Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Julio alisema yanga kwa Simba ni sawa na pombe ya ngomani ukicheza koo likikauka unajichotea tu.

Na mimi ninasema ,mpinzani wangu kwenye ligi ya vpl no Azam fc pekee.

Ninyi nawafananisha na jkt ruvu.
 
Sisi sio Leicester....!0mbeni mechi nyingine na wajelajela muone kama mtawapiga hata 2.

Kama unaamini hivyo rudieni mechi na Mbeya city muone kama mtatoka salama, maana yule kipa Burhani mliyemuhonga pesa mkamsababishia kijana wa watu kufungiwa hayupo.
 
Kama unaamini hivyo rudieni mechi na Mbeya city muone kama mtatoka salama, maana yule kipa Burhani mliyemuhonga pesa mkamsababishia kijana wa watu kufungiwa hayupo.

Hata nyinyi mlinunua mechi na wajelajela ili kikao chenu kiende vizuri.
 
Hata nyinyi mlinunua mechi na wajelajela ili kikao chenu kiende vizuri.

DemiGod usipoteze muda kubishana nae watakapopigwa 2 kavu atapotea mwenyewe jukwaani…yanga timu piga mikia goli 2:0 warudi msimbazi wakampige kaburu!!!
 
Simba na historia za kina babu, watakuambia walimfunga yanga goli 6-0 na pia walimfunga goli 5-0.
Kwa wadau na wafuatiliaji wazuri wa mpira hili halitupi tabu kwani hata tukiwauliza goli 6 zilifungwa lini mtasema miaka ile Azam FC na Mbeya City hatuwafaham. Tukutane jumapili wakati na baada ya dk 90 tutakuwa na chakuandika chenye ukweli zaidi.
 
Kuna tija ya kuwapa moyo na kuwaweka katika hali ya kisaikologia Mashabiki MBUMBUMBU wa simba...! hatutaki kuona watu wakianza kuzimia uwanjani...!

Maana mashabiki mbumbumbu hawachelewi kuzumia wanapokutana na YANGA FC.

Kwa jinsi unavyoongea ni kama vile umeanza kuishabikia yanga mwaka huu hata hujui walipopigwa 5 bila Yanga wangapi walizimia uwanjani, na wengine Moro na Mwanza kufa kabisaaa. Uliza kwa wenzako wangapi mlizimia pale mnyama aliposawazisha zile bao 3 za timu dhaifu ya yeboyebo, ulizia kwenye mechi mliyopigwa 3-1 yanga wangapi waliaga dunia ama kuzima injini za bajaji wimi nzima, hapo hatujaongelea kipigo mlichokipata disemba 2-0 mpaka wadau wakashauri yanga wote wapimwe afya zao migogoro kabla yakuingia kiwanjani.
 
Simba na historia za kina babu, watakuambia walimfunga yanga goli 6-0 na pia walimfunga goli 5-0.
Kwa wadau na wafuatiliaji wazuri wa mpira hili halitupi tabu kwani hata tukiwauliza goli 6 zilifungwa lini mtasema miaka ile Azam FC na Mbeya City hatuwafaham. Tukutane jumapili wakati na baada ya dk 90 tutakuwa na chakuandika chenye ukweli zaidi.
Simba wazee wa historia kama wapiga ramli!
 
Tanzania itakuwa kimya kwa muda wa dakika 90 , mnamo tar 8 march.

Live updates zote zitakuwa humu ndani.

Majadiliano, uchambuzi, na mengineyo...

Jiachie...!usisahau ku_subscribe.

Sinaga fleva na soka la bongo kwa sababu linachezwa kwenye magazeti na mitandao. Yaani hata Makhirikhiri wanatafuna ndala. Haya ndala ''yanga'' asubirini safari yenu ya Africa itaishia Zimbabwe nexti wiki.
 
Sinaga fleva na soka la bongo kwa sababu linachezwa kwenye magazeti na mitandao. Yaani hata Makhirikhiri wanatafuna ndala. Haya ndala ''yanga'' asubirini safari yenu ya Africa itaishia Zimbabwe nexti wiki.

Bila kupepesa macho were in shabiki wa Simba SC.
Ni walewale team mbumbumbu.
 
DemiGod usipoteze muda kubishana nae watakapopigwa 2 kavu atapotea mwenyewe jukwaani…yanga timu piga mikia goli 2:0 warudi msimbazi wakampige kaburu!!!

Tunawapiga goli za kutosha alafu..mnamfukuza AVEVA, KABURU na huyu kocha wenu....!
 
Yanga ni wakugongwa tu
Bao tano zinatosha kwa afya ya wana simba

Wewe mwenyewe afya yako mgogoro....!
Nakushauri isuje uwanjani....
Msije kuanza kuzimia.
 
tutasubiria matokeo pale SIMBA KAPAKATWA kijitonyama.
 
Kuna tija ya kuwapa moyo na kuwaweka katika hali ya kisaikologia Mashabiki MBUMBUMBU wa simba...! hatutaki kuona watu wakianza kuzimia uwanjani...!

Maana mashabiki mbumbumbu hawachelewi kuzumia wanapokutana na YANGA FC.

Washabiki wa Simba kuzimia? Naona unatania hapa! Mnaongoza ligi kwa kuzimia nyie ndala!
 
mashabiki wa yeboyebo mtero umewajaa....subiria kuliwa na mnyama-simba! hpo jpili
 
Simba wazee wa historia kama wapiga ramli!

Historia ingekuwa inaharalisha ushindi Azam FC asingechukua kombe msimu uliopita. Hawa jamaa wanajifariji tu, after all mara ya mwisho kumfunga Yanga kwenye ligi ilikuwa lini?
Swali hili wakijibu ndo tutajua kama kweli Yanga ni wateja wao ama la
 
Back
Top Bottom