Hahahaaaaaaaaaaaaaa....mkuu unaua vibaya.Naipenda simba mshabik wa damu. Huu wimbo unekuwa famous sana ule mwingine hela yake alipoteza bure koz mashabik wanajifarijia kupitia headphones za vi tecno mchwara vyao...
Mkuu unawashauri wasiwapange wachezaji waliotoka Simba, unataka kuiua yeboyebo kabisa, maana pale hakuna mchezaji wa maana kwao zaidi ya wale waliotoka Simba. Hayo makapi yetu ndiyo yamewafanya angalau kuongea kwa wiki kadhaa zilizopita.Mbona haujiulizi kwa nini Okwi alipokuwaga Yanga alitufunga goli la kufutia machozi kwenu?
Kama mna wasiwasi nao, kwa nini mnawapanga? Goli la Okwi ni kweli waweza mlaumu Barthez, ila ni vitu ambavyo kipa hatarajii, makipa wengi wa bongo wasingeweza tarajia Okwi kupiga ktk eneo lile.
We jidanganye tu wakati wenye nafasi zao wanakuja
Kama yanga wameshindwa kumfunga simba akiwa katika hali hii ????
Tutegemee ni uwakilishi wao kimataifa
Kuipeleka Yanga kushiriki kombe la CAF ni sawa na kuipeleka Prisons, huku ni kulifedhehesha Taifa. Ninaomba TFF iweke sheria kali na mashushushu kila mahali ili watu waliozoea kununua mechi za ligi kuu ili washinde wasipate nafasi yakupenya michuano ya kimataifa.Katka miaka mitatu iliyopita nyie mlioshiri hakuna chochote mlichofaidka.. hamuuzi wachezaji nje ya nchi, mkijitahidi mnaishia 2nd round.. yani mpo mpo tu.
Simba Sc tukitia maguu moto wetu ni hadi fainali, hivi sasa tunaandaa timu ya kupambana na si kushiriki kama mnavyofanya.
Huo ndiyo ubingwa wake toka mwaka 2013 alivyotia maguu, mpaka sasa hata kombe la Mapinduzi hana, achilia mbali Milioni 100 za Mtani Jembe anazisikilizia Msimbazi kila mwaka.tehe tehe tehe, umeamia kwenye msimamo wa ligi na sio ushindi, ingekua ivo si mgeomba mechi ifutwe kwakua mnaongoza ligi
Hata Prisons tuliifunga bao 5 lakini kulikuwa na upinzani wa kisoka tofauti na Yanga.Yanga ni timu ya kipuuzi kuwahi kutokea ktk dunia hii!
Mabeki wa Yanga wamezoea kupambana na washambulia wasio na akili wa timu nyingine za ligi kuu, sasa wakikutana na fowadi zenye kutumia akili kama za Simba lazima mtu apigwe chenga za maudhi ili kumtoa mchezoni. Akitoka mchezoni na zile kelele za mashabiki lazima atacheza rafu na kuzawadiwa kadi ya njano, sasa hapo ndipo utaipenda fowadi wa Simba maana njia itakuwa ni kupitia kwa yule yule mwenye kadi ili kumtafutia nyekundu. Twite ni tambara tu kwa mtoto Messi, Yondani alikuwa anageuzwa na Okwi kama mume anavyomgeuza mkewe usiku ili ale kitu roho inapenda. Canavaro alibaki kumtolea mimacho refa tu kila wakati.Mbuyu Twite... Kawa mchicha sasa hivi kaz yake yeye kumenywa kupakuliwa afu twaomba dua sie tumle unono
Mabeki wa Yanga wamezoea kupambana na washambulia wasio na akili wa timu nyingine za ligi kuu, sasa wakikutana na fowadi zenye kutumia akili kama za Simba lazima mtu apigwe chenga za maudhi ili kumtoa mchezoni. Akitoka mchezoni na zile kelele za mashabiki lazima atacheza rafu na kuzawadiwa kadi ya njano, sasa hapo ndipo utaipenda fowadi wa Simba maana njia itakuwa ni kupitia kwa yule yule mwenye kadi ili kumtafutia nyekundu. Twite ni tambara tu kwa mtoto Messi, Yondani alikuwa anageuzwa na Okwi kama mume anavyomgeuza mkewe usiku ili ale kitu roho inapenda. Canavaro alibaki kumtolea mimacho refa tu kila wakati.
Bahati nzuri kwake kocha PLUIJM aliwahi kumtoa Mrwanda ilikuwa kadi nyekundu zitoke 2 hapo jana na ndipo tungeanza karamu yetu kama ile ya mwaka 2012. Na mwaka huu tulipanga ziwe 7-0.
Mfalme anatisha.....kwa sababu unaipenda simba na mimi nakupenda tuuuuu
hahaahahahahahahahhaha
hahahahahaahahhahahahahahha
hahahaahahahahahahahahahahahaahahahahahha
Rahaaaaaaaa
Simbaaaaaaa
Simbaaaaa
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrr Grrrrrrrrrrrrrrrr
Dah ni bora umewaambia maana wamefurahi kweli..
Bado tunawahitaji.....
Wabaki ligi Kuu, watengeneza wachezaji nasi twende kubeba...!!!
Na hiyo siku haipo mbali, ngoja wale vijana wazoeane.Ipo siku hawatatoka taifa bila kufungwa goli saba
Mfalme anatisha.....
Msuva yule wa Mbeya sio yule akutanapo na Baba yake mzazi. Hata jana ametufanyia kazi yetu vizuri tu. Big up Msuva wakikuzingua rudi nyumbani kama Okwi halafu ufanye yako kama Mwenzako jana.Usiwe kei jinga wewe, kila mnapowachukua, mmepata mafanikio gani? Nasubiri timu ikamilike, Msuva aje mahali moyo wake ulipo! Umri wake sio wa kuchezea Yanga.
Na hiyo siku haipo mbali, ngoja wale vijana wazoeane.
Hilo litimu lilimshinda Steve yanga ambaye hata Manji anamjua itakuwa wewe mkurupukaji tu.Teh teh teh! Naona matumaini yako juu ya simba yamepanda... Baada ya kumfunga YANGA.!!!
Ulikuwa mpore sana wewe.... Tena ukilaumu viongozi.
Haya bhana endelea kuota ndoto za alinacha.!
Miaka miwili wanaweza kumfunga mtu hata bao kumi wale kwa jinsi wanavyotandaza soka la dakika nne bila mpira kuguswa na yeboyebo. Hii raha sanaaaaaa...Tuwape hawa vijana miaka miwili, watakiwa wako tayari kwa maangamizi.