Hawawezi shabikia kama hawanufaikiPolice wanashabikia sana mbio hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi shabikia kama hawanufaikiPolice wanashabikia sana mbio hizi
Dpk ishachomoka hapo
Hizo basi za kichina huwa hazitulii barabarani, ni kama zinapepesuka.....kuna siku nilipanda marcopolo ya Dar express kutoka Arusha-Dar, tulipofika same ikazingua ikabidi watuletee Yutong........aisee niliona tofauti kubwa mnoooo, marcopolo inatulia barabarani yaani husikii korogesheni wala kuyumba yumba. Ila tulivyopanda Yutong sasa unasikia kabisa kuyumba yumba na mtikisiko, ndo nikaamini kwa nini wanasema marcopolo moja unanunua Yutong tatu....Nimetambua kuwa zhong thong ikipata dereva mzuri weka mbali na watoto, zinakula milima kama scania...
Hizi basi mchina yuko vizuri ingawa mnyama mkali hana mpinzani...
Hui ujinga walichukuliwa hatua gani?
Zhong thong zinajitahidi.. nikikosa sauli kwenda mbeya napandaga ile new force ya golden deer au new force yenyewe...barabarani naona zinetulia..Hizo basi za kichina huwa hazitulii barabarani, ni kama zinapepesuka.....kuna siku nilipanda marcopolo ya Dar express kutoka Arusha-Dar, tulipofika same ikazingua ikabidi watuletee Yutong........aisee niliona tofauti kubwa mnoooo, marcopolo inatulia barabarani yaani husikii korogesheni wala kuyumba yumba. Ila tulivyopanda Yutong sasa unasikia kabisa kuyumba yumba na mtikisiko, ndo nikaamini kwa nini wanasema marcopolo moja unanunua Yutong tatu....
Alàaa kumbe ee. Sikuwahi kujua hiliHizo basi za kichina huwa hazitulii barabarani, ni kama zinapepesuka.....kuna siku nilipanda marcopolo ya Dar express kutoka Arusha-Dar, tulipofika same ikazingua ikabidi watuletee Yutong........aisee niliona tofauti kubwa mnoooo, marcopolo inatulia barabarani yaani husikii korogesheni wala kuyumba yumba. Ila tulivyopanda Yutong sasa unasikia kabisa kuyumba yumba na mtikisiko, ndo nikaamini kwa nini wanasema marcopolo moja unanunua Yutong tatu....
Oooooh!!! Umenikumbusha majinjah nikifika dar mapema mno hadi washikaji wakashangaaMbona unawaacha Al Saedy,Imani Plus na Majinjah wote wanakimbizana na Sauli,New Force na Golden Deer.
Kweli we muhenga 😂Ile ya hood ilikua inaitwa panya buku mamaee happy nation ile scania nyuma imeandikwa sauti ya manka
So kapricon na mbwembwe zote zile za kufukia bumps anapigwa bakora na loliondo?.Mzungu amemshindwa mchina sa sijui inakuaje kwa mzungu alafu chuma mpya.
Hata Arusha to Mwanza yutong(loliondo) sikuhz ndo anaongoza alafu maroli yanafuata
Uzi wako umemkamatisha mtu muda si mrefuMiaka nenda rudi Njia ya Dar es Salaam - Mbeya ndio imekuwa njia ambayo ni gumzo kwa mabasi yake kwenda mbio.
Umbali wa safari ni zaidi ya kilometre 800, na njia imekuwa ikipita kwenye Milima mikali, kona kali, mbuga ya wanyama, hali ngumu ya hewa Ikiwa ni Pamela na uwepo wa ukungu mzito na upepo Mkali.
View attachment 1879605
Hiyo ndio njia ya Dar Es Salaam- Mbeya ilivyo.
Na uwepo wa changamoto hizo Kuna wanyama wenye miili ya watu, wakikakaa Kwenye usukani wao wanawaza jambo Moja tu, nitawafikishaje abiria mapema na salama.
View attachment 1879606
Hapo ndipo unapokutana na ligi ngumu isiyo rasmi kati ya kampuni mbili, Golden Deer (New Force) na Sauli a.k.a Mnyama Mkali.
Golden Deer wao wakitumia mabasi ya kutoka China na Sauli wakitumia mabasi ya Ulaya, Ujerumani na Sweden. Sauli wana Mercedes Benz na Scania na Golden Deer wakitumia Zong Tong Climber.
View attachment 1879608
Magari haya yametengeneza mashabiki wengi huku mashabiki wao wakijigawa upande mmoja na mwingine, na askari pia wana timu zao kwenye ligi hii.
View attachment 1879609
Mwendokasi ni Hatari kwa usalama na maisha ya abiria, watumiaji wengine wa Barabara, mazingira na hata vyombo vyenyewe.
Nani Tena kadakwa usiku wote huu?Uzi wako umemkamatisha mtu muda si mrefu
Nimeshuhudia wakiendesha speed tofaut na alama za barabarani kama wanatoka mda mmoja kwann watofautiane masaa mengi yakufika kuna wakat nilimsikia deleva mmoja baada yakupitwa nasauli akasema ukimfata unakamatwa yy anaenda sauli akanyweYaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Nilikua chalii janja janjaKweli we muhenga 😂