Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Kuelekea pambano la kesho,timu zote zipo kwenye maandalizi mazito ili kupata matokeo mazuri
 

Attachments

  • 1425755088246.jpg
    1425755088246.jpg
    34.9 KB · Views: 447
Yanga Imeshafungwa Jumla Ya Magoli Mawili Ya Visigino Na Mjumbe Kamati Ya Utendaji Ya Klabu Ya Simba Said Tully a.k.a KIBOKO YA MURO Kutokana Na Kitendo Cha Msemaji Wa Timu Ya Yanga Jerry Muro Kumkimbia Na Kumkacha Said Tully Ktk Kipindi Cha Michezo Cha TBC1 Kilichokuwa Kinaendeshwa Leo Na Mwanasimba Wa Kutupwa Ahmed Salum Ambapo Wawili Hao Walialikwa Kuja Kuzungumza Haswa Mtanange Wao Wa Kesho. Goli La Pili Walilofungwa Yanga Tena Leo Ni Kile Kitendo Cha MHAMASISHAJI Wao Mkuu Ktk Ushangiliaji Yule Mjamaa Ambaye Ukienda Uwanjani Hukaa Jukwaa La VIP B Upande Wa Yanga Huku Akiwa Amejipakaa Mkaa Mwili Mzima Na Kuweka Misponji Ktk Mtumbo Wake Anaitwa Ally Yanga Kushindwa Hata Kukitaja Tu Kikosi Cha Yanga Huku Akimshangaza Hadi Mtangazaji Wa Kipindi Lakini Mwenzake Wa Simba Ajulikanae Kwa Jina La Frank Gasper Alionyesha UMAHIRI Mkubwa Ktk Kufanya Uchambuzi Wa Kina, Huku Akivutia Hata Kumsikiliza Na Kama Hiyo Haitoshi Aliweza Hadi Kumtajia Huyo Shabiki MBUMBUMBU Wa Yanga Kikosi Chao Yanga Na Madhaifu Ya Kila Mchezaji Na Timu Nzima Ya Yanga.

Hivyo Mpaka Sasa Yanga Imeshakubali Kufungwa Magoli Hayo Mawili Huku Mengine Matatu ( Hat trick ) Akisubiriwa Mwenye Kazi Yake Ibrahim Ajib Brakadabra Amalize Kesho Taifa.................Kazi Ipo!

MTANINUNIA SANA MWAKA HUU LAKINI POA TU.

Huna akili mazafanta!!!
 
Shikamoo Chambo81.

Marhaba…yanga oyeeeee!!!napenda ibrahim ajibu acheze na tuwafunge!!!maana dogo mvuta bange wa buguruni malapa nae kashajiona fundi wakati mpira wake wa kubahatisha…nafikiri atakua anamjua kipanya malapa alivyotamba msimu mmoja na mpira wake wa kichawi na kupotea mazima na kurudia kazi yake ya ukonda kwenye ma dcm ya gongo la mboto!!
 
Hivi simba wanaakili.kweli wao wanawaza kufunga yanga tuu ubingwa no,kweli mwendawazimu mpe mkate.
 
Yanga Imeshafungwa Jumla Ya Magoli Mawili Ya Visigino Na Mjumbe Kamati Ya Utendaji Ya Klabu Ya Simba Said Tully a.k.a KIBOKO YA MURO Kutokana Na Kitendo Cha Msemaji Wa Timu Ya Yanga Jerry Muro Kumkimbia Na Kumkacha Said Tully Ktk Kipindi Cha Michezo Cha TBC1 Kilichokuwa Kinaendeshwa Leo Na Mwanasimba Wa Kutupwa Ahmed Salum Ambapo Wawili Hao Walialikwa Kuja Kuzungumza Haswa Mtanange Wao Wa Kesho. Goli La Pili Walilofungwa Yanga Tena Leo Ni Kile Kitendo Cha MHAMASISHAJI Wao Mkuu Ktk Ushangiliaji Yule Mjamaa Ambaye Ukienda Uwanjani Hukaa Jukwaa La VIP B Upande Wa Yanga Huku Akiwa Amejipakaa Mkaa Mwili Mzima Na Kuweka Misponji Ktk Mtumbo Wake Anaitwa Ally Yanga Kushindwa Hata Kukitaja Tu Kikosi Cha Yanga Huku Akimshangaza Hadi Mtangazaji Wa Kipindi Lakini Mwenzake Wa Simba Ajulikanae Kwa Jina La Frank Gasper Alionyesha UMAHIRI Mkubwa Ktk Kufanya Uchambuzi Wa Kina, Huku Akivutia Hata Kumsikiliza Na Kama Hiyo Haitoshi Aliweza Hadi Kumtajia Huyo Shabiki MBUMBUMBU Wa Yanga Kikosi Chao Yanga Na Madhaifu Ya Kila Mchezaji Na Timu Nzima Ya Yanga.

Hivyo Mpaka Sasa Yanga Imeshakubali Kufungwa Magoli Hayo Mawili Huku Mengine Matatu ( Hat trick ) Akisubiriwa Mwenye Kazi Yake Ibrahim Ajib Brakadabra Amalize Kesho Taifa.................Kazi Ipo!

MTANINUNIA SANA MWAKA HUU LAKINI POA TU.

Sioni sababu ya YANGA KUTOKUFNGWA GOLI 3 LEO.
 
Kama kawaida yanga ni wahitimu wa division 5 ya Mulugo lazima Warisit tena matokeo yao.
Send off ya pluijim imefika, saa hii familia yake ipo Stend.
 
Kumekucha .,Simba sc moyo unandunda.....

Mnatamani isifike saa 10.
 
Kumekucha .,Simba sc moyo unandunda.....

Mnatamani isifike saa 10.

Kabisa mkuu wanajuta kufika leo!!wanatamani leo ingekua jana na jana ingekua juzi na leo isingefika…!!walifikiri leo ni mbali sana!
 
Tanzania itakuwa kimya kwa muda wa dakika 90 , mnamo tar 8 march.

Live updates zote zitakuwa humu ndani.

Majadiliano, uchambuzi, na mengineyo...

Jiachie...!usisahau ku_subscribe.

Watanzania hawatakuwa kimya ila kelele ndio zitaongezeka
 
Ni vigumu sana maji kupanda mlima yaani mkulima yanga kumfunga mfalme simba ...utamaduni unaendelea na utaendelea milele.. na endapo kama itakua sivyo basi nitakuA nimeudanganya umma ..so mods ni ban kwa dk 90 walizocheza kwa heshima zao
 
Back
Top Bottom