Kwanza tuanzie hpo
Unamkatazaje dereva asiendeshe Gari wakati umempa funguoTajiri kakataza madogo wasivuke 85km/h baada ya madereva wawili wa Sauli kufungiwa leseni zao kwa miezi sita
Huenda deree n shida pia huwezi kuwa na tembo wa Sweden alafu mchina akakusumbua safari ya 700+kmMzungu hajapata dereeee. Mdau
NgomeboyTatizo mleta uzi ameleta sehemu ambapo hamna wanazi. Wengi hawajui utamu wa kufungua geti uyole.
Anyway, acha sisi tuendelee ku-enjoy mizaha ya bwana mapikipiki
Ile ya hood ilikua inaitwa panya buku mamaee happy nation ile scania nyuma imeandikwa sauti ya mankaHappy Nation, Hood class limited zipo hizoo bus maana ndo zilikuwa zinatamba kipindi hicho Bado napanda mabasi
Abiria pia.Police wanashabikia sana mbio hizi
Huyo unaebishana nae nayeye anajiweza kama wewe tena usikute kakuzidi shauri yako........namjua cause nipo nae grupu moja whatsappOngea na mm vizuri kijana nikupe michongo ya kuishi hpa mjini Nina hela sana Kwanza umesomea nini au we ni dereva wa hizo sauli
Ukisikia Zaburi ya 23 haswa kwenye NINAPOPITA KATIKA BONDE LA UVULI WA MAUTI ndio hili sasa...
Ishu iko hivi, hata mmoja akimbie sana na mwingine aende kawaida haisaidii kitu maana aliekimbia sana akikaribia makambako lazima apaki maana kuna mda maalum wa kufika pale, kwa maana hiyo ligi haina utamu sababu wanabanwa na sheria, ingebidi timetable zifutwe ndio mshindi halali angejulikana.Huenda deree n shida pia huwezi kuwa na tembo wa Sweden alafu mchina akakusumbua safari ya 700+km
Mnara huo unasomwa pahala ambako hamna sababu yanini sijui niniIshu iko hivi, hata mmoja akimbie sana na mwingine aende kawaida haisaidii kitu maana aliekimbia sana akikaribia makambako lazima apaki maana kuna mda maalum wa kufika pale, kwa maana hiyo ligi haina utamu sababu wanabanwa na sheria, ingebidi timetable zifutwe ndio mshindi halali angejulikana.
Hii kitonga-ruahaTAHADHARI KWA MADEREVA KONA HIZI ZA IYOVI NI KALI ZAIDI EPUSHA MAISHA YA ABIRIA CHUKUA TAHADHARI DHIDI YA AJALI
wewe ni dereva wa basi la abiria ama gari binafsi ?hebu chukua hatua ya kupunguza ajali leo kwa kujihadhari na kona hizi na Iyovi na Kitonga na kona nyingine kali kama hizi nchini kwani maisha yako ni dhamani kubwa na uhai wake bado tunautamani
Vema kuheshimu alama za barabarani na kuacha mbwembwe uwapo barabarani katika kona kali kama hizi
Katika kona kama hizi zingatia alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele
Kulipita gari la mbele katika kona kama hizi ni kutafuta ajali
Hapa ni eneo ambalo watu 19 walipoteza maisha kwa fuso kugongana na basi na Nganga na kisha kuwaka moto uzembe ukiwa ni wa dereva wa basi aliyetaka kulipita gari la mbele katika kona kali
Usilipite gari katika kona
Alama zote za barabarani ni msaada kwa maisha yako lazima uziheshimu
Kona zote ni hatari kwa usalama wako hivyo usihame saiti yako ili kukimbia ajali
Lazima unapotaka kulipita gari la mbele uwe una uwezo wa kuona mbali zaidi ya mita 100 ama zaidi
Dereva makini halipiti gari la mbele katika kona
Hakuna tume ya watumiaji wa barabara kuna vibao ukipita unasema kabisa malengo ni fine na sio kuzuia ajali.Yaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Mkuu sauli achana nayo, inaweza fika dk 45 kabla ya anayefuata. Basi za abood zinatoka moro saa tisa na kuendelea hukutwa na huanchwa...Ligi inapishana dakika chache sana kuanzia wakwanza mpaka wa 10 kwahiyo imebakia ligi ya nani wakwanza kuingia getini
Tuu