Ligi Kuu Bara: Simba SC vs Mwadui FC

Kwa kweli inabidi tuwatie moyo mashabiki na wanachama wa simba ktk kipindi hiki kigumu wanachopitia. Ni kawaida ktk mpira wa miguu. Yatapita.
Ni bora washuke daraja wajipange upya
 
Waaaalah leo kama ningekuwa na bunduki ningewa shoot wachezaji wote pamoja lile li Aveve sijui avivi.....ni dhahiri timu inahujumiwa.....
 
Hivi ndo basi tena hakuna timu ya kufikia points za Yanga?!!
 
Ubingwa tayari huku vijana wakiwa wanapumzika baada ya kuipiga timu ya Angola.

Mechi tatu za mwisho zitakuwa kuwapa nafasi vijana ambao hawajacheza sana kwenye ligi.
Safi sana Yanga!!!!
 
Sipati picha huko Mbumbumbu FC hali ikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…