Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Una faida gani ule ubingwa, ambao unashiriki mwaka mzima na ukshnda unapewa milioni 80?

NB: Milioni 80 ndo gharama tulizotumia unguja kumuandaa mnyama ili aje amtafune mwali ndala.

Gharama za kuitoa Simba Dar mpaka Mbeya/Shinyanga hazipungui milioni 10 halafu mwisho wa siku bingwa unampa ml. 80. Hii ndiyo Bongo.
 
Usiwe kei jinga wewe, kila mnapowachukua, mmepata mafanikio gani? Nasubiri timu ikamilike, Msuva aje mahali moyo wake ulipo! Umri wake sio wa kuchezea Yanga.

Sioni sababu yeyote ya Kutumia matusi jukwaani.......!

Inakubidi ujiongoze vyema unavyo socialize na wengine.
 
Hujui kuwa mwenye nafasi ni Azam

Yanga hamna timu pale

Ni ubabaishaji tu

Kwa mpira upi uliopo Yanga

Simba ni chuo cha soka Tanzania

Chuo cha soka, wakati Taifa Stars yenu inajemgwa na wachezaji wanaotokea Dar Young Africa.
 
Cheki jamaa wanavyotia huruma, kweli kufungwa nomaa, walivyotoa macho ni kama mjusi kabanwa na mlango.

kufungwa adhabu.jpg
 
Hatari hatari hatari, raha ya pekee kuwa Yanga. Tunaongoza ligi, mechi ya jumapili ni ya ligi kuu ni kama mechi zozote, kama watu walivyopigwa moja na Stand United.
Heshima ni kuchukua kombe mbele yao. Nimemaliza...
 
Hatari hatari hatari, raha ya pekee kuwa Yanga. Tunaongoza ligi, mechi ya jumapili ni ya ligi kuu ni kama mechi zozote, kama watu walivyopigwa moja na Stand United.
Heshima ni kuchukua kombe mbele yao. Nimemaliza...

Hongereni kwa kuinamishwa kimoja cha nguvu.
 
Wachumba wameanza kuonekana baada ya kulambishwa glucose na Red Cross na kuzinduka.
 
Chuo cha soka, wakati Taifa Stars yenu inajemgwa na wachezaji wanaotokea Dar Young Africa.

Ndio maaana ni Taifa stars ya katibu wa zamani wa Yanga,Jamal Malinzi

Haujiulizi ndio maana ha i perform kabisa

Simba ni chuo cha soka Tanzania...Accept or deny it
 
Hatari hatari hatari, raha ya pekee kuwa Yanga. Tunaongoza ligi, mechi ya jumapili ni ya ligi kuu ni kama mechi zozote, kama watu walivyopigwa moja na Stand United.
Heshima ni kuchukua kombe mbele yao. Nimemaliza...

Hatari hatari hatari, raha pekee ya kua Simba ni kumpiga piga, kumgeuza, kumchoma kisha kumtafuna kama Chapati, mtani wangu Kandambili. Heshima ni kuliendeleza hilo tukio kila napokutana nae. Nimemaliza.
 
Chuo cha soka, wakati Taifa Stars yenu inajemgwa na wachezaji wanaotokea Dar Young Africa.

Ndo mana Taifa Stars kila mechi haifanyi vyema. Sasa ni muda muafaka kuwakabidhi "vijana wa kazi" Simba Sc.

Simba Sc + Thomas Ulimwengu + Mbwana Samata = Taifa Stars = Ushindi Ushindi!
 
Visonoko vimeanza kuibuka kama senene. Mtaikoma Simba kila mkiingiza nyaa inapakatwa. Hasira haisaidii. Nunue kamba mjitundike. Kuzimia tu sio fashion tena.
 
Ndio maaana ni Taifa stars ya katibu wa zamani wa Yanga,Jamal Malinzi

Haujiulizi ndio maana ha i perform kabisa

Simba ni chuo cha soka Tanzania...Accept or deny it

Chuo baada ya kumfunga YANGA...!
Teh teh teh teh!!! .

Je ulivyokua inazaa sare.... Ilikuwa primary level...?
 
Visonoko vimeanza kuibuka kama senene. Mtaikoma Simba kila mkiingiza nyaa inapakatwa. Hasira haisaidii. Nunue kamba mjitundike. Kuzimia tu sio fashion tena.

Katika vitabu vya kumbukumbu vya FIFA.... jina la Dar Young Africa ndilo litakaloandikwa kama mabingwa wa soka la Tanzania kwa msimu wa 2014/15.

Sidhani kama Sepp Blater ataandika matokeo ya simba na Yanga ya tar 8/3 /15. Katika kitabu kitakatifu cha soka ulimwenguni.

Ahh ah!!
😁😁😁😁😁😁😁
 
Chuo baada ya kumfunga YANGA...!
Teh teh teh teh!!! .

Je ulivyokua inazaa sare.... Ilikuwa primary level...?

Inaonekana hujui mpira weyeeeee...Unajua kupost tu JF

Hakuna timu ngumu kufungika kama Simba

Wanasambaza kandanda safi lenye kufurahisha

Hivi uliziona zile pasi kwa dakika 5 non stop...Yanga mkautafuta mpira kwa tochi...Unadhani sio chuo hicho?

Acha weeeeeee.....

Kubali kataaa....simba ndio chuo cha soka Tanzania....Umeona vijana wetu walivyowatoa nishai
 
Katika vitabu vya kumbukumbu vya FIFA.... jina la Dar Young Africa ndilo litakaloandikwa kama mabingwa wa soka la Tanzania kwa msimu wa 2014/15.

Sidhani kama Sepp Blater ataandika matokeo ya simba na Yanga ya tar 8/3 /15. Katika kitabu kitakatifu cha soka ulimwenguni.

Ahh ah!!


Unajidanganya sana mkuu

Yanga haina uwezo wa kuwa bingwa msimu huu

Ni timu mbovu kuliko zote kuwahi kutokea.

Mwisho wa ligi tukutane hapa tuongee
 
Ndo mana Taifa Stars kila mechi haifanyi vyema. Sasa ni muda muafaka kuwakabidhi "vijana wa kazi" Simba Sc.

Simba Sc + Thomas Ulimwengu + Mbwana Samata = Taifa Stars = Ushindi Ushindi!

Soka la kimataifa wanacheza watu wazima.... na ndio maana unawaona yanga kila msimu wao wako klabu bingwa au shirikisho...

Watoto yao ni nepi... tena nepi yao ni ligi ya ndani...!

Wakiwa na uwezo wa kushika usukani wa ligi Kuu Tanzania.. Ndipo watapewa majukumu makubwa ya kitaifa.
 
Hatari hatari hatari, raha ya pekee kuwa Yanga. Tunaongoza ligi, mechi ya jumapili ni ya ligi kuu ni kama mechi zozote, kama watu walivyopigwa moja na Stand United.
Heshima ni kuchukua kombe mbele yao. Nimemaliza...

Vipi binti? kilikua kitamu eeeeh?
 
Back
Top Bottom