Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Mkubwa aggregate haiwi determined kwenye ligi.Huwa ni kwenye mechi baina ya timu mbili home and away.

lakini mwisho wa siku ubingwa hauwi determined na ushindi wa home and away! lakini pia kidhungu change kinaniambia aggregate is formed or calculated by the combination of several separate elements; total. kwa hiyo jumla ya point zote ni aggregate kutoka katika mechi kadhaa
 
lakini mwisho wa siku ubingwa hauwi determined na ushindi wa home and away! lakini pia kidhungu change kinaniambia aggregate is formed or calculated by the combination of several separate elements; total. kwa hiyo jumla ya point zote ni aggregate kutoka katika mechi kadhaa

Mkubwa tafuta aggregate kwenye mpira wa miguu sio neno aggregate kiujumla.
 
We endelea kuhangaikia aggregate wakati mna maumivu ya kubakwa na simba

Na tarehe 11 lazima mpeleke timu dadeki

Mlisema hampeleki timu uwanjani? tutawaona kama mna huo ubavu

Na minziro atawababua dadeki labda mnunue mechi kama kawaida yenu

Yanga hakuna mpira pale...kuna mpira wa magazeti

Wenye namba zao wanakuja

Grrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Nani anabinuka binuka mbele ya Mnyama? Mnyama hali kibudu kama yanga. Tulishaua mwezi wa 12/2014 jana tumenusa tu tukaona ameoza hafai kuliwa bao 5 kama mwaka 2012.
 

Attachments

  • 1425924467095.jpg
    1425924467095.jpg
    16.6 KB · Views: 92
Khaaaaa! Nyie siwawezi kwa matusi ndio maana tokea jana nimejificha.Haya kwaherini endeleeni na matusi yenu.

Ungekuwa huyajui matusi wewe usingetuachia kitobo toka mwaka 2012 tunapiga tu, demu mwenyewe hata kuzaa huzai, MTIBWA kapitia hapo ukatoa mimba, JKU Zanzibar kapitia hapo ukatoa mimba, Simba mtoto naye kapitia akakupiga vinne ukatoa mimba. Sasa wewe ni wa kunawa tu kama tulivyofanya jana halafu mkono tunanusa kama beberu la mbuzi.
 
hahahahahahahahha
hahahahahahha
hahahahahah
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Simba dume lao...
hahahahahhahah
Ila Yanga watamu sana.yani sanaaaa

Mkuu ongea taratibu wengine watasikia.
Unajua yanga hawajatumika kama Prisons, ile kitu toka tumeikojolea viwili mwaka jana amekula JKU, Kagera Sugar na BDF XI tu.
 
Sisi hatuna haja ya kupambana na loosers wa uwanjani

Watu wanaochongaa tu

Mpira hakuna

Angalieni vidume simba wanavyocheza mpira mkubwaaa

Dadeki dakika 5 vijana wanagongeana pasi tu...mnautafuta kwa tochi....

Simba ni chuo cha soka Tanzania

Mkuu usinikumbusheee....wale vijana wa Simba ni sheedah.
 
"Jana Emanuel Okwi ameonesha ubora mbele ya mpinzani wake Kpah Sherman ambao wote wanalipwa mshahara sawa ambao ni dola 3500[5.3 milioni kwa mwezi]"

Maoni: Haiwezekani Okwi alipwe mshahara sawa na galasa toka liberia.. Kuna kitu kinatakiwa kifanyike hapa.
 
Back
Top Bottom