don zoncorino
Member
- Jan 13, 2015
- 27
- 14
Hivi mpaka leo bado kuna watu wanashabikia simba na yanga? dah
Unataka washabikie Man u na Arsenal, acha utumwa wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mpaka leo bado kuna watu wanashabikia simba na yanga? dah
Ushabiki wa simba na yanga umebaki kwa maboya wa dar tu, huku songea tuko man u
muda si mrefu barabara kuingia national stadium kutokea keko itafungwa hapo karibia na chang'ombe demonstration secondary . hivyo watumiaji wa barabara hiyo watafute another alternative. hali ni shwari. tunasubiri game. let the best team win.
Halafu anaongea maneno ya shombo utafikir akishinda ndo anachukua ubingwaHivi mpaka leo bado kuna watu wanashabikia simba na yanga? dah
Ushabiki wa simba na yanga umebaki kwa maboya wa dar tu, huku songea tuko man u
Unataka washabikie Man u na Arsenal, acha utumwa wa akili
kwani hujaiona thread ya man u!
Wahapa hapa....hamna lolote miaka 50 hamna hata viwanja.....nazichukia sana hizi timu za kiswahili..
Ushabiki wa simba na yanga umebaki kwa maboya wa dar tu, huku songea tuko man u