Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Teh teh teh! Naona matumaini yako juu ya simba yamepanda... Baada ya kumfunga YANGA.!!!

Ulikuwa mpore sana wewe.... Tena ukilaumu viongozi.

Haya bhana endelea kuota ndoto za alinacha.!
Una ramboooooo mi nina muwaaaaa....
 
Teh teh teh! Naona matumaini yako juu ya simba yamepanda... Baada ya kumfunga YANGA.!!!

Ulikuwa mpore sana wewe.... Tena ukilaumu viongozi.

Haya bhana endelea kuota ndoto za alinacha.!

Hujui kuwa mwenye nafasi ni Azam

Yanga hamna timu pale

Ni ubabaishaji tu

Kwa mpira upi uliopo Yanga

Simba ni chuo cha soka Tanzania
 
Miaka miwili wanaweza kumfunga mtu hata bao kumi wale kwa jinsi wanavyotandaza soka la dakika nne bila mpira kuguswa na yeboyebo. Hii raha sanaaaaaa...

Hawa yanga wazee sio saizi ya Simba timu kubwa...Tungewaachia simba B tu wangelala

Hhaahahahahahahahahaha
ahahahahahahahahaahahahaha
hahahahahahahahaahahaahhahaha
hahahaahahahahahahahahahahahahhahahahah
 
mkuu DemiGod hongera sana umepambana nao vya kutosha hawa mbumbumbu sports club!

Ni kawaida kwa humu kwenye media mbona ndio zenu ...tunawajua kwa kucheza magazetini...lakini uwanjani mnakuwa urojo tu

hahahahahahaahahahahah
hahahahahahahahahahhahahhaha
hahahahaahh
ahahahahahahahahahah
 
Hawa yanga wazee sio saizi ya Simba timu kubwa...Tungewaachia simba B tu wangelala

Hhaahahahahahahahahaha
ahahahahahahahahaahahahaha
hahahahahahahahaahahaahhahaha
hahahaahahahahahahahahahahahahhahahahah
Wale ndiyo wabaya zaidi zile nne zingepigwa kwa wakubwa
 
Mfalme anatisha.....

hahahahahahahahha
hahahahahahha
hahahahahah
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Simba dume lao...
hahahahahhahah
Ila Yanga watamu sana.yani sanaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hivi tokea jana mmekula au kulala kweli? Huu uzi mnausongesha nyie kwa spidi ya ajabu!

Yaaani next time tunawabikiri tu...haiwezekani kila siku tunakula mzigo ule ule

hahahahaahahah
hahahahahahah
hahahahaahahahahahahaha
 
Yaaani next time tunawabikiri tu...haiwezekani kila siku tunakula mzigo ule ule

hahahahaahahah
hahahahahahah
hahahahaahahahahahahaha

Khaaaaa! Nyie siwawezi kwa matusi ndio maana tokea jana nimejificha.Haya kwaherini endeleeni na matusi yenu.
 
Khaaaaa! Nyie siwawezi kwa matusi ndio maana tokea jana nimejificha.Haya kwaherini endeleeni na matusi yenu.

HAHAHAHAHAAHAHHA
Wewe jifiche tu Nifah
Chezea bao moja la haja
Najua mnakubali mabao ya mume wenu Simba
Ndio maana mtaendelea kumtanulia tu
ahahahahahahaahahahaha
 
Ni kawaida kwa humu kwenye media mbona ndio zenu ...tunawajua kwa kucheza magazetini...lakini uwanjani mnakuwa urojo tu

hahahahahahaahahahahah
hahahahahahahahahahhahahhaha
hahahahaahh
ahahahahahahahahahah

grafani11 na Freeland please nendeni mkanywe japo kahawa pale msimbazi maana kila nikilala nikiamka mpo mnapambana na DemiGod
 
Last edited by a moderator:
grafani11 na Freeland please nendeni mkanywe japo kahawa pale msimbazi maana kila nikilala nikiamka mpo mnapambana na DemiGod

Sisi hatuna haja ya kupambana na loosers wa uwanjani

Watu wanaochongaa tu

Mpira hakuna

Angalieni vidume simba wanavyocheza mpira mkubwaaa

Dadeki dakika 5 vijana wanagongeana pasi tu...mnautafuta kwa tochi....

Simba ni chuo cha soka Tanzania
 
Sisi hatuna haja ya kupambana na loosers wa uwanjani

Watu wanaochongaa tu

Mpira hakuna

Angalieni vidume simba wanavyocheza mpira mkubwaaa

Dadeki dakika 5 vijana wanagongeana pasi tu...mnautafuta kwa tochi....

Simba ni chuo cha soka Tanzania

ligi haishindwi kwa mechi moja...tuna angalia aggregate!!
 
ligi haishindwi kwa mechi moja...tuna angalia aggregate!!

We endelea kuhangaikia aggregate wakati mna maumivu ya kubakwa na simba

Na tarehe 11 lazima mpeleke timu dadeki

Mlisema hampeleki timu uwanjani? tutawaona kama mna huo ubavu

Na minziro atawababua dadeki labda mnunue mechi kama kawaida yenu

Yanga hakuna mpira pale...kuna mpira wa magazeti

Wenye namba zao wanakuja

Grrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Yanga kwa kusajili vibabu mara cotinho mara mrwandaa mara kaseja.....hawaoni vijana wao kwenye academy yao.....poor yanga upuuzi
 
Back
Top Bottom