mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Si lazima na nina imani Yanga atashinda. Lakini suala kubwa kwa Yanga ni ubingwa!
na yanga akishinda mechi ya kesho ndo akamatiki tena kwenye ubingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima na nina imani Yanga atashinda. Lakini suala kubwa kwa Yanga ni ubingwa!
Yanga Imeshafungwa Jumla Ya Magoli Mawili Ya Visigino Na Mjumbe Kamati Ya Utendaji Ya Klabu Ya Simba Said Tully a.k.a KIBOKO YA MURO Kutokana Na Kitendo Cha Msemaji Wa Timu Ya Yanga Jerry Muro Kumkimbia Na Kumkacha Said Tully Ktk Kipindi Cha Michezo Cha TBC1 Kilichokuwa Kinaendeshwa Leo Na Mwanasimba Wa Kutupwa Ahmed Salum Ambapo Wawili Hao Walialikwa Kuja Kuzungumza Haswa Mtanange Wao Wa Kesho. Goli La Pili Walilofungwa Yanga Tena Leo Ni Kile Kitendo Cha MHAMASISHAJI Wao Mkuu Ktk Ushangiliaji Yule Mjamaa Ambaye Ukienda Uwanjani Hukaa Jukwaa La VIP B Upande Wa Yanga Huku Akiwa Amejipakaa Mkaa Mwili Mzima Na Kuweka Misponji Ktk Mtumbo Wake Anaitwa Ally Yanga Kushindwa Hata Kukitaja Tu Kikosi Cha Yanga Huku Akimshangaza Hadi Mtangazaji Wa Kipindi Lakini Mwenzake Wa Simba Ajulikanae Kwa Jina La Frank Gasper Alionyesha UMAHIRI Mkubwa Ktk Kufanya Uchambuzi Wa Kina, Huku Akivutia Hata Kumsikiliza Na Kama Hiyo Haitoshi Aliweza Hadi Kumtajia Huyo Shabiki MBUMBUMBU Wa Yanga Kikosi Chao Yanga Na Madhaifu Ya Kila Mchezaji Na Timu Nzima Ya Yanga.
Hivyo Mpaka Sasa Yanga Imeshakubali Kufungwa Magoli Hayo Mawili Huku Mengine Matatu ( Hat trick ) Akisubiriwa Mwenye Kazi Yake Ibrahim Ajib Brakadabra Amalize Kesho Taifa.................Kazi Ipo!
MTANINUNIA SANA MWAKA HUU LAKINI POA TU.
Huna akili mazafanta!!!
Shikamoo Chambo81.
Hivi simba wanaakili.kweli wao wanawaza kufunga yanga tuu ubingwa no,kweli mwendawazimu mpe mkate.
Yanga Imeshafungwa Jumla Ya Magoli Mawili Ya Visigino Na Mjumbe Kamati Ya Utendaji Ya Klabu Ya Simba Said Tully a.k.a KIBOKO YA MURO Kutokana Na Kitendo Cha Msemaji Wa Timu Ya Yanga Jerry Muro Kumkimbia Na Kumkacha Said Tully Ktk Kipindi Cha Michezo Cha TBC1 Kilichokuwa Kinaendeshwa Leo Na Mwanasimba Wa Kutupwa Ahmed Salum Ambapo Wawili Hao Walialikwa Kuja Kuzungumza Haswa Mtanange Wao Wa Kesho. Goli La Pili Walilofungwa Yanga Tena Leo Ni Kile Kitendo Cha MHAMASISHAJI Wao Mkuu Ktk Ushangiliaji Yule Mjamaa Ambaye Ukienda Uwanjani Hukaa Jukwaa La VIP B Upande Wa Yanga Huku Akiwa Amejipakaa Mkaa Mwili Mzima Na Kuweka Misponji Ktk Mtumbo Wake Anaitwa Ally Yanga Kushindwa Hata Kukitaja Tu Kikosi Cha Yanga Huku Akimshangaza Hadi Mtangazaji Wa Kipindi Lakini Mwenzake Wa Simba Ajulikanae Kwa Jina La Frank Gasper Alionyesha UMAHIRI Mkubwa Ktk Kufanya Uchambuzi Wa Kina, Huku Akivutia Hata Kumsikiliza Na Kama Hiyo Haitoshi Aliweza Hadi Kumtajia Huyo Shabiki MBUMBUMBU Wa Yanga Kikosi Chao Yanga Na Madhaifu Ya Kila Mchezaji Na Timu Nzima Ya Yanga.
Hivyo Mpaka Sasa Yanga Imeshakubali Kufungwa Magoli Hayo Mawili Huku Mengine Matatu ( Hat trick ) Akisubiriwa Mwenye Kazi Yake Ibrahim Ajib Brakadabra Amalize Kesho Taifa.................Kazi Ipo!
MTANINUNIA SANA MWAKA HUU LAKINI POA TU.
Kumekucha .,Simba sc moyo unandunda.....
Mnatamani isifike saa 10.
Tanzania itakuwa kimya kwa muda wa dakika 90 , mnamo tar 8 march.
Live updates zote zitakuwa humu ndani.
Majadiliano, uchambuzi, na mengineyo...
Jiachie...!usisahau ku_subscribe.