Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Jumapili ni kesho acha tusubili nini kitatokea,
na kwa kujiamini kwa yanga watu watatu wameomba ban kama yanga itafungwa lakini upande wa pili sijamuona hata mmoja ndo mjue kuwa ni jinsi gani hamjiamini.

Hata Mimi nahitaji ban...! Tens mkumbusheni Moderator.

Asipo nipa Ban..najipa mimi mwenyewe.
 
Yanga Imeshafungwa Jumla Ya Magoli Mawili Ya Visigino Na Mjumbe Kamati Ya Utendaji Ya Klabu Ya Simba Said Tully a.k.a KIBOKO YA MURO Kutokana Na Kitendo Cha Msemaji Wa Timu Ya Yanga Jerry Muro Kumkimbia Na Kumkacha Said Tully Ktk Kipindi Cha Michezo Cha TBC1 Kilichokuwa Kinaendeshwa Leo Na Mwanasimba Wa Kutupwa Ahmed Salum Ambapo Wawili Hao Walialikwa Kuja Kuzungumza Haswa Mtanange Wao Wa Kesho. Goli La Pili Walilofungwa Yanga Tena Leo Ni Kile Kitendo Cha MHAMASISHAJI Wao Mkuu Ktk Ushangiliaji Yule Mjamaa Ambaye Ukienda Uwanjani Hukaa Jukwaa La VIP B Upande Wa Yanga Huku Akiwa Amejipakaa Mkaa Mwili Mzima Na Kuweka Misponji Ktk Mtumbo Wake Anaitwa Ally Yanga Kushindwa Hata Kukitaja Tu Kikosi Cha Yanga Huku Akimshangaza Hadi Mtangazaji Wa Kipindi Lakini Mwenzake Wa Simba Ajulikanae Kwa Jina La Frank Gasper Alionyesha UMAHIRI Mkubwa Ktk Kufanya Uchambuzi Wa Kina, Huku Akivutia Hata Kumsikiliza Na Kama Hiyo Haitoshi Aliweza Hadi Kumtajia Huyo Shabiki MBUMBUMBU Wa Yanga Kikosi Chao Yanga Na Madhaifu Ya Kila Mchezaji Na Timu Nzima Ya Yanga.

Hivyo Mpaka Sasa Yanga Imeshakubali Kufungwa Magoli Hayo Mawili Huku Mengine Matatu ( Hat trick ) Akisubiriwa Mwenye Kazi Yake Ibrahim Ajib Brakadabra Amalize Kesho Taifa.................Kazi Ipo!

MTANINUNIA SANA MWAKA HUU LAKINI POA TU.
 
Hata Mimi nahitaji ban...! Tens mkumbusheni Moderator.

Asipo nipa Ban..najipa mimi mwenyewe.
Mikia kesho lazima ikatwe pale taifa hilo halina shaka.
Simba 0-3 Yanga.
 
Kucheza na Yanga ni sawa na kucheza na Mataahira ya milembe huna haja ya kutumia nguvu kubwaa kuyabamiza bao nyingi. Yenyewe yanatoka ute tu kwa kucheka.

Umeeonaee yaani hao wanabamizwa bila kubisha wala kujitetea, haa haa haa.
 
Kuna tija ya kuwapa moyo na kuwaweka katika hali ya kisaikologia Mashabiki MBUMBUMBU wa simba...! hatutaki kuona watu wakianza kuzimia uwanjani...!

Maana mashabiki mbumbumbu hawachelewi kuzumia wanapokutana na YANGA FC.

hao wanao zimia wanakuwa wamebeti nyumba na wake zao
 
Kucheza na Yanga ni sawa na kucheza na Mataahira ya milembe huna haja ya kutumia nguvu kubwaa kuyabamiza bao nyingi. Yenyewe yanatoka ute tu kwa kucheka.

Sasa mbona mnashadadia sana kukumbuka historia ya kumfunga yanga goli 5 kama Yanga ni mataahira?
Kama mataahira unawaendea kambini kujiandaa kucheza nao huoni kama wewe ni wa kutiliwa mashaka?
 
Uganga wa jadi huu Upo kazini...subir wakukamate na wewe sababu hii ramli chonganishi kesho utaiona chungu kama shubiri
 
Naona umeshashinda ubingwa wa kufungua thread za Simba hapa Jf
 
Mkuu unaomba ban ya siku ngapi?
kwani wengine wameomba siku; mkolaj 7
NGANU 3
Bantu lady 7

Mkuu, mbona watu timu zao zikifungwa huwaga ndo wanapotea jamvini?

It makes sense kwa uliowataja hapo juu kuomba ban timu yao ikifungwa kwa vile by then watakuwa wamelikimbia jukwaa anyway....so ban wala haitawaumiza bali itawapooza dhidi ya kejeli za wapinzani wao watakaokuwa wanafurahia ushindi humu jamvini!

Mimi nadhani pledge yao iwe kupata ban timu yao ikishinda ili wakasherehekee vizuri huko mtaani!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona mnashadadia sana kukumbuka historia ya kumfunga yanga goli 5 kama Yanga ni mataahira?
Kama mataahira unawaendea kambini kujiandaa kucheza nao huoni kama wewe ni wa kutiliwa mashaka?

Ndio maana tunawaita maMbumbumbu.
 
Ndio maana tunawaita maMbumbumbu.

Mkuu. Hao mikia tuwaache kama walivyo. Sijui huu ni mwaka wa ngapi hawashiriki mashindano ya CAF. Raha yao ni kumfunga Yanga kwenye mechi za Bonanza. Huu sasa mwaka wa tatu ni sare au kufungwa na Yanga kwenye VPL. Watakuja na kawimbo kao ka 5-0 as if historia ya timu hizi inaanzia na kuishia hapo. Wako very selective kwenye historia. Yanga ni timu kubwa (bingwa wa kihistoria wa Tanganyika/Tanzania). Wanahitaji labda karne moja kuifikia rekodi ya Yanga ukizingatia kuna akina Azam siku hizi. Kwa maana hiyo mtazamo wetu lazima uwe wa kuangalia the bigger picture kama kuchukua ubingwa. Kwa Alex Furgeson ilikuwa bora afungwe na Liverpool lakini achukue EPL kuliko kumfunga Liverpool wakose ubingwa. Ndio mentality ya timu kubwa.
 
Back
Top Bottom