ligi haishindwi kwa mechi moja...tuna angalia aggregate!!
Mkubwa aggregate haiwi determined kwenye ligi.Huwa ni kwenye mechi baina ya timu mbili home and away.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ligi haishindwi kwa mechi moja...tuna angalia aggregate!!
Mkubwa aggregate haiwi determined kwenye ligi.Huwa ni kwenye mechi baina ya timu mbili home and away.
lakini mwisho wa siku ubingwa hauwi determined na ushindi wa home and away! lakini pia kidhungu change kinaniambia aggregate is formed or calculated by the combination of several separate elements; total. kwa hiyo jumla ya point zote ni aggregate kutoka katika mechi kadhaa
mkuu DemiGod hongera sana umepambana nao vya kutosha hawa mbumbumbu sports club!
Zamaulid wewe ni mdau wa siku nyingi humu na una heshima ya pekee tofauti na huyu kijana wa january,2015 aliyeanza kuishabikia Yanga baada ya kuifunga BDF XI, anaongea kashfa.
Yanga ni sawa na demu aliyevishwa pete ya uchumba mda wote ukihitaji anakuja unapiga
We endelea kuhangaikia aggregate wakati mna maumivu ya kubakwa na simba
Na tarehe 11 lazima mpeleke timu dadeki
Mlisema hampeleki timu uwanjani? tutawaona kama mna huo ubavu
Na minziro atawababua dadeki labda mnunue mechi kama kawaida yenu
Yanga hakuna mpira pale...kuna mpira wa magazeti
Wenye namba zao wanakuja
Grrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Naona mmechoka sasa....
Kapambana na nani wakati uwanjani chali?
Mumeo anakuchoka?
Khaaaaa! Nyie siwawezi kwa matusi ndio maana tokea jana nimejificha.Haya kwaherini endeleeni na matusi yenu.
hahahahahahahahha
hahahahahahha
hahahahahah
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Simba dume lao...
hahahahahhahah
Ila Yanga watamu sana.yani sanaaaa
Hivi tokea jana mmekula au kulala kweli? Huu uzi mnausongesha nyie kwa spidi ya ajabu!
Sisi hatuna haja ya kupambana na loosers wa uwanjani
Watu wanaochongaa tu
Mpira hakuna
Angalieni vidume simba wanavyocheza mpira mkubwaaa
Dadeki dakika 5 vijana wanagongeana pasi tu...mnautafuta kwa tochi....
Simba ni chuo cha soka Tanzania
Hongera nyingi zimfikie Prof. Goran Kopunovic kwa kutuletea soka la Barcelona katka ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati.