Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Msuvaaaa,,,,,,,,anakosea pale beki wa simba wanaokoa
 
Dakika ya 22 Said Juma anapata kadi ya njano baada ya kucheza rafu.
 
Kessy na Mrwanda wanapata kadi ya njano.
 
Simba wanakosa goli hapa dakika ya 27
 
Golikipa wa yanga yupo pale anatibiwa baada ya kugongwa na Ramadhani Singano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…