scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 926
kwel mfalme juuu
Ndio maana yake...wakati mwingine ukweli tuache uendelee tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwel mfalme juuu
Kumekuchaaaaaa!! Leo ndo siku ya mwindaji mwenye njaa kutoka Jangwani atakapokuwa anakula nyama ya mnyama simba kiulani pale taifa mbele ya umati wa watu.Kabisa mkuu wanajuta kufika leo!!wanatamani leo ingekua jana na jana ingekua juzi na leo isingefika !!walifikiri leo ni mbali sana!
Timu za italy hazina viwanja binafsi,unavichukia? Na kama simba na yanga havina uwanja havichezi mpira? Wew ni shabiki wa mpira au shabiki wa viwanja? Ka shabiki wa viwanja basi shabikia ccm na serikali ndo wenye viwanja vingi bongo[/QUOTE
Kumfananisha Mzungu na Mswahili kufilisika kimwili.....kama mpo sawa na waitaly nanyi muwasajili akina Torres
Wahapa hapa....hamna lolote miaka 50 hamna hata viwanja.....nazichukia sana hizi timu za kiswahili..
Kumbe wewe ni Mzungu?
simba sport club hao toka jmane wanaloga
simba sport club hao toka jmane wanaloga
Mmeshinda kwa kufungua thread umu@Simba
Tutaona .. na kwa jinsi mlivyo washamba leo sababu ya kumfukuza kocha wa yanga itapatikanaMikia nyie mna kazi kweli leo tutakachofanya nikuwaonyesha njia ya kuelekea ligi za mchangani!!