Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Historia ingekuwa inaharalisha ushindi Azam FC asingechukua kombe msimu uliopita. Hawa jamaa wanajifariji tu, after all mara ya mwisho kumfunga Yanga kwenye ligi ilikuwa lini?
Swali hili wakijibu ndo tutajua kama kweli Yanga ni wateja wao ama la

Jibu wewe, mi nijuacho nyie ni wake zetu, tunapiga tukitaka!! Mkidroo, heko!
 
Jibu wewe, mi nijuacho nyie ni wake zetu, tunapiga tukitaka!! Mkidroo, heko!

Nyie mikia ndiyo maana mwenyekiti wenu aliwaita Mbumbumbu naanza kuamini.
Mnashabikia msichokijua, mkiwaulizwa mnabwabwaja tu, kwa nini msiitwe mbumbumbu.
 
Ni wazee wa historia hujakosea, 2025 tutaongea historia kuwa 8.3.2015 Yanga alikula 3-0 TENA kweupEeeee.

Maweeeeeeeeee sio yanga hii jombaa!!!ndio maana nasema nyinyi ni kama wapiga ramli yaani kinachowapigisha kelele ni historia sio uhalisia!!!
 
MgonjwaUkimwi,
Hapa ndugu yangu umenizidi kete! Looh sijawahi sikia hii (signature):- Mwendawazimu ni binadamu mwenye Uhuru bila Nidhamu, na Mtumwa ni binadamu mwenye Nidhamu bila Uhuru. Nimesoma mara mbili mbili nakila mara hujikuta nacheka mwenyewe maanake kweli imetanda kwa kila sura ya shilingi hii... inauma tu pale utakapo jaribu kufanya mahesabu kupata hitimisho yaani Mtumwa ni sawa kabisa na mwendawazimu, japokuwa wametofautiana chanzo....Wee mkali!

Yanga kweli ni kichwa cha mwendawazimu, ubongo wenu bora ya mbumbumbu kuliko taahira unalichapa mwaka 2012 bao 5 bila, mwaka 2013 bao 3-1, mwaka 2014 bao 2 bila lakini bado linasema limesahau ni miaka ya zamani sana.
Hili hata ukilibaka tena bao 5 hata polisi wakiliuliza nani amekubaka litasema limesahau labda likibakwa tena ndio litakumbuka ladha ya mbakaji.
 
simba wanapiga kelele kwa kuwa wapo na mganga wao znz kambini

Timu inayoongoza kwa kuvua watu bukta uwanjani kisa imani za kishirikina na bado ikapigwa kitu Tanga ni ipi?
Timu gani inaongoza kwa kuiba Mataulo ya magolikipa kisa imani za kichawi kama sio Yanga na bado inachezea shedede la Simba kila ikikutana nalo?
 
Na mimi ninasema ,mpinzani wangu kwenye ligi ya vpl no Azam fc pekee.

Ninyi nawafananisha na jkt ruvu.

Yanga ni mwembe wa uwani tu, muda wowote Simba akiwa na hamu ya kutafuna anadondosha na kuutafuna.
 
Hao wateja wetu hawanipi shida hata kidogo, nimebaki nawaonea huruma tu hiyo jumapili.

Kucheza na Yanga ni sawa na kucheza na Mataahira ya milembe huna haja ya kutumia nguvu kubwaa kuyabamiza bao nyingi. Yenyewe yanatoka ute tu kwa kucheka.
 
Nyie mikia ndiyo maana mwenyekiti wenu aliwaita Mbumbumbu naanza kuamini.
Mnashabikia msichokijua, mkiwaulizwa mnabwabwaja tu, kwa nini msiitwe mbumbumbu.

Mambumbumbu ni nyinyi mnaoiparamia TFF jwa hoja zisizo na mashiko kila siku mnaangukia pua. Kijana mdogo Ibrahim Ajib amewatoa knock out kisheria.
 
Kwa jinsi unavyoongea ni kama vile umeanza kuishabikia yanga mwaka huu hata hujui walipopigwa 5 bila Yanga wangapi walizimia uwanjani, na wengine Moro na Mwanza kufa kabisaaa. Uliza kwa wenzako wangapi mlizimia pale mnyama aliposawazisha zile bao 3 za timu dhaifu ya yeboyebo, ulizia kwenye mechi mliyopigwa 3-1 yanga wangapi waliaga dunia ama kuzima injini za bajaji wimi nzima, hapo hatujaongelea kipigo mlichokipata disemba 2-0 mpaka wadau wakashauri yanga wote wapimwe afya zao migogoro kabla yakuingia kiwanjani.

Record hipo pale pale yanga imeifunga simba mara nyingi kuliko simba kumfunga yanga. Yanga ni bingwa kwa record kuliko timu nyingine yeyote mmesikia mbumbumbu sc
 
Historia ingekuwa inaharalisha ushindi Azam FC asingechukua kombe msimu uliopita. Hawa jamaa wanajifariji tu, after all mara ya mwisho kumfunga Yanga kwenye ligi ilikuwa lini?
Swali hili wakijibu ndo tutajua kama kweli Yanga ni wateja wao ama la


mtani jembe mkamfukuza na Maximo na kocha msaidizi...
 
Mambumbumbu ni nyinyi mnaoiparamia TFF jwa hoja zisizo na mashiko kila siku mnaangukia pua. Kijana mdogo Ibrahim Ajib amewatoa knock out kisheria.

unajua kwanini mliwafukuza wauza matikiti kutoka Brazil...
 
Jumapili ni kesho acha tusubili nini kitatokea,
na kwa kujiamini kwa yanga watu watatu wameomba ban kama yanga itafungwa lakini upande wa pili sijamuona hata mmoja ndo mjue kuwa ni jinsi gani hamjiamini.
 
Back
Top Bottom