mi nshamsoma huyu
kaanza kushabikia mpir a baada ya stendi united na mbeya city kuingia kwenye ligi
Jana simba ilifanya kitu tulichokuwa tunasubiri kwa hamu, sasa sijui kocha huyu atapona na sasa msubiri labda mwakani kwenye mtani jembe ambayo nayo imekuwa mwiba kwa yanga, tokea ilipoanzishwa mtani jembe tumekuwa tukiwafunga
NASEMA TENA POLENI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
kwa sababu unaipenda simba na mimi nakupenda tuuuuu
hahaahahahahahahahhaha
hahahahahaahahhahahahahahha
hahahaahahahahahahahahahahahaahahahahahha
Rahaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaa
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrr
Kama kawa usajili ukikaribia tunapiga hodi Simba....
Tunaangalia Mchezaji gani anatufaa...
Tunamwambia anataka kulipwa kiasi gani...
Anakubaliwa na kuchukuliwa.. Kama kawaida yetu.
Tengenezeni Yanga tunakuja.!!!!
Ngarna grafani1 sembo Amavubi mkolaj Makoye Matale barafuyamoto Komeo Lachuma Bantu lady Masuke Chekeni kama mzee akilimali.
hahahahaahahahah
haha
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahahahahaha
hahahha
hahahahhhahaahhaahahhaahahahahah
hahahahahhahahhahhahhhhahhhhhahahahahahahaahahahahahahahahahhahahaahahhahhahahahahahahahaha
hahhaahahahahahaahahhahahahahhahahahahah
hahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahahahahahahahhahahahahahaahahahahahahahhahahahahaahahahahahahahahahahahha
Hata mwezi wa 12 mwaka jana mlisema hivyo hivyo, na tumewabutua tena. Tutaendelea kuwabutua mpaka Manji atakapoondoka.Mnakaririshwa vibaya, next time lazima tuwabutue vibaya hadi mharibikiwe.
Piga jibwa jizi hilooooo....Pigaa yebo yebo hadi dressing room ikibid hadi kambin kwao
ndo maana anaitwa mtoa roho, hii ndo maana yake.
Jane Muro ameonekana au bado amejichimbia chooni?Cjui kama tungefungwa tungetukanweje na jela muro
Ndugu yangu Zamiluni Zamiluni nadhani hajamfuatilia vizuri huyu dada, amekuwa na maneno mengi ya kuudhi na kejeli tena akitu-quote. Tulipofungwa na Mbeya City, Stand United tulichukulia kimichezo hata walipotukashifu na kukejeli hatukujibu kwani tulijua hiyo ni sehemu ya mchezo kwani tulijua Yanga nao hawawezi kushinda siku zote. Na hicho ndicho kilichotokea jana Mtani wetu tumemchapa bao moja, kudhihirisha yeye ni mteja wetu miaka 100. Sasa Bantu lady anapaniki mbona wenzake mkolaj, nifah wameingia mitini kimyaaaaa kama hawalioni jukwaa vile.Zamiluni Zamiluni matusi yameletwa na waliofungwa
na kama utarecall quote ya Grafani11 utaelewa nina maana gani.Tumefungwa mechi zilizopita tulivumilia hatukutukana pamoja na kutukanwa sana. Kama mtu hawezi ushabiki asishiriki. Lakini hatuvumilii matusi.
Mkeo hajatulia, amepaniki huku anamwaga mitusi kama amechanganyikiwa vile.mnyama alichowafanya watu jana ni kibaya sana. hawakutegemea. ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa